Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

Kabla ya 2025 Rais Samia atasema Uchaguzi wa 2020 haukuwa huru
 
Wanaomtetea marehemu magufuri ni mashetani wenzie.

Kwa jinsi alivyokuwa na roho mbaya yaani nashangaa kuona Kuna mtu anamtetea!

Yule basi tu lakini ingekuwa huko jehanum tunawasiliana, basi tungepeleka Kuni Ili aongezewe moto.
Kila zama na kitabu chake bakiza maneno
 
M

Mama yenu ni mpuuzi tu,juzi hapa katoka kumwambia waziri Bashungwa afukuze wafanyakazi wabadhilifu hapo tamisemi,je hiyo sio kuwatia wafanyakazi hofu na woga?ni mjinga tu anayeweza kuamiani Samia anaweza kufanya taifa kupiga hatua,nchi za China sio wanatmbua tu ukifanya madudu,na kunyongwa unanyongwa tu,maendeleo hayawezi kuja bila kutiana hofu na kuogopa Mali za umma.
Pole sana naona bado una majonzi ya kuondokewa na Meco
 
Kabla ya 2025 Rais Samia atasema Uchaguzi wa 2020 haukuwa huru
Itakuwa amefanya vyema sana maana yeye alikuwa kwenye huo mtumbwi hivyo anajua yote yaliyo fanyika
 
Jambo gani mlitia pressure huku mitandaoni na likaleta matokeo? Kuna jambo kubwa kama ule uchaguzi wa 2020 mkapiga kelele za kutosha humu ila nini kilitokea?

Kama hukuona nidhamu kipindi cha Simba wa yuda basi una matatizo makubwa, tatizo lenu mnaishi nje ya nchi mnapiga tu kelele hata hamuelewi hasa nini kinachoendelea nchini.
Mama kaupiga mwingi sana kwa kutoa madhaifu ya utawala wao uliopita na tunasubiria atuambie mengi
 
Kwani aombe radhi ulimchangua wewe, au utamchagua wewe 2025, tafadhari muwe na mipaka ya kuandika, Raisi Samia haitaji kura zenu kua Raisi, utake husitaki atakua Raisi, hu mfumo ulishategenezwa miaka 50 elio pita yupo kwamjibu wa mfumo
Umejibu kianajeshi zaidi mkuu. Ungelegeza maneno kidogo. Ukweli unauma

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Kwani aombe radhi ulimchangua wewe, au utamchagua wewe 2025, tafadhari muwe na mipaka ya kuandika, Raisi Samia haitaji kura zenu kua Raisi, utake husitaki atakua Raisi, hu mfumo ulishategenezwa miaka 50 elio pita yupo kwamjibu wa mfumo
Hata asipoomba atamfanyaje, sanasana atakuja huku jamii forum kumponda, na ka uzi kanafutwa, anywe panadol tu atulie mkuu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Niambie ni ninchi hipi iliyeweza kuendelea bila kutumia hofu na woga?hao wazungu mnaowamba misaada ukigundulika unakwepa kulipa Kodi tu unafungwa na kufirisiwa,ukikumbwa na ufisadi ndio baraa hata haufahi kuwa mtumishi wa umma,ngoja tuone Samia anayetaka nidhamu ya rohoni utafikiri anaongoza kanisa,mda utaongea tu.
Pole sana naona bado una majonzi ya kuondokewa na Meco
N
 
Aache kupondaponda mwenzake, afanye kazi yake ionekane sio kupondaponda tu, bei zinapanda kila kukicha na bado anahisi ni bora
 
Niambie ni ninchi hipi iliyeweza kuendelea bila kutumia hofu na woga?hao wazungu mnaowamba misaada ukigundulika unakwepa kulipa Kodi tu unafungwa na kufirisiwa,ukikumbwa na ufisadi ndio baraa hata haufahi kuwa mtumishi wa umma,ngoja tuone Samia anayetaka nidhamu ya rohoni utafikiri anaongoza kanisa,mda utaongea tu.

N
Wapi 1.5trillion za watanzania ?
 
Hakuna kiongozi alileta maneno ya mgawanyiko kwa watanzania kama dhalimu vwa chattle, msidhani tumesahau. Umesahau maneno kuwa watu wa mwanza wasivunjiwe nyumba maana ndio wamenipa kura? Umesahau maneno kuwa sileti maendeleo maeneo haya maana mmechagua wapinzani? Au wakati wa lugha zile ulikuwa hujajiunga hapa jf uanzishe uzi?
Mwee, anavyoonekana huyo alikuwa bado kuzaliwa.
 
******** alikuwa rais wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania.Hata Mama afanye mabaya kiasi gani kwa miaka yote 10 hayawezi kufika hata robo ya aliyoyafanya ******** wenu kwa miaka mitano.Mungu fundi bna!Alivyokufa tu nchi ikapumua.Hatofufuka leo wala kesho huyo.Asubiri ufufuo wa wafu tu mbele za haki.
 
Hata asipoomba atamfanyaje, sanasana atakuja huku jamii forum kumponda, na ka uzi kanafutwa, anywe panadol tu atulie mkuu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Dah.....Hana cha kumfanya mkuu....Ila Kuna siku atatokea mpuuzi mwingine mwenye akili za kimagufuli.....atawaamsha watu walionjeshwa asali kirahisi sana......na sasa wanachuki kubwa sana wanayojengewa.....damu itamwagika.....si kidogo ...... Siombei hilo🤭
 
Hii simba wa Yuda imetamkwa lini na katika muktadha upi?
 
Back
Top Bottom