Pre GE2025 Rais Samia awafuturisha watoto yatima, wenye mahitaji maalumu Ikulu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sometimes yes tuna bonge la rais unampenda kwa kumuonea huruma lakini sometimes roho inakataa kabisa ukiiwaza

Bandari
Madini
Unaona kama vile Kuna vitu vya msingi maza Huwa anavisahau..
Mbona kama tulishafikia hatua nzuri under JPM KUHUSU KUKABA KODI KWENYE RASILIMALI WHAT'S HAPPENED MAZEE.. anyway me Nina kuku zangu nafuga Sina habari na Imani nao watanipa mali hapa hapa tz..
 
Naunga mkono hoja....

Mh.Rais Samia ni " chief comforter of the nation"....

Ameitendea haki aya isemayo "....Lissaili wal MAHRUMI....".....kutoa sadaka kwa AOMBAYE na ANAYEJIZUILIA KUOMBA....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…