Pre GE2025 Rais Samia awalipua watu kwa shangwe, nderemo na vifijo mitaani baada ya kuwahakikishia kuwepo Madarakani hadi 2030

Pre GE2025 Rais Samia awalipua watu kwa shangwe, nderemo na vifijo mitaani baada ya kuwahakikishia kuwepo Madarakani hadi 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Mitaani ni shangwe, nderemo, vifijo , chereko chereko,furaha,hoihoi na tabasamu tupu kwa wananchi mbalimbali. Hii ni baada ya Rais Samia kukata kiu ya mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo mioyoni mwao. Kiu ya kutaka kuona Rais Samia akiendelea na muhula wa pili wa Urais kwa kuchukua ,kujaza na kurejesha Fomu ya Urais.

Shangwe hiyo imekuja baada ya Rais Samia kutamka hadharani kuwa anataka kuacha alama katika uongozi wake atakapokuwa anajiandaa kurejea Nyumbani Kizimkazi na kuja kuwahoji walipofikia kimafanikio na kimaendeleo katika Masuala Mazima ya ushirika na ugani.

Kauli ya kusema kuwa atakapo Kuwa anajiandaa kurejea Kizimkazi miaka hiyo ya mwishoni kuelekea 2030.imemaanisha kuwa Rais wetu Mpendwa amekubali Ombi na Maombi ya Mamilioni ya watanzania wa makundi mbalimbali waliohitaji kuona akiendelea kuwa Rais Wetu.

Ndio maana makundi kama Walimu walikuwa wamemchangia mamilioni ya pesa kwa ajili ya kuchukulia Fomu ya Urais.pia wahandisi nao pia walikuwa wamechanga mamilioni ya pesa kwa ajili ya kumpatia Usafiri wa helikopta atakayo kuwa anaruka nayo angani na kuteka anga lote la Tanzania kikomandoo wakati wa kampeni,huku bendera ya kijani ikipepea angani.

Kwa hakika Rais Samia ameleta furaha kubwa sana hapa Nchini kwa kauli yake hiyo.ikumbukwe ya kuwa mamilioni ya watanzania chaguo lao ni Rais Samia tuu hapo Mwakani. Watu wengi sana walikuwa wamesema kuwa wanahitaji kuona CCM ikimpatia Rais Samia ugombea Urais.jambo ambalo hata hivyo CCM kupitia viongozi wake ilijibu kwa kusema kuwa Ni Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mpaka 2030.

Kwa hakika Rais Samia ndiye ameshikilia Furaha ya Mamilioni ya watanzania.kama Ingetokea akakataa ombi la watanzania,kwa hakika angewakatisha sana tamaa na kuwavunja moyo mamilioni ya watanzania ambao kwa sasa wamejaa matumaini tele na uhakika wa kutimiza ndoto zao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hata Nyerere alisema atafikisha miaka 80 aliishia hapo alipoishia. Hata Mzee chato alitakiwa apige mpaka 2025 lakini Mungu alimpenda zaidi nani anayejua mambo ya kesho yake siyo miaka uliyotaja 6 mbele aa siku moja tu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mitaani ni shangwe, nderemo, vifijo , chereko chereko,furaha,hoihoi na tabasamu tupu kwa wananchi mbalimbali. Hii ni baada ya Rais Samia kukata kiu ya mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo mioyoni mwao. Kiu ya kutaka kuona Rais Samia akiendelea na muhula wa pili wa Urais kwa kuchukua ,kujaza na kurejesha Fomu ya Urais.

Shangwe hiyo imekuja baada ya Rais Samia kutamka hadharani kuwa anataka kuacha alama katika uongozi wake atakapokuwa anajiandaa kurejea Nyumbani Kizimkazi na kuja kuwahoji walipofikia kimafanikio na kimaendeleo katika Masuala Mazima ya ushirika na ugani.

