Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

'Wewe Mkurugenzi nikulipe mshahara, marupurupu, gari na nyumba halafu umtangaze mpinzani'? Imagine kauli kama hiyo kutoka kwa Rais wa nchi kwenda kwa kamtu kadogo kama kamkurugenzi wa halmashauri! Aiseee?
 
Kwa hiyo chifu hana madhara kabisa, maana yeye hana sharubu za kugusa....
 
'Wewe Mkurugenzi nikulipe mshahara, marupurupu, gari na nyumba halafu umtangaze mpinzani'? Imagine kauli kama hiyo kutoka kwa Rais wa nchi kwenda kwa kamtu kadogo kama kamkurugenzi wa halmashauri! Aiseee?
 
mwacheni mama wa watu kafunga 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁
 
'Wewe Mkurugenzi nikulipe mshahara, marupurupu, gari na nyumba halafu umtangaze mpinzani'? Imagine kauli kama hiyo kutoka kwa Rais wa nchi kwenda kwa kamtu kadogo kama kamkurugenzi wa halmashauri! Aiseee?
Wazee wa legacy hawawezi kukuelewa lakini kiukweli yule jamaa alikua na kauli chafu na roho mbaya sana. Mungu atadeal nae huko tumwachie ataamua mwenyewe.
 
Kuna wakati unaweza kudhania uko sahihi lakini ukawa umekosea sana, si kila neno unaloweza kulitamka ulitamke. Kwenye executive kuna confidentiality and respect to the former executives and their methods.

Hata kama hukubaliani na waliokutangulia tumia Tafsida... staha na ukumbuke sio kila unachowaza ndio kinaamiwa na wengine wote. JPM hata kama alichukiwa na mimi haina maana wote walimchukia kuna majority waliomlilia kwa nguvu sana so once you became a president unakuwa president wa wote... sio wa karba yakk tu.... hapo ndio sikubaliani na kauli zake.
 
Sasa Kama mfanyakazi wa Umma hataki kua na maadili yeye mwenyewe,basi Mkuu wake lazima amnyooshe na hakuna kubembelezana ebo!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kuogopa kufukuzwa kazi sindio nidhamu inayohitajika. Kama huna hofu ya kupoteza kitu ambacho ni cha maana kwako utakuwaje makini?
Unadhani nchi za wenzetu waliostaaribika wanaishi hivyo?

Kuishi kwa kuogopaogopa na kutishana tishana kuko huku shithole countries. Kufanya kazi ni raha, licha ya kupata kipato tunatakiwa tufanye kazi kuutimiza utu wetu. Mungu mwenyewe ndiye mwanzilishi wa ajira pale alipomwambia Adamu ailime na kuitunza bustani. MWANZO 2:15.

YAANI KUFANYA KAZI HADI UTISHWE!!!!!?

YESU ni BWANA na MWOKOZI
 
Baadhi ya Wafanyakazi wa Umma mnakera sana,na mnazani mmepata Chaka la kujifichia uvivu wenu kupitia Mama kumbe kawatega tu,Mama kawapa kamba ndefu mjinyonge wenyewe sanukeni kungali na mapema!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Baadhi ya Wafanyakazi wa Umma mnakera sana,na mnazani mmepata Chaka la kujifichia uvivu wenu kupitia Mama kumbe kawatega tu,Mama kawapa kamba ndefu mjinyonge wenyewe sanukeni kungali na mapema!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hakuna mtanzania aliyekuwa na imani na jiwe
 
Mkuu hawa chawa wa mzee Meco hawawezi kukuelewa
 

Serekali yote sasa hivi iko mitandaoni, maamuzi yake yanategemea pressure ya mitandaoni. Kelele za uchaguzi ule ndio hizi zinafanya viongozi waliopewa nafasi kwa uchaguzi haramu wanaogopa hata kuitisha mikutano, na wanaofanikiwa wanatumia nguvu kubwa, fedha nyingi nk. Sikuona nidhamu kipindi cha dhalimu, bali niliona sifa za kijinga, kusaka kiki na propaganda mfu. Yote haya tunayaona kwa macho yetu. Usidhani kila mtu alitekwa na zile taarifa na sifa za kupika.
 

Hizo kauli za karaha hata Magufuli alitumia kwa viongozi wenzake waliomtangulia, au wakati akitumia kauli zile ulikuwa bado hujaanza kufuatilia haya mambo? Ndugu ni hivi, muosha huoshwa.
 
Sasa kuna mtanzania halisi ambaye atatimiZa wajibu wake bila kushurutishwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…