Pre GE2025 Rais Samia awalipua watu kwa shangwe, nderemo na vifijo mitaani baada ya kuwahakikishia kuwepo Madarakani hadi 2030

Pre GE2025 Rais Samia awalipua watu kwa shangwe, nderemo na vifijo mitaani baada ya kuwahakikishia kuwepo Madarakani hadi 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi una akili Timamu kweli? Una macho Mazima kweli? Kwamba maendeleo huyaoni hapa Nchini? Unaposema sijuwi kitu hiki na hiki kimeuzwa ,ushahidi upo wapi wa hayo uropokayo? Unaposema wafu fulani wamehamishwa ,je ulitaka waendelea kukaa eneo ambalo linaendelea kuwa dogo ukilinganisha na idadi ya watu? Ulitaka tuuwe utalii? Hukuona kuwa idadi ya watu na mifugo ilikuwa inaongezeka kwa kasi kubwa sana
Kwanini miaka na miaka mkuwaona wakiwa na hiyo mifugo jingine maendeleo yapi kama kila siku wamama wajawazito wanakufa wakijifungua ?? Jingine hadi kia imeuzwa au huna hizo post , nenda you tube wa bunge wanavyolalamika ,chadema wanalalamika , wananchi wanalalamika hospitali hakuna, ambulance hakuna , madawa hakuna, chakula hakuna unataka ushaidi nenda vijiji vya kati navikuu ndani ndani angalia kuanzia shule za kata, angalia maji kama wanayo, angalia hospitali kama kuna daktari, kama kuna manesi, madawa , kama huduma inatolewa kwa wakati halafu ndio uongee ujinga .

Hata kijiji chenu hakijaendelea
 
Kwanini miaka na miaka mkuwaona wakiwa na hiyo mifugo jingine maendeleo yapi kama kila siku wamama wajawazito wanakufa wakijifungua ?? Jingine hadi kia imeuzwa au huna hizo post , nenda you tube wa bunge wanavyolalamika ,chadema wanalalamika , wananchi wanalalamika hospitali hakuna, ambulance hakuna , madawa hakuna, chakula hakuna unataka ushaidi nenda vijiji vya kati navikuu ndani ndani angalia kuanzia shule za kata, angalia maji kama wanayo, angalia hospitali kama kuna daktari, kama kuna manesi, madawa , kama huduma inatolewa kwa wakati halafu ndio uongee ujinga .

Hata kijiji chenu hakijaendelea
Bila shaka wewe ni kipofu wa akili na macho.hata ukielezwa vipi huwezi kuelewa maana umeshapofuka akili na macho yako.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mitaani ni shangwe, nderemo, vifijo , chereko chereko,furaha,hoihoi na tabasamu tupu kwa wananchi mbalimbali. Hii ni baada ya Rais Samia kukata kiu ya mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo mioyoni mwao. Kiu ya kutaka kuona Rais Samia akiendelea na muhula wa pili wa Urais kwa kuchukua ,kujaza na kurejesha Fomu ya Urais.

Shangwe hiyo imekuja baada ya Rais Samia kutamka hadharani kuwa anataka kuacha alama katika uongozi wake atakapokuwa anajiandaa kurejea Nyumbani Kizimkazi na kuja kuwahoji walipofikia kimafanikio na kimaendeleo katika Masuala Mazima ya ushirika na ugani.

Kauli ya kusema kuwa atakapo Kuwa anajiandaa kurejea Kizimkazi miaka hiyo ya mwishoni kuelekea 2030.imemaanisha kuwa Rais wetu Mpendwa amekubali Ombi na Maombi ya Mamilioni ya watanzania wa makundi mbalimbali waliohitaji kuona akiendelea kuwa Rais Wetu.

Ndio maana makundi kama Walimu walikuwa wamemchangia mamilioni ya pesa kwa ajili ya kuchukulia Fomu ya Urais.pia wahandisi nao pia walikuwa wamechanga mamilioni ya pesa kwa ajili ya kumpatia Usafiri wa helikopta atakayo kuwa anaruka nayo angani na kuteka anga lote la Tanzania kikomandoo wakati wa kampeni,huku bendera ya kijani ikipepea angani.

Kwa hakika Rais Samia ameleta furaha kubwa sana hapa Nchini kwa kauli yake hiyo.ikumbukwe ya kuwa mamilioni ya watanzania chaguo lao ni Rais Samia tuu hapo Mwakani. Watu wengi sana walikuwa wamesema kuwa wanahitaji kuona CCM ikimpatia Rais Samia ugombea Urais.jambo ambalo hata hivyo CCM kupitia viongozi wake ilijibu kwa kusema kuwa Ni Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mpaka 2030.

