CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Muwe na shukrani basi wabongo,Ondoa kabisa hilo neno mnyenyekevu. Huyu ni mnafiki. Hawezi kuwa mnyenyekevu wala kuwa mcha Mungu. Sifa kuu ya mtu mnyenyekevu na mcha Mungu ni ukweli na kutenda haki.
Mnyenyekevu hawezi kuwabambikia watu kesi za uwongo. Hawezi kuwadanganya watu. Na hawezi kutaka kuabudiwa.
DaaahOndoa kabisa hilo neno mnyenyekevu. Huyu ni mnafiki. Hawezi kuwa mnyenyekevu wala kuwa mcha Mungu. Sifa kuu ya mtu mnyenyekevu na mcha Mungu ni ukweli na kutenda haki.
Mnyenyekevu hawezi kuwabambikia watu kesi za uwongo. Hawezi kuwadanganya watu. Na hawezi kutaka kuabudiwa.
Magufuli alituletea QNET na betting coys.
Bila kusahau Tatu Mzuka na Biko ili zituboreshee maisha yetu.
Wanataka nchi iuzwe kabisa,Ngoja waje wale wachezaji wa ile team ya Pinga pinga FC
Mambo yameanza kujibu aiseNiliandika humu baada ya safari yake ya Scotland kuwa hela ziko nje nje
Nchi inayotaka kupiga hatua huwekeza kwenye uchumi huru hata kama tutakuwa na speed ndogo lkn tunakuwa tupo huru kuchagua namna ya kujikwamua kutoka tulipo kwenda hatua nyingine ila kwa uchumi tegemezi hatuez kutoboa na sio sis bali ni kwa nchi zote zilizojarib chagua njia ya uchumi tegemezi , Marehemu alijaribu ila ttzo raia walizoea mseleleko wa Kikwete ikawa anaonekana adui wa taifa maana mzunguko wa ela za kihuni ulipungua sanaNiliandika humu baada ya safari yake ya Scotland kuwa hela ziko nje nje
Tanzania ijayo ni bora sana,Nchi inayotaka kupiga hatua huwekeza kwenye uchumi huru hata kama tutakuwa na speed ndogo lkn tunakuwa tupo huru kuchagua namna ya kujikwamua kutoka tulipo kwenda hatua nyingine ila kwa uchumi tegemezi hatuez kutoboa na sio sis bali ni kwa nchi zote zilizojarib chagua njia ya uchumi tegemezi , Marehemu alijaribu ila ttzo raia walizoea mseleleko wa Kikwete ikawa anaonekana adui wa taifa maana mzunguko wa ela za kihuni ulipungua sana
Kagame anasema akipewa Tz anaeza kuwa superpower Afrika sio kwa kutegemea misaada , nchi hii inaitaj miundombinu tu kuwa harbour ya mashariki na kati ambayo ni source tosha ya ajira ila Kenya wanatumia hiyo advantage kuwa harbour ya Afrika Mashariki na kati na hii ndio Marehemu alifahamu na alipambana sana kuboresha miundo mbinu ili Tz iwe harbour kwa mataifa yote ya ukanda huu ambayo ninkandlocked , ila kwasababu Ccm ililea wapigaj wengi mpk kufikia awamu ya marehemu nchi ilikuwa kama Haiti kila kitu connection na alipombana nao ndo hao ambao ni maadui wakubwa wa marehemu , silly Africa ! Hoja ni zile zile zinazoikwamisha Africa , utengano , ubinfsi ,uroho wa madaraka , ujinga na umaskiniMagufuli alituletea QNET na betting coys.
Bila kusahau Tatu Mzuka na Biko ili zituboreshee maisha yetu.
Shukran mirad ya brt inadolola , sgr inadolola , rushwa zinarudi kwa kasi , utendaj kazi unaslow down , halafu mtu anaenda kutafuta misaada ya kuwanyonya wakulima ( kama hujui utahisi ni siasa )Muwe na shukrani basi wabongo,
Mambo yameanza kujibu aise
Hakika ni kweli, Rais Samia kaifungua nchiJambo la kushukuru sana kwa jinsi mambo yanavyoenda na mazuri ni mengi
Hakika ni kweli, Rais Samia kaifungua nchi
Linakuja kwa kasiTunasubiri suala la Diasporas tu sasa ili watu wawekeze
[emoji120][emoji120]
Umeua ajira 800,000 za machinga na mawakala ili ulete mwekezaji anaetoa ajira 500 kisha unajiona wewe ni kiongozi===
Ajira hizo Watanzania wenzangu, kidogo kidogo tu mtamwelewa na mtaelewa nia njema za mama yetu mnyenyekevu Mhe Samia Suluhu Hassan kwenye safari zake za nje,
Dodoma, Tanzania.
Naibu wa Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe ameongoza jopo la serikali katika Mazungumzo ya awali na kampuni ya Global Tree ambayo inajihusisha na miradi ya kimazingira kwenye kilimo.
Mheshimiwa Bashe amesema “Mazungumzo yetu ya awali yamejikita zaidi kuandaa mradi mkubwa wa kupanda mazao yenye asili ya miti ambayo itamsaidia mkulima kupata kipato na sio tu kuwa na pori ambalo siku ya mwisho mkulima itamchukua muda mrefu kupata mapato ya moja kwa moja.”
Bashe anaendelea kusema kuwa “Mazungumzo haya yanalenga kuanzisha kituo cha pamoja ambapo kupitia taasisi zetu za TARI na ASSA watakuwa na jukumu la kuanzisha Vitalu na miundombinu ya Umwagiliaji kwa ajili ya miche ya Korosho, Kakao, Makademia (Katanga Miti), Michikichi na Kahawa.”
Aidha Bashe alipoulizwa kuhusu muundo wa utekelezaji wa mradi alisema “Mradi huu utakua wa ushirikiano wa pamoja baina ya serikali na sekta binafsi (PPP) na miti hii itakua ni ile ambayo tunazalisha wenyewe Kwa njia za asili pamoja na njia za kisasa za urutubishahi.”
Kuhusu gharama za mradi Bashe alisema “Mpango wa uwekezaji wa mradi huu una thamani ya dola za kimarekani Milioni mia moja sawa na zaidi ya shilingi za kitanzania bilioni mia mbili thelathini.”
Aidha, uwekezaji huu utajikita katika kumuwezesha mkulima bila kuwa na mzigo wa kulipia gharama za awali za uwekezaji kwakua Mradi huu mbali na kuwa na tija kwenye kilimo pia utakuwa mradi wenye toja kubwa kwenye mazingira huku lengo la msingi likuwa ni kuboresha maisha ya watanzania wengi wanaotegemea kilimo kama sehemu ya msingi ya kipato cha kuendeshea familia.
Naibu Waziri Bashe aliongeza ya kuwa “Hata hivyo bado tunachangamoto nyingi kwenye sekta ya kilimo ingawa mabadiliko na muelekeo wetu wa kisera juu ya kuruhusu uwekezaji binafsi kwenye sekta hii Kwa sehemu kubwa utatatua changamoto hizi hasa za mitaji kwa wakulima wadogo na kuongeza tija ya Kilimo.”
View attachment 2045762
View attachment 2045763
View attachment 2045764
Linakuja kwa kasi
Mama kama Mama, Upepo wa Rais Samia ni mkali sana aisee===
Ajira hizo Watanzania wenzangu, kidogo kidogo tu mtamwelewa na mtaelewa nia njema za mama yetu mnyenyekevu Mhe Samia Suluhu Hassan kwenye safari zake za nje,
Dodoma, Tanzania.
Naibu wa Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe ameongoza jopo la serikali katika Mazungumzo ya awali na kampuni ya Global Tree ambayo inajihusisha na miradi ya kimazingira kwenye kilimo.
Mheshimiwa Bashe amesema “Mazungumzo yetu ya awali yamejikita zaidi kuandaa mradi mkubwa wa kupanda mazao yenye asili ya miti ambayo itamsaidia mkulima kupata kipato na sio tu kuwa na pori ambalo siku ya mwisho mkulima itamchukua muda mrefu kupata mapato ya moja kwa moja.”
Bashe anaendelea kusema kuwa “Mazungumzo haya yanalenga kuanzisha kituo cha pamoja ambapo kupitia taasisi zetu za TARI na ASSA watakuwa na jukumu la kuanzisha Vitalu na miundombinu ya Umwagiliaji kwa ajili ya miche ya Korosho, Kakao, Makademia (Katanga Miti), Michikichi na Kahawa.”
Aidha Bashe alipoulizwa kuhusu muundo wa utekelezaji wa mradi alisema “Mradi huu utakua wa ushirikiano wa pamoja baina ya serikali na sekta binafsi (PPP) na miti hii itakua ni ile ambayo tunazalisha wenyewe Kwa njia za asili pamoja na njia za kisasa za urutubishahi.”
Kuhusu gharama za mradi Bashe alisema “Mpango wa uwekezaji wa mradi huu una thamani ya dola za kimarekani Milioni mia moja sawa na zaidi ya shilingi za kitanzania bilioni mia mbili thelathini.”
Aidha, uwekezaji huu utajikita katika kumuwezesha mkulima bila kuwa na mzigo wa kulipia gharama za awali za uwekezaji kwakua Mradi huu mbali na kuwa na tija kwenye kilimo pia utakuwa mradi wenye toja kubwa kwenye mazingira huku lengo la msingi likuwa ni kuboresha maisha ya watanzania wengi wanaotegemea kilimo kama sehemu ya msingi ya kipato cha kuendeshea familia.
Naibu Waziri Bashe aliongeza ya kuwa “Hata hivyo bado tunachangamoto nyingi kwenye sekta ya kilimo ingawa mabadiliko na muelekeo wetu wa kisera juu ya kuruhusu uwekezaji binafsi kwenye sekta hii Kwa sehemu kubwa utatatua changamoto hizi hasa za mitaji kwa wakulima wadogo na kuongeza tija ya Kilimo.”
View attachment 2045762
View attachment 2045763
View attachment 2045764
Wajameni zile ID zilizokuwa zikituimbia '"hapa kazi" tu mumezidump tayari?Tanzania ijayo ni bora sana,