Pre GE2025 Rais Samia awalipua watu kwa shangwe, nderemo na vifijo mitaani baada ya kuwahakikishia kuwepo Madarakani hadi 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Una ukakika? Unajua kwamba Kijijini ni kama mjini Kwa Sasa au umekariri ujinga wako huko Mjini?

Uliza ndugu zako uliowatelekeza Vijijini wakwambie walichokosa badala ya kuropoka tuu
 
2015 na 2020 Ni Mama Yako ndio alikuwa anapiga kampeni na picha na jina lake vilikiwa kwenye mbao za wagombea?

2025-30 Rais ni Samia imeisha hiyo na atashinda Kwa kishindo ,mapovu mtaishia kumwaga jf tuu.
 
Mi sikushangai nawashangaa wale waliolike Uzi wako
 
2015 na 2020 Ni Mama Yako ndio alikuwa anapiga kampeni na picha na jina lake vilikiwa kwenye mbao za wagombea?

2025-30 Rais ni Samia imeisha hiyo na atashinda Kwa kishindo ,mapovu mtaishia kumwaga jf tuu.
Mtanganyika Gani atamchagua raisi wa kuazima Toka nchi jirani??
 
Mie natenda haki wewe na hao wapumbavu wenzako laana lazima ziwatokee puani siumeona laana za wananchi ndio maana mnalipuka na hayo vx yenu kwa roho mbay kila siku mnatumbuana
Wewe ndiye mwenye laana usiyejitambua.
 
Una ukakika? Unajua kwamba Kijijini ni kama mjini Kwa Sasa au umekariri ujinga wako huko Mjini?

Uliza ndugu zako uliowatelekeza Vijijini wakwambie walichokosa badala ya kuropoka tuu
Vifo vya wamama viko vingapi kwa sasa kibao, maji hakuna , madawa hospitali hakuna madaktari sipigani na mashetani mie wenye hari za uongozi na uchawa maana hauna akili ndio maana mtu mweye akili anaelewa nakutoa msaada wewe chizi . Hutoelewa .
 
Sure ndo maana wanangu siku hizi wananiongelesha sana kingereza,Mama ni jembe apewe maua yake wenye wivu wajinyonge
ukitizama kwa umakini maendeleo yanayofanyika kwa kasi tena kwa vitendo ni kama upinzani unakosa la kuzungumza na kubaki kupandikiza chuki kwa wasio na tarifa za kina,uzuri baadae wananchi wanachuja na kuwapuuza
 
Vifo vya wamama viko vingapi kwa sasa kibao, maji hakuna , madawa hospitali hakuna madaktari sipigani na mashetani mie wenye hari za uongozi na uchawa maana hauna akili ndio maana mtu mweye akili anaelewa nakutoa msaada wewe chizi . Hutoelewa .
Yaani wewe hujitambui kabisa.unafanya kazi ya kuropoka ropoka tu . hospitali gani hiyo isiyo na madaktari?
 
Vifo vya wamama viko vingapi kwa sasa kibao, maji hakuna , madawa hospitali hakuna madaktari sipigani na mashetani mie wenye hari za uongozi na uchawa maana hauna akili ndio maana mtu mweye akili anaelewa nakutoa msaada wewe chizi . Hutoelewa .
takwimu za vifo vya mama na mtoto unazo kwa muda wa kipindi gani?

vijiji vilivyofikiwa na miradi ya maji kwa sasa unavifahamu?

huduma ya mama na mtoto ukitazama hayo madawa yalio wekwa na serikali tena bure kwa wananchi huwezi kuzungumza hivyo chukulia mfamo mdogo tuh zamani katika ukuwaji wetu matoto walikua wakitokwa na mate haswa kwa sasa umeliona hilo likiwa kwa mtoto muda mrefu sasa jua ni huduma za hopitali zimeimarika
 
On
 
πŸ€”πŸ€” Ni kufuru kwa MUNGU,anayeshikilia zawadi ya uhai, kuongea hivyo ni laana ku mu over smart MUNGU???πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Hamna porojo acheni kufanya mzaha na Mungu, yeye Samia ana mkataba na Mungu???

Hebu acheni kukufuru , jiwe mlisema mitano Tena, .......na huyu eti mpaka 2030, mna uhakika?? Mna mkataba na Mungu???πŸ€”πŸ€”πŸ€”
Mungu aliyemuinua Rais wetu ndiye kwa Mapenzi yake atamlinda na kumpatia uzima na afya njema ya kuendelea kutuongoza hadi 2030
 
Mungu aliyemuinua Rais wetu ndiye kwa Mapenzi yake atamlinda na kumpatia uzima na afya njema ya kuendelea kutuongoza hadi 2030
2025 hashindi, CCM tayari kumevurugika hiyo ni advantage ya upinzani.
Lakini watu hawataki mnada wa Mali za Tanganyika anaoufanya.
Mama hana mvuto kabisa, siijui ataongea nini kwenye kampeni za Urais zaidi ya vijembe na taarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…