Kauli ya kusema kuwa atakapo Kuwa anajiandaa kurejea Kizimkazi miaka hiyo ya mwishoni kuelekea 2030.imemaanisha kuwa Rais wetu Mpendwa amekubali Ombi na Maombi ya Mamilioni ya watanzania wa makundi mbalimbali waliohitaji kuona akiendelea kuwa Rais Wetu.

Ndio maana makundi kama Walimu walikuwa wamemchangia mamilioni ya pesa kwa ajili ya kuchukulia Fomu ya Urais.pia wahandisi nao pia walikuwa wamechanga mamilioni ya pesa kwa ajili ya kumpatia Usafiri wa helikopta atakayo kuwa anaruka nayo angani na kuteka anga lote la Tanzania kikomandoo wakati wa kampeni,huku bendera ya kijani ikipepea angani.

Kwa hakika Rais Samia ameleta furaha kubwa sana hapa Nchini kwa kauli yake hiyo.ikumbukwe ya kuwa mamilioni ya watanzania chaguo lao ni Rais Samia tuu hapo Mwakani. Watu wengi sana walikuwa wamesema kuwa wanahitaji kuona CCM ikimpatia Rais Samia ugombea Urais.jambo ambalo hata hivyo CCM kupitia viongozi wake ilijibu kwa kusema kuwa Ni Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mpaka 2030.

Kwa hakika Rais Samia ndiye ameshikilia Furaha ya Mamilioni ya watanzania.kama Ingetokea akakataa ombi la watanzania,kwa hakika angewakatisha sana tamaa na kuwavunja moyo mamilioni ya watanzania ambao kwa sasa wamejaa matumaini tele na uhakika wa kutimiza ndoto zao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Akimaliza, kupiga selfie, akalipe tilioni 3.2 za orca energy, kwa sababu ya kuvunja mkataba kiupambavu wa, ccm
 
Sasa kama kweli una akili Timamu na unajitambua vyema ,unaona ni nani anayeweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura? Ni nani mwenye ubavu au ushawishi wa kuweza kupata kura hata laki tano tu?
Na Kwa upumbavu unaoandikaga hata unayemsifia ashakudharau.
 
hilo halina ubishi.
kura yangu ni kwa dkt Mama Samia tu, sina mwengine.
Mama mchapa kazi, mwadilifu asiye majivuno, mnyenyekevu asiye lewa madaraka.
Si mpaka uwe hai. Israil anatafuta watu kila siku
 
huyu mama ukitizama hizi shule za msingi za serikali alivyo zipandisha na kuzikarabati kisasa kisha kuziwekea mchepuo wa kingereza kwa kila wilaya.,wallah ni kama mujiza flani kwa kweli

kalenga kumpa fursa myonge wa mwisho kumpeleka mwanae english medium hii itaondoa obwe kwa watanzania
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mitaani ni shangwe, nderemo, vifijo , chereko chereko,furaha,hoihoi na tabasamu tupu kwa wananchi mbalimbali. Hii ni baada ya Rais Samia kukata kiu ya mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo mioyoni mwao. Kiu ya kutaka kuona Rais Samia akiendelea na muhula wa pili wa Urais kwa kuchukua ,kujaza na kurejesha Fomu ya Urais.

Shangwe hiyo imekuja baada ya Rais Samia kutamka hadharani kuwa anataka kuacha alama katika uongozi wake atakapokuwa anajiandaa kurejea Nyumbani Kizimkazi na kuja kuwahoji walipofikia kimafanikio na kimaendeleo katika Masuala Mazima ya ushirika na ugani.

Kauli ya kusema kuwa atakapo Kuwa anajiandaa kurejea Kizimkazi miaka hiyo ya mwishoni kuelekea 2030.imemaanisha kuwa Rais wetu Mpendwa amekubali Ombi na Maombi ya Mamilioni ya watanzania wa makundi mbalimbali waliohitaji kuona akiendelea kuwa Rais Wetu.

