econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
S
Vyote ulivyosema sio ukweli. Kwani sukari imepanda kipindi Cha Nani?.
Halafu kuhusu ajali mbona zilikiwepo nyingi?. Umesahau ajali ya meli ya ukerewe, ajali ya city boys , ajali ya morogoro waliokufa watu 100.
Kwangu Mimi Magufuli alikuwa mpenda sifa na Wala hakufanya Mambo kwa upendo .
Sometimes tunapaswa kuwa wakweli.
Wakati wa Simba wa Yuda:-
(1) Umeme haujawahi kukatikakatika kihuni kihuni kama ilivyo sasa.
(2) Mfuko wa mbolea ulinunuliwa kwa sh. 50,000/- lakini sasa ni sh.120,000/-
(3) Hakukuwa na Ajali nyingi za magari kama ilivyo sasa.
(4) Hakukuwa na visa vingi vya mauaji kama ilivyokuwa miezi michache iliyopita.
(5)Watu wakienda kwenye ofisi za umma walihudumiwa haraka bila ubabaishaji tofauti na inavyoelekea sasa.
(6)Niliwahi kuishi MAKAMBAKO miaka ya 2012/2015, wakati ule ilikuwa ukitembea mitaani kuanzia saa 2 za usiku unapigwa NONDO kichwani, lakini alipoingia Simba wa Yuda NONDO zote zilitoweka ghafla.
Kama mimi ni mwongo, nenda ukawaulize watu wa MAKAMBAKO.
(7) Bei za vitu hazijawahi kupanda kama ilivyo sasa.
Hayo ni machache tu.
Mpaka hapo, utaachaje kumpenda SIMBA WA YUDA?
Utaachaje kumkumbuka SIMBA WA YUDA?
RIP, SIMBA WA YUDA.
Sisi hatutakusahau kamwe hata kama watatengeneza mbinu mbalimbali za kutufanya tukusahau.
RIP, DAD.
Vyote ulivyosema sio ukweli. Kwani sukari imepanda kipindi Cha Nani?.
Halafu kuhusu ajali mbona zilikiwepo nyingi?. Umesahau ajali ya meli ya ukerewe, ajali ya city boys , ajali ya morogoro waliokufa watu 100.
Kwangu Mimi Magufuli alikuwa mpenda sifa na Wala hakufanya Mambo kwa upendo .