Pre GE2025 Rais Samia awalipua watu kwa shangwe, nderemo na vifijo mitaani baada ya kuwahakikishia kuwepo Madarakani hadi 2030

Pre GE2025 Rais Samia awalipua watu kwa shangwe, nderemo na vifijo mitaani baada ya kuwahakikishia kuwepo Madarakani hadi 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mama yupo Hadi 2030,povu halitakusaidia na huna Cha kufanya 😁😁😁😁
Hapa ulitaka kuswitch ID ila ukasahau chawa?

Maana wewe ndio ulileta "assurance" kwamba mama Abdul yupo hadi 2030 nikakuuliza hata Magufuli machawa wake walisema atakuwepo sana hadi 2025 na pia atake asitake atatawala hadi achoke ndio maana nikauliza Magufuli yuko wapi kwa sasa?
 
Hapa ulitaka kuswitch ID ila ukasahau chawa?

Maana wewe ndio ulileta "assurance" kwamba mama Abdul yupo hadi 2030 nikakuuliza hata Magufuli machawa wake walisema atakuwepo sana hadi 2025 na pia atake asitake atatawala hadi achoke ndio maana nikauliza Magufuli yuko wapi kwa sasa?
Yupo Hadi 2030 hakuna mjadala.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mitaani ni shangwe, nderemo, vifijo , chereko chereko,furaha,hoihoi na tabasamu tupu kwa wananchi mbalimbali. Hii ni baada ya Rais Samia kukata kiu ya mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo mioyoni mwao. Kiu ya kutaka kuona Rais Samia akiendelea na muhula wa pili wa Urais kwa kuchukua ,kujaza na kurejesha Fomu ya Urais.

Shangwe hiyo imekuja baada ya Rais Samia kutamka hadharani kuwa anataka kuacha alama katika uongozi wake atakapokuwa anajiandaa kurejea Nyumbani Kizimkazi na kuja kuwahoji walipofikia kimafanikio na kimaendeleo katika Masuala Mazima ya ushirika na ugani.

Kauli ya kusema kuwa atakapo Kuwa anajiandaa kurejea Kizimkazi miaka hiyo ya mwishoni kuelekea 2030.imemaanisha kuwa Rais wetu Mpendwa amekubali Ombi na Maombi ya Mamilioni ya watanzania wa makundi mbalimbali waliohitaji kuona akiendelea kuwa Rais Wetu.

Ndio maana makundi kama Walimu walikuwa wamemchangia mamilioni ya pesa kwa ajili ya kuchukulia Fomu ya Urais.pia wahandisi nao pia walikuwa wamechanga mamilioni ya pesa kwa ajili ya kumpatia Usafiri wa helikopta atakayo kuwa anaruka nayo angani na kuteka anga lote la Tanzania kikomandoo wakati wa kampeni,huku bendera ya kijani ikipepea angani.

Kwa hakika Rais Samia ameleta furaha kubwa sana hapa Nchini kwa kauli yake hiyo.ikumbukwe ya kuwa mamilioni ya watanzania chaguo lao ni Rais Samia tuu hapo Mwakani. Watu wengi sana walikuwa wamesema kuwa wanahitaji kuona CCM ikimpatia Rais Samia ugombea Urais.jambo ambalo hata hivyo CCM kupitia viongozi wake ilijibu kwa kusema kuwa Ni Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mpaka 2030.

Kwa hakika Rais Samia ndiye ameshikilia Furaha ya Mamilioni ya watanzania.kama Ingetokea akakataa ombi la watanzania,kwa hakika angewakatisha sana tamaa na kuwavunja moyo mamilioni ya watanzania ambao kwa sasa wamejaa matumaini tele na uhakika wa kutimiza ndoto zao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watu wanasiri kumbe mshindi amesha patikana kabla hata y kipenga kupulizwa mbona hatuambizani bandungu
 
Wewe utakuwepo 2025?
Jibu swali la msingi.

Hakuna mahali mimi nimesema nitakuwepo.

Wewe ndio umeweka hoja kuwa Samia yupo hadi 2030 , ndio maana nikakuuliza Magufuli yupo wapi maana yeye ndio tuliambiwa atakuwepo hadi 2025 na baada ya hapo atake asitake watamlazimisha atawale.

Sasa umeshindwa kuelewa hoja nyepesi kama hiyo chawa , hizo buku 7 mkipewa mnasahau hata kujiendeleza na shule?
 