Kwa hakika Rais Samia ndiye ameshikilia Furaha ya Mamilioni ya watanzania.kama Ingetokea akakataa ombi la watanzania,kwa hakika angewakatisha sana tamaa na kuwavunja moyo mamilioni ya watanzania ambao kwa sasa wamejaa matumaini tele na uhakika wa kutimiza ndoto zao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watafute kazi za kufanya Sasa Hakuna ujinga ujinga mwingine 😂😂
 
Kwanini miaka na miaka mkuwaona wakiwa na hiyo mifugo jingine maendeleo yapi kama kila siku wamama wajawazito wanakufa wakijifungua ?? Jingine hadi kia imeuzwa au huna hizo post , nenda you tube wa bunge wanavyolalamika ,chadema wanalalamika , wananchi wanalalamika hospitali hakuna, ambulance hakuna , madawa hakuna, chakula hakuna unataka ushaidi nenda vijiji vya kati navikuu ndani ndani angalia kuanzia shule za kata, angalia maji kama wanayo, angalia hospitali kama kuna daktari, kama kuna manesi, madawa , kama huduma inatolewa kwa wakati halafu ndio uongee ujinga .

Hata kijiji chenu hakijaendelea
Nchi gani imewahi maliza mchakato wa Maendeleo hapa Duniani?
 
Hivi uchaguzi wa mwakani umeshafanyika na Tume huru imeshahesabu kura na kuyatangaza matokeo yake??

Iweje huyu Lucas Mwashambwa atangaze kuwa Rais Samia ataendeoea katika kiti chake hicho Hadi mwaka 2030!

Hivi sasa ndiyo tunalazimika kuyaamini maneno ya Nape, kuwa katika nchi hii, haitegemei kura zinazopigwa Kwenye maboksi, Bali inategemea nani anayehesabu na kutangaza kura hizo!
Ndani ya CCM,chaguo ni Rais Samia na in fact Kwa kazi yake ndio chaguo la Watanzania.

Sasa uache kumchagua mtu aliye deliver uanze kuchagua Hadithi? Utakuwa na akili?
 
Eti "Kuripua" acha kuharibu lugha wewe chawa ni " Kulipua".

Halafu labda ailipue nchi kwa ufisadi uliotamalaki huku yeye akiwa anajiita ni chura kiziwi.

Mafisadi na majizi yaliyotajwa kwenye ripoti ya CAG yanapeta huko mitaani na hakuna hatua yoyote wamechukuliwa.

Kagawa bandari na mbuga zetu kwa waarabu huko ndio kulipua nchi kwa shangwe chawa?
View attachment 3066251
Uzushi hautakusaidia wewe nyumbu
 
Uzushi hautakusaidia wewe nyumbu
Naona mnakuja kwa kubadilisha ID.

Nakukaribisha uje na zile ID zako nyingine mbili chawa.

Ila huyu mama yenu hatoshi na nitazidi kuonyesha anavyopwaya, maana nchi inatafunwa tu nyie machawa mmebaki kusifia upuuzi.
 
Samia ni rais bora Tanzania tunamuhitaji sana hata baada ya 2030 tumuombee uhai tu
Rais wa viwango
20240731_152208.jpg
 
Naona mnakuja kwa kubadilisha ID.

Nakukaribisha uje na zile ID zako nyingine chawa.

Ila huyu mama yenu hatoshi na nitazidi kuonyesha anavyopwaya, maana nchi inatafunwa tu nyie machawa mmebaki kusifia upuuzi.
Onyesha na sisi tuone.Mwishi kutosha au kutotosha kunapimwa na wewe au namba?

Tangu lini matamanio Yako binafsi yakawa ndio Kipimo Cha Watanzania? 👇👇
20240731_152208.jpg
 
Naona mnakuja kwa kubadilisha ID.

Nakukaribisha uje na zile ID zako nyingine mbili chawa.

Ila huyu mama yenu hatoshi na nitazidi kuonyesha anavyopwaya, maana nchi inatafunwa tu nyie machawa mmebaki kusifia upuuzi.
Hutoshi wewe na akili yako kisoda. Kama unajiamini na una akili Timamu embu nenda uchukue Fomu ugombee Urais. Ila ni nakukumbusha tu kuwa ni lazima uwe na akili Timamu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mitaani ni shangwe, nderemo, vifijo , chereko chereko,furaha,hoihoi na tabasamu tupu kwa wananchi mbalimbali. Hii ni baada ya Rais Samia kukata kiu ya mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo mioyoni mwao. Kiu ya kutaka kuona Rais Samia akiendelea na muhula wa pili wa Urais kwa kuchukua ,kujaza na kurejesha Fomu ya Urais.

Shangwe hiyo imekuja baada ya Rais Samia kutamka hadharani kuwa anataka kuacha alama katika uongozi wake atakapokuwa anajiandaa kurejea Nyumbani Kizimkazi na kuja kuwahoji walipofikia kimafanikio na kimaendeleo katika Masuala Mazima ya ushirika na ugani.

