Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
amepigaje picha na anagawa chakula?πAkapiga na picha
Eti watoto yatima nonsenseJambo jema kwa hili napongeza
Yaani huyu kila kitu ni yeye hapa tz, ukiona wapiga chapuo kuwa wengi jua huyu ni zaidi ya dhaifu kwenye kusimamia rasilimali za nchi!!.Akapiga na picha
Mkuu, ππKodi zetu
Ndiyo mwenye weeee ulifikiri Raa PHuyo hapo pembeni ni Angela Kairuki au nimemfananisha?
....yaani Rais akutane na raia wake kwa upendo mkubwa huo asipigwe picha ?!!Yaani huyu kila kitu ni yeye hapa tz, ukiona wapiga chapuo kuwa wengi jua huyu ni zaidi ya dhaifu kwenye kusimamia rasilimali za nchi!!.
Samia the "chief comforter of our beloved nation...."Eti watoto yatima nonsense
Acha dharau....Hao watoto Yatima wamepatikanaje?
....ni zao pia hao watoto yatima....Kodi zetu
Wacha weeeeeeee Mwenyezi MUNGU anaona MENGiRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu, Machi 3, 2025 amefuturisha watoto yatima na watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Pia, Rais Samia amepata fursa ya kuzungumza na watoto hao.