Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakwambia nani Mchele au mahindi hakulima!?Akitoka hapo ananunua mchele kilo Tsh 3500 ili akale wali na maharage
Basically, kuna intelligence security services ambapo mkuu wa Internal Affairs ndio wa muhimu sana kwa Rais kuliko mkuu wa umbrella nzima.Aliyekuwa Mkurugenzi wa Internal Affairs
Lete Maneno....Nimesikia hapa kwamba eti Tausi wa White House.
Nchi hii kwani hata ikiaribika, ikafilisika, mambo yakawa mabaya wewe utaharibikiwa na nini??Maadili,maadili na uadilifu ndio uzalendo
Huenda wapigaji na wanaowaza kupiga tu wakapunguzwa sana mpaka tukawa na Taifa lenye heshima na kupaa kiuchumi
Hebu muwe na upendo wa kutaka kufika juu kiuchumi kwa manufaa ya wote
Asije kujaribu hili la kuvunja muungano ataishia kubaya hata kama ameteua wote kutoka kwaoBasically, kuna intelligence security services ambapo mkuu wa Internal Affairs ndio wa muhimu sana kwa Rais kuliko mkuu wa umbrella nzima.
Pale Russia kuna Federal Security Services (FSB) ikihusika na ujasusi mambo ya ndani, kuna Main Intelligence Directorate (GRU) ambayo ni ujasusi wa kijeshi. Ujasusi wa nje ni Foreign Intelligence Services (SVR).
Kwa Putin, FSB na shirika lingine la ulinzi wa viongozi na ofisi za serikali ndio wa muhimu kwa ulinzi wake binafsi. Hawa GRU na SVR wanafanya kazi kitaifa zaidi na maadui wake ni wa nje hivyo wafanyakazi wake watafanya kazi tu as long as ni kutetea taifa dhidi ya adui wa nje.
Kwa Tz inavyokuwa, Lt. General Salim Haji Othman ambaye ni Chief of Staff wa TPDF kuna uwezekano mkubwa akaja kwa mkuu wa majeshi tofauti na mazoea tuliyonayo ya CoS hawi mkuu wa majeshi. Ukitazama umri wake, ukatazama umri wa General Mkunda unaona akistaafu huyu kuna mtu anaweza achukue nafasi hiyo. Then hapa tumempata Chief wa TISS akiwa wa kule, huyu alikuwa mkuu wa ujasusi wa ndani ambayo ni rank ya pili kwa TISS.
Kila kitu kikienda sawa tutajikuta na Raisi, mkuu wa majeshi na mkuu wa TISS wakitokea sehemu moja. Kwa hali hiyo kuvunja muungano hapo ni rahisi, unaweza kuta malengo ya Rais ni kuwa na watu anaowaamini karibu ila wanaweza jikuta wana common cause nje na utumishi wao kitaifa.
Nawaza tu lakini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya nafasi za ziongozi Serikalini Ikulu jijini Dares Salaam, leo tarehe 03 Januari, 2023.
Amesema “Mtakumbuka kuwa Novemba 2022, Bunge la Tanzania lilikuwa na mjadala mzito kidogo kuhusu matumizi ya fedha na madaraka katika ofisi zetu za Kibalozi zilizopo Nchi mbalimbali, Serikali inafanyia kazi kasoro zilizoelezwa ili kurudisha hadhi ya balozi zetu.
“Nimefanya mabadili katika ofisi ya Ubalozi iliyopo New York, ambayo inakuwa na Mwakilishi wetu wa kudumu katika Umoja wa Mataifa.
“Ofisi hii ni muhimu kwa Nchi yetu kwa kuwa ndio inatuwakilisha katika mambo yanayojadiliwa na mataifa na taasisi za kimataifa zilizo chini ya Umoja wa Mataifa Mjini New York.
“Ofisi yetu hiyo inahitaji mwanadiplomasia mahiri anayejua siasa za kimataifa, mzalendo kwa nchi yake na mtulivu wa hekima na busara.
“Hivyo nimeamua kumrudisha nyumbani Prof. Kennedy Gaston aliyeko Ofisi ya New York na kumpeleka Hussein Othman Kattanga aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
“Kattanga anaenda kuiwakilisha Tanzania kama Balozi wa Kudumu huko New York.
“Nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi itajazwa na DKT. Moses Mpogole Kusiluka aliyekuwa Katibu Mkuu Ikulu.
“Nafasi ya Katibu Mkuu Ikulu itajazwa na Diwani Athuman Msuya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)
“Nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa itajazwa na Said Hussein Massoro aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu na Mkurugenzi wa Shughuli za ndani za TISS.”
Ameulamba kivipi?Business as usual,sijaona Cha maana,zaidi ya watu kupata ulaji tu,
Katanga amekosea nini?kutoka kuwa katibu mkuu kiongozi(mkuu wa wa watumishi wote serikali kuu) kwenda kuwa balozi tu!!!
Diwani ameulamba,
Hoyce Temu vipi,na madudu yake Bado hajatumbuliwa tu
Akili kubwa sana, jumlisha na katiba mpya.Basically, kuna intelligence security services ambapo mkuu wa Internal Affairs ndio wa muhimu sana kwa Rais kuliko mkuu wa umbrella nzima.
Pale Russia kuna Federal Security Services (FSB) ikihusika na ujasusi mambo ya ndani, kuna Main Intelligence Directorate (GRU) ambayo ni ujasusi wa kijeshi. Ujasusi wa nje ni Foreign Intelligence Services (SVR).