Kauli ya kusema kuwa atakapo Kuwa anajiandaa kurejea Kizimkazi miaka hiyo ya mwishoni kuelekea 2030.imemaanisha kuwa Rais wetu Mpendwa amekubali Ombi na Maombi ya Mamilioni ya watanzania wa makundi mbalimbali waliohitaji kuona akiendelea kuwa Rais Wetu.

Ndio maana makundi kama Walimu walikuwa wamemchangia mamilioni ya pesa kwa ajili ya kuchukulia Fomu ya Urais.pia wahandisi nao pia walikuwa wamechanga mamilioni ya pesa kwa ajili ya kumpatia Usafiri wa helikopta atakayo kuwa anaruka nayo angani na kuteka anga lote la Tanzania kikomandoo wakati wa kampeni,huku bendera ya kijani ikipepea angani.

Kwa hakika Rais Samia ameleta furaha kubwa sana hapa Nchini kwa kauli yake hiyo.ikumbukwe ya kuwa mamilioni ya watanzania chaguo lao ni Rais Samia tuu hapo Mwakani. Watu wengi sana walikuwa wamesema kuwa wanahitaji kuona CCM ikimpatia Rais Samia ugombea Urais.jambo ambalo hata hivyo CCM kupitia viongozi wake ilijibu kwa kusema kuwa Ni Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan mpaka 2030.

Kwa hakika Rais Samia ndiye ameshikilia Furaha ya Mamilioni ya watanzania.kama Ingetokea akakataa ombi la watanzania,kwa hakika angewakatisha sana tamaa na kuwavunja moyo mamilioni ya watanzania ambao kwa sasa wamejaa matumaini tele na uhakika wa kutimiza ndoto zao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
hakika ni furaha iliyoje kama Taifa kwa waTanzania katika umoja wao, wanafurahia habari njema ya kwamba, kipenzi cha ndoto zao za maisha na maendeleo Dr.Samia Suluhu Hassan, yuko tayari tena kwa wajibu huo muhimu na mzito, wa kuwatimizia matarajio yao waTanzania, kuanzia kwenye uchaguzi mkuu mwaka ujao 2025👊💪
 
hakika ni furaha iliyoje kama Taifa kwa waTanzania katika umoja wao, wanafurahia habari njema ya kwamba, kipenzi cha ndoto zao za maisha na maendeleo Dr.Samia Suluhu Hassan, yuko tayari tena kwa wajibu huo muhimu na mzito, wa kuwatimizia matarajio yao waTanzania, kuanzia kwenye uchaguzi mkuu mwaka ujao 2025👊💪
Manyumbu yamechanganyikiwa kabisa maana yanajuwa kuwa hayani ubavu wala uwezo wala nguvu za kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura.
 
Hutoshi wewe na akili yako kisoda. Kama unajiamini na una akili Timamu embu nenda uchukue Fomu ugombee Urais. Ila ni nakukumbusha tu kuwa ni lazima uwe na akili Timamu
Samia alichaguliwa na nani kuwa rais chawa?

Onyesha hapa evidence kuwa alikuwa presidential aspirant.
Onyesha na sisi tuone.Mwishi kutosha au kutotosha kunapimwa na wewe au namba?

Tangu lini matamanio Yako binafsi yakawa ndio Kipimo Cha Watanzania? 👇👇View attachment 3066422

Rais wa viwango ndio huyu anayewaambia wezi waibe kadiri ya wanavyoweza [ kula kwa urefu wa kamba].

Nyie machawa wajinga mtakuwa mlipata 0 kidato cha nne kama boss wenu.
 
Magufuli aliwahakikishia watanzanzia kuwepo sana ikulu...kilichotokea wote tunajua
 
Nchi gani imewahi maliza mchakato wa Maendeleo hapa Duniani?
Unaona umesema ukweli kuwa hamjamaliza na hitaji mtu ambaye ataacha kujiona mijini anasaidia nakwenda vijijini kusaidia sasa wawe na vyoo vya shule , madarasa watu wanakaa chini,watu hawana waalimu wengine wanakaa na njaa hii system mnayoisifia nyie ipo tu mjini na miji yakati ndani ndani sasa shughuli ipo . So acheni figisu figisu tendeni kazo kwa akili naufasaha
 
Samia alichaguliwa na nani kuwa rais chawa?

Onyesha hapa evidence kuwa alikuwa presidential aspirant.

View attachment 3066437
Rais wa viwango ndio huyu anayewaambia wezi waibe kadiri ya wanavyoweza [ kula kwa urefu wa kamba].

Nyie machawa wajinga mtakuwa mlipata 0 kidato cha nne kama boss wenu.
Watu wanaomsifia huyu mama ni wendawazimu na wanafanya hivo kwa malengo fulani, mtu mwenye akili timamu na anayejua jinsi hali ya maisha ilivyobadilika hawez kumwendekeza huyu raisi mnafiki.
 
Back
Top Bottom