Hapa ulitaka kuswitch ID ila ukasahau chawa?

Maana wewe ndio ulileta "assurance" kwamba mama Abdul yupo hadi 2030 nikakuuliza hata Magufuli machawa wake walisema atakuwepo sana hadi 2025 na pia atake asitake atatawala hadi achoke ndio maana nikauliza Magufuli yuko wapi kwa sasa?
Jibu ni moja tu kuwa ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan hadi mwaka 2030. Kama hutaki hama Nchi au jinyonge UFE tu maana huna faida yoyote ile
 
Jibu ni moja tu kuwa ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan hadi mwaka 2030. Kama hutaki hama Nchi au jinyonge UFE tu maana huna faida yoyote ile
Eti daktari!.

Mpuuzi kweli wewe , udaktari huo anaopewa kila kukicha kwa kutunukiwa bila merit?

Hebu weka hapa tasnifu yoyote aliyowahi kuiandika Samia .
 
Eti daktari!.

Mpuuzi kweli wewe , udaktari huo anaopewa kila kukicha kwa kutunukiwa bila merit?

Hebu weka hapa tasnifu yoyote aliyowahi kuiandika Samia .
Na wewe nenda ukapewe kama ni rahisi kupewa. wanapewa akili kubwa na siyo vichwa panzi kama wewe
 
Na wewe nenda ukapewe kama ni rahisi kupewa. wanapewa akili kubwa na siyo vichwa panzi kama wewe
Jibu ni kuwa hana tasnifu yoyote.

Na chawa kama wewe uliyekimbia shule hujaelewa hata tasnifu ni nini .?

I rest my case muda wa kuwajibu vilaza kwa asubuhi ya leo nimefungia hapa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mitaani ni shangwe, nderemo, vifijo , chereko chereko,furaha,hoihoi na tabasamu tupu kwa wananchi mbalimbali. Hii ni baada ya Rais Samia kukata kiu ya mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo mioyoni mwao. Kiu ya kutaka kuona Rais Samia akiendelea na muhula wa pili wa Urais kwa kuchukua ,kujaza na kurejesha Fomu ya Urais.

Shangwe hiyo imekuja baada ya Rais Samia kutamka hadharani kuwa anataka kuacha alama katika uongozi wake atakapokuwa anajiandaa kurejea Nyumbani Kizimkazi na kuja kuwahoji walipofikia kimafanikio na kimaendeleo katika Masuala Mazima ya ushirika na ugani.

Kauli ya kusema kuwa atakapo Kuwa anajiandaa kurejea Kizimkazi miaka hiyo ya mwishoni kuelekea 2030.imemaanisha kuwa Rais wetu Mpendwa amekubali Ombi na Maombi ya Mamilioni ya watanzania wa makundi mbalimbali waliohitaji kuona akiendelea kuwa Rais Wetu.

Ndio maana makundi kama Walimu walikuwa wamemchangia mamilioni ya pesa kwa ajili ya kuchukulia Fomu ya Urais.pia wahandisi nao pia walikuwa wamechanga mamilioni ya pesa kwa ajili ya kumpatia Usafiri wa helikopta atakayo kuwa anaruka nayo angani na kuteka anga lote la Tanzania kikomandoo wakati wa kampeni,huku bendera ya kijani ikipepea angani.

Kwa hakika Rais Samia ameleta furaha kubwa sana hapa Nchini kwa kauli yake hiyo.ikumbukwe ya kuwa mamilioni ya watanzania chaguo lao ni Rais Samia tuu hapo Mwakani. Watu wengi sana walikuwa wamesema kuwa wanahitaji kuona CCM ikimpatia Rais Samia ugombea Urais.jambo ambalo hata hivyo CCM kupitia viongozi wake ilijibu kwa kusema kuwa Ni Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mpaka 2030.

Kwa hakika Rais Samia ndiye ameshikilia Furaha ya Mamilioni ya watanzania.kama Ingetokea akakataa ombi la watanzania,kwa hakika angewakatisha sana tamaa na kuwavunja moyo mamilioni ya watanzania ambao kwa sasa wamejaa matumaini tele na uhakika wa kutimiza ndoto zao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
LUCAS MWASHAMBWA UNATAFUTWA MBEYA.
 
Back
Top Bottom