Kwa Putin, FSB na shirika lingine la ulinzi wa viongozi na ofisi za serikali ndio wa muhimu kwa ulinzi wake binafsi. Hawa GRU na SVR wanafanya kazi kitaifa zaidi na maadui wake ni wa nje hivyo wafanyakazi wake watafanya kazi tu as long as ni kutetea taifa dhidi ya adui wa nje.
Kwa Tz inavyokuwa, Lt. General Salim Haji Othman ambaye ni Chief of Staff wa TPDF kuna uwezekano mkubwa akaja kwa mkuu wa majeshi tofauti na mazoea tuliyonayo ya CoS hawi mkuu wa majeshi. Ukitazama umri wake, ukatazama umri wa General Mkunda unaona akistaafu huyu kuna mtu anaweza achukue nafasi hiyo. Then hapa tumempata Chief wa TISS akiwa wa kule, huyu alikuwa mkuu wa ujasusi wa ndani ambayo ni rank ya pili kwa TISS.
Kila kitu kikienda sawa tutajikuta na Raisi, mkuu wa majeshi na mkuu wa TISS wakitokea sehemu moja. Kwa hali hiyo kuvunja muungano hapo ni rahisi, unaweza kuta malengo ya Rais ni kuwa na watu anaowaamini karibu ila wanaweza jikuta wana common cause nje na utumishi wao kitaifa.
Nawaza tu lakini
Kuna mwamba kasema walikuwa wanatoa sauti kama ving'ora 🤣😂Ikulu kuna hadi wanyama pori wewe unashangaa nyau?
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya nafasi za ziongozi Serikalini Ikulu jijini Dares Salaam, leo tarehe 03 Januari, 2023.
Amesema “Mtakumbuka kuwa Novemba 2022, Bunge la Tanzania lilikuwa na mjadala mzito kidogo kuhusu matumizi ya fedha na madaraka katika ofisi zetu za Kibalozi zilizopo Nchi mbalimbali, Serikali inafanyia kazi kasoro zilizoelezwa ili kurudisha hadhi ya balozi zetu.
“Nimefanya mabadili katika ofisi ya Ubalozi iliyopo New York, ambayo inakuwa na Mwakilishi wetu wa kudumu katika Umoja wa Mataifa.
“Ofisi hii ni muhimu kwa Nchi yetu kwa kuwa ndio inatuwakilisha katika mambo yanayojadiliwa na mataifa na taasisi za kimataifa zilizo chini ya Umoja wa Mataifa Mjini New York.
“Ofisi yetu hiyo inahitaji mwanadiplomasia mahiri anayejua siasa za kimataifa, mzalendo kwa nchi yake na mtulivu wa hekima na busara.
“Hivyo nimeamua kumrudisha nyumbani Prof. Kennedy Gaston aliyeko Ofisi ya New York na kumpeleka Hussein Othman Kattanga aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
“Kattanga anaenda kuiwakilisha Tanzania kama Balozi wa Kudumu huko New York.
“Nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi itajazwa na DKT. Moses Mpogole Kusiluka aliyekuwa Katibu Mkuu Ikulu.
“Nafasi ya Katibu Mkuu Ikulu itajazwa na Diwani Athuman Msuya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)
“Nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa itajazwa na Said Hussein Massoro aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu na Mkurugenzi wa Shughuli za ndani za TISS.”
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya nafasi za ziongozi Serikalini Ikulu jijini Dares Salaam, leo tarehe 03 Januari, 2023.
Amesema “Mtakumbuka kuwa Novemba 2022, Bunge la Tanzania lilikuwa na mjadala mzito kidogo kuhusu matumizi ya fedha na madaraka katika ofisi zetu za Kibalozi zilizopo Nchi mbalimbali, Serikali inafanyia kazi kasoro zilizoelezwa ili kurudisha hadhi ya balozi zetu.
“Nimefanya mabadili katika ofisi ya Ubalozi iliyopo New York, ambayo inakuwa na Mwakilishi wetu wa kudumu katika Umoja wa Mataifa.
“Ofisi hii ni muhimu kwa Nchi yetu kwa kuwa ndio inatuwakilisha katika mambo yanayojadiliwa na mataifa na taasisi za kimataifa zilizo chini ya Umoja wa Mataifa Mjini New York.
“Ofisi yetu hiyo inahitaji mwanadiplomasia mahiri anayejua siasa za kimataifa, mzalendo kwa nchi yake na mtulivu wa hekima na busara.
“Hivyo nimeamua kumrudisha nyumbani Prof. Kennedy Gaston aliyeko Ofisi ya New York na kumpeleka Hussein Othman Kattanga aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
“Kattanga anaenda kuiwakilisha Tanzania kama Balozi wa Kudumu huko New York.
“Nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi itajazwa na DKT. Moses Mpogole Kusiluka aliyekuwa Katibu Mkuu Ikulu.
“Nafasi ya Katibu Mkuu Ikulu itajazwa na Diwani Athuman Msuya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)
“Nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa itajazwa na Said Hussein Massoro aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu na Mkurugenzi wa Shughuli za ndani za TISS.”
Umeongea kitu flan hiv dah!!..Ni kweli tuwaombee kwa Mungu wasije wakakengeuka...Its a critical moment kwa nchi...Maana tunaiendea njia ambayo ni mpya kwetu sote....Reforms!
Sawa tu, ila mabadiliko kwenye idara ya usalama hautukuzoea yawe mara kwa mara, kulikoni miaka ya karibuni?