Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Bora ya msukuma kuliko mchaga atutawaleWasukuma wote hawapo hivyo. Jiheshimu.
[emoji38][emoji38][emoji38]Kwiiishaaaa tena kifo cha mende.
Ushauri wangu kwa wote uongozi mzuri ni hybrid ya upole na ukali yaani carrot stick principle siyo ukali tuu ndiyo falsafa ya mamaKwa mtu ambaye anapenda na kuzingatia siasa za kistaarabu, haki, kiutu na maelewano, atauelewa kwa urahisi sana mtizamo wa kiungozi wa Rais SSH. Lakini wale kwangu pakavu tia mchuzi bado vichwani mwao wamebakia na kumbukumbu za siasa za kiharamia za awamu iliyopita.
Wakati msimamo wa Madam President ni kurithi na kuyaendeleza mazuri yote ya awamu zilizopita, baadhi ya wanufaika wa awamu iliyopita wanatamani ayaendeleze na mabaya yake pia.
Toka mwaka 2016 walijawa na dhihaka, majivuno na kejeli nyingi pale Watanzania wenzao walipipitia katika madhila makubwa. Waliwabeza na kuwasimanga, huku wakisema kila zama ina msahafu wake.
Wamekuwa wepesi wa kusahau na wagumu wa kuelewa zama zimebadilika ijapokuwa zilikuwa ni fupi ama zilifupishwa. Ni dhahiri sasa ni kuwa ukishindwa kukabiliana ama kupambana nao, ni vyema ukaungana nao.
Mwenye akili na busara anamuelewa sana Madam President, wewe ni nani ambaye huoni aibu ya kulazimisha vitu vilivyopuuzwa, kusahaulika na kutupiliwa mbali!?
Hakuna anaye mpendaMkuu watu wanatofautiana mitazamo ndio maana huyu Jiwepamoja na yote ila kazikwa na watu wengi pengine zaidi wanavyozikwa watu wema unaowajua, usitumie nguvu kutaka watu wote wamtizame Jiwe kwa mtazamo wa ubaya muda wote.
Ni Wewe tu na matako yako.Hakuna anaye mpenda
🤣🤣🤣🤣 So mzeya isingekuwa kuna moto ingekuwa full burudaniNi kweli unafikiri kama sio kuogopa moto nitaanzaje kujinyima kufanya starehe nitavyo hapa duniani au kufanya ibada na kuacha kufanya mambo mengine.
Kama ilikuwa inaketa tija safi sana!
.
Sasa yeye ajenge huo mfumo sasa anaotaka wa kutoka moyoni, aujenge ili mambo yaende hicho ndio watu wanataka
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
NotedUkweli ni kwamba watumishi wengi walifanya vitu kwa kuogopa kufukuzwa kazi na si kwa nidhamu.
Taifa linajiponya na nini?taifa linalopigana KUJIPONYA.
Tatizo ni mifumo