Pre GE2025 Rais Samia awalipua watu kwa shangwe, nderemo na vifijo mitaani baada ya kuwahakikishia kuwepo Madarakani hadi 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kweli anatosha Hadi nimetokwa na machozi !ndio maana hao walimu waligoma huko Mbeya !!
 
🤣🤣 mitaa gani hiyo ila machawa 🤣🤣🤣🤣 🚮🚮
 
Ripoti ya CAG kila siku itakuwa kichekesho;
"Rushwa katika Mahakama,
Bila kusahau ufisadi wa Polisi,
Halafu hao TISS ndiyo wenyewe
Halafu wanajeshi wamesahau kulipa bili ya Tanesco"

Kwa mpango wa namna hii,nani atamkamata nani?
 
Kwa kwli nimesoma bandiko lako huju nikiwa nabubujikwa na machozi kwa huzuni
 
2015 na 2020 Ni Mama Yako ndio alikuwa anapiga kampeni na picha na jina lake vilikiwa kwenye mbao za wagombea?
Wewe mpuuzi hata kusoma kumbe hujui achilia mbali kuelewa ?

Nimeuliza swali jepesi sana lini Samia aliwahi kuwa "presidential aspirant" wa CCM , au huelewi lugha ? , nilimaanisha ni lini Samia aliwahi kuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM jibu ni kuwa Samia hajawahi kugombea urais na kwa sasa huyu ni rais wa mpito baada ya kufariki mtangulizi wake hivyo Samia atakuwa mgombea 2025 kama akifanikiwa kuwepo au kama CCM wakimpitisha.

Hivi kumbe ili uwe chawa kigezo cha kwanza ni lazima uwe zezeta, basi nimethibitisha hilo.
2025-30 Rais ni Samia imeisha hiyo na atashinda Kwa kishindo ,mapovu mtaishia kumwaga jf tuu.
Kishindo kipi??

Kwa huu upuuzi mnaondesha Tanzania ndio unaita uchaguzi??

Hata wapinzani wakishiriki tena huu upuuzi 2025 nitawashangaa maana kipi kimebadilika tangu ule ushenzi uliofanyika 2020?

CHADEMA wakishiriki uchaguzi huo bila tume huru basi wasije kusema wameibiwa maana wanajua nyani ni wale wale ila pori tu ndio tofauti, kipindi kile mwizi alikuwa mwanaume ila kipindi hiki ni mwanamke.
 
Mama yupo Hadi 2030,povu halitakusaidia na huna Cha kufanya 😁😁😁😁
 
Mama yupo Hadi 2030
Hata machawa wa Magufuli walisema, Magufuli atakuwepo hadi 2025 je yupo wapi?
,povu halitakusaidia na huna Cha kufanya 😁😁😁😁
Huyo ni mama yake Abdul sio mama yako.

Hakuna mahali kwenye katiba hii hii mbovu pameandikwa mgombea atagombea nafasi ya "Mama" huyo aitwe rais na akosolewe kwa kupwaya kwenye nafasi ya urais sio kumuita kwa lugha laini laini huku anaonyesha madhaifu ya kiuongozi.
 
Na atakaye kubishia unaweza kumgonga na ile pukipiki ulioyopewa
 
Mwambie aje Ukumbi wa Mwalim Nyerere apate Daawa, We an international speakers from all over the world including UK .. Its so lovely to be in Dar re salaam today.
 
Kwani una Mpango wa kumfanya nini my.Rais?
 
Nasikitika kwamba Rais Samia anataka kukaa madarakani mpaka 2030.

Siku moja walifika wageni hapa, watoto wa shule, nilikuwa naongea nao,nasema," Sikilizeni nyinyi watoto,kama watu wanazeeka,it is because of their careless lifestyle. If you live sensibly,you can remain alive for an incredibly long period of time."
Nilipozungumza maneno hayo nilileta taharuki kubwa sana hapa nyumbani.
Vijana wanawaza,"Huyu jamaa vipi tena? Tunamsubiri afe tuifaidi hii nyumba yeye anataka kuishi milele tena?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…