ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ndio yupo Hadi 2030,Hilo sio swali ni jibuWewe ndio ulianza kusema huyo Mama Abdul yupo hadi 2030 au ulipokuwa unaandika ulikua unajua umeshaswitch ID nyingine ile ila ukajisahu ukajibu kwa hii??
Hapa ulitaka kuswitch ID ila ukasahau chawa?Mama yupo Hadi 2030,povu halitakusaidia na huna Cha kufanya 😁😁😁😁
Yupo Hadi 2030 hakuna mjadala.Hapa ulitaka kuswitch ID ila ukasahau chawa?
Maana wewe ndio ulileta "assurance" kwamba mama Abdul yupo hadi 2030 nikakuuliza hata Magufuli machawa wake walisema atakuwepo sana hadi 2025 na pia atake asitake atatawala hadi achoke ndio maana nikauliza Magufuli yuko wapi kwa sasa?
Mjadala upo .Yupo Hadi 2030 hakuna mjadala.
Wewe una uhakika nayo?Mjadala upo .
Nani kasema hakuna mjadala?
Hoja ni kuwa hata hiyo 2025 hana uhakika nayo achilia mbali wewe chawa wake.
Hakuna mahali nimesema nina uhakika nayo.Wewe una uhakika nayo?
Watu wanasiri kumbe mshindi amesha patikana kabla hata y kipenga kupulizwa mbona hatuambizani bandunguNdugu zangu Watanzania,
Mitaani ni shangwe, nderemo, vifijo , chereko chereko,furaha,hoihoi na tabasamu tupu kwa wananchi mbalimbali. Hii ni baada ya Rais Samia kukata kiu ya mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo mioyoni mwao. Kiu ya kutaka kuona Rais Samia akiendelea na muhula wa pili wa Urais kwa kuchukua ,kujaza na kurejesha Fomu ya Urais.
Shangwe hiyo imekuja baada ya Rais Samia kutamka hadharani kuwa anataka kuacha alama katika uongozi wake atakapokuwa anajiandaa kurejea Nyumbani Kizimkazi na kuja kuwahoji walipofikia kimafanikio na kimaendeleo katika Masuala Mazima ya ushirika na ugani.
Kauli ya kusema kuwa atakapo Kuwa anajiandaa kurejea Kizimkazi miaka hiyo ya mwishoni kuelekea 2030.imemaanisha kuwa Rais wetu Mpendwa amekubali Ombi na Maombi ya Mamilioni ya watanzania wa makundi mbalimbali waliohitaji kuona akiendelea kuwa Rais Wetu.
Ndio maana makundi kama Walimu walikuwa wamemchangia mamilioni ya pesa kwa ajili ya kuchukulia Fomu ya Urais.pia wahandisi nao pia walikuwa wamechanga mamilioni ya pesa kwa ajili ya kumpatia Usafiri wa helikopta atakayo kuwa anaruka nayo angani na kuteka anga lote la Tanzania kikomandoo wakati wa kampeni,huku bendera ya kijani ikipepea angani.
Kwa hakika Rais Samia ameleta furaha kubwa sana hapa Nchini kwa kauli yake hiyo.ikumbukwe ya kuwa mamilioni ya watanzania chaguo lao ni Rais Samia tuu hapo Mwakani. Watu wengi sana walikuwa wamesema kuwa wanahitaji kuona CCM ikimpatia Rais Samia ugombea Urais.jambo ambalo hata hivyo CCM kupitia viongozi wake ilijibu kwa kusema kuwa Ni Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mpaka 2030.
Kwa hakika Rais Samia ndiye ameshikilia Furaha ya Mamilioni ya watanzania.kama Ingetokea akakataa ombi la watanzania,kwa hakika angewakatisha sana tamaa na kuwavunja moyo mamilioni ya watanzania ambao kwa sasa wamejaa matumaini tele na uhakika wa kutimiza ndoto zao.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Magufuli tuliambiwa yupo hadi 2025 yupo wapi kwa sasa?Wewe una uhakika nayo?
Wewe utakuwepo 2025?Magufuli tuliambiwa yupo hadi 2025 yupo wapi kwa sasa?
Sasa huna uhakika unaongea uzushi Kwa nini?Hakuna mahali nimesema nina uhakika nayo.
Kama ipo quote kama nilivyoquote wewe uliposema yupo hadi 2030!
Uzushi uko wapi?Sasa huna uhakika unaongea uzushi Kwa nini?
Jibu swali la msingi.Wewe utakuwepo 2025?
Kilaza Mwenyewe usiye na akili.Imetosha, hatuwezi kuongozwa tena na vilaz.a!.
Jibu ni moja tu kuwa ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan hadi mwaka 2030. Kama hutaki hama Nchi au jinyonge UFE tu maana huna faida yoyote ileHapa ulitaka kuswitch ID ila ukasahau chawa?
Maana wewe ndio ulileta "assurance" kwamba mama Abdul yupo hadi 2030 nikakuuliza hata Magufuli machawa wake walisema atakuwepo sana hadi 2025 na pia atake asitake atatawala hadi achoke ndio maana nikauliza Magufuli yuko wapi kwa sasa?
Eti daktari!.Jibu ni moja tu kuwa ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan hadi mwaka 2030. Kama hutaki hama Nchi au jinyonge UFE tu maana huna faida yoyote ile
Na wewe nenda ukapewe kama ni rahisi kupewa. wanapewa akili kubwa na siyo vichwa panzi kama weweEti daktari!.
Mpuuzi kweli wewe , udaktari huo anaopewa kila kukicha kwa kutunukiwa bila merit?
Hebu weka hapa tasnifu yoyote aliyowahi kuiandika Samia .
Acha ujinga na ushamba wako hapa.Anakihere here kijitu cha 2010
Jibu ni kuwa hana tasnifu yoyote.Na wewe nenda ukapewe kama ni rahisi kupewa. wanapewa akili kubwa na siyo vichwa panzi kama wewe
LUCAS MWASHAMBWA UNATAFUTWA MBEYA.Ndugu zangu Watanzania,
Mitaani ni shangwe, nderemo, vifijo , chereko chereko,furaha,hoihoi na tabasamu tupu kwa wananchi mbalimbali. Hii ni baada ya Rais Samia kukata kiu ya mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo mioyoni mwao. Kiu ya kutaka kuona Rais Samia akiendelea na muhula wa pili wa Urais kwa kuchukua ,kujaza na kurejesha Fomu ya Urais.
Shangwe hiyo imekuja baada ya Rais Samia kutamka hadharani kuwa anataka kuacha alama katika uongozi wake atakapokuwa anajiandaa kurejea Nyumbani Kizimkazi na kuja kuwahoji walipofikia kimafanikio na kimaendeleo katika Masuala Mazima ya ushirika na ugani.
Kauli ya kusema kuwa atakapo Kuwa anajiandaa kurejea Kizimkazi miaka hiyo ya mwishoni kuelekea 2030.imemaanisha kuwa Rais wetu Mpendwa amekubali Ombi na Maombi ya Mamilioni ya watanzania wa makundi mbalimbali waliohitaji kuona akiendelea kuwa Rais Wetu.
Ndio maana makundi kama Walimu walikuwa wamemchangia mamilioni ya pesa kwa ajili ya kuchukulia Fomu ya Urais.pia wahandisi nao pia walikuwa wamechanga mamilioni ya pesa kwa ajili ya kumpatia Usafiri wa helikopta atakayo kuwa anaruka nayo angani na kuteka anga lote la Tanzania kikomandoo wakati wa kampeni,huku bendera ya kijani ikipepea angani.
Kwa hakika Rais Samia ameleta furaha kubwa sana hapa Nchini kwa kauli yake hiyo.ikumbukwe ya kuwa mamilioni ya watanzania chaguo lao ni Rais Samia tuu hapo Mwakani. Watu wengi sana walikuwa wamesema kuwa wanahitaji kuona CCM ikimpatia Rais Samia ugombea Urais.jambo ambalo hata hivyo CCM kupitia viongozi wake ilijibu kwa kusema kuwa Ni Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mpaka 2030.
Kwa hakika Rais Samia ndiye ameshikilia Furaha ya Mamilioni ya watanzania.kama Ingetokea akakataa ombi la watanzania,kwa hakika angewakatisha sana tamaa na kuwavunja moyo mamilioni ya watanzania ambao kwa sasa wamejaa matumaini tele na uhakika wa kutimiza ndoto zao.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.