Rais Samia awaonya wateule wake, wasitumie madaraka yao "kupiga" pesa

Rais Samia awaonya wateule wake, wasitumie madaraka yao "kupiga" pesa

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Rais Samia amewaonya vikali wateule wake, aliowateua majuzi, kuwa wasitumie madaraka yao kupiga "dili" za pesa, badala yake akawaambia ya kuwa wanatakiwa kufanya kazi Kwa weledi mkubwa na kuwatumikia wananchi Kwa uaminifu mkubwa.

Aliyatamka hayo maneno wakati akiwaapisha jana jijini Dar.

Rais Samia ametoa onyo Hilo muhimu sana Kwa wateule wake, Kwa kuwa hivi sasa, wateule wengi wa Rais, wanapopewa fursa kama hizo, wanachofikiria wao