Ndio maana makundi kama Walimu walikuwa wamemchangia mamilioni ya pesa kwa ajili ya kuchukulia Fomu ya Urais.pia wahandisi nao pia walikuwa wamechanga mamilioni ya pesa kwa ajili ya kumpatia Usafiri wa helikopta atakayo kuwa anaruka nayo angani na kuteka anga lote la Tanzania kikomandoo wakati wa kampeni,huku bendera ya kijani ikipepea angani.

Kwa hakika Rais Samia ameleta furaha kubwa sana hapa Nchini kwa kauli yake hiyo.ikumbukwe ya kuwa mamilioni ya watanzania chaguo lao ni Rais Samia tuu hapo Mwakani. Watu wengi sana walikuwa wamesema kuwa wanahitaji kuona CCM ikimpatia Rais Samia ugombea Urais.jambo ambalo hata hivyo CCM kupitia viongozi wake ilijibu kwa kusema kuwa Ni Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mpaka 2030.

Kwa hakika Rais Samia ndiye ameshikilia Furaha ya Mamilioni ya watanzania.kama Ingetokea akakataa ombi la watanzania,kwa hakika angewakatisha sana tamaa na kuwavunja moyo mamilioni ya watanzania ambao kwa sasa wamejaa matumaini tele na uhakika wa kutimiza ndoto zao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mda mwalim
 
Nauwakika alienda kijijini au kwa machizi jiulize tokea miaka na miaka watu wamasai hawakuwahi kutolewa kule hifadhini ,nchi hawajawahi uzwa kwa warabu,leo kuna kila mahali vimeuzwa watu wamegawanya ardhi za mababu zao kama si laana nini?
Eti wanaleta maendeleo yapi na hayaonekani.. use your brain ipo siku wanaume wote penda msipende mtageuzwa kuwa wa mama . Halafu hii ni amri kutoka kwa waarabu .
 
huyu mama ukitizama hizi shule za msingi za serikali alivyo zipandisha na kuzikarabati kisasa kisha kuziwekea mchepuo wa kingereza kwa kila wilaya.,wallah ni kama mujiza flani kwa kweli

kalenga kumpa fursa myonge wa mwisho kumpeleka mwanae english medium hii itaondoa obwe kwa watanzania
Okay no problem ila yote itakuwa nothing ukishakuwa na akili ya kuuza nchi hata ukiremba kama nchi ya ahadi haisaidii
 
huyu mama ukitizama hizi shule za msingi za serikali alivyo zipandisha na kuzikarabati kisasa kisha kuziwekea mchepuo wa kingereza kwa kila wilaya.,wallah ni kama mujiza flani kwa kweli

kalenga kumpa fursa myonge wa mwisho kumpeleka mwanae english medium hii itaondoa obwe kwa watanzania
Sure ndo maana wanangu siku hizi wananiongelesha sana kingereza,Mama ni jembe apewe maua yake wenye wivu wajinyonge
 
Nauwakika alienda kijijini au kwa machizi jiulize tokea miaka na miaka watu wamasai hawakuwahi kutolewa kule hifadhini ,nchi hawajawahi uzwa kwa warabu,leo kuna kila mahali vimeuzwa watu wamegawanya ardhi za mababu zao kama si laana nini?
Eti wanaleta maendeleo yapi na hayaonekani.. use your brain ipo siku wanaume wote penda msipende mtageuzwa kuwa wa mama . Halafu hii ni amri kutoka kwa waarabu .
Hivi una akili Timamu kweli? Una macho Mazima kweli? Kwamba maendeleo huyaoni hapa Nchini? Unaposema sijuwi kitu hiki na hiki kimeuzwa ,ushahidi upo wapi wa hayo uropokayo? Unaposema wafu fulani wamehamishwa ,je ulitaka waendelea kukaa eneo ambalo linaendelea kuwa dogo ukilinganisha na idadi ya watu? Ulitaka tuuwe utalii? Hukuona kuwa idadi ya watu na mifugo ilikuwa inaongezeka kwa kasi kubwa sana
 
Back
Top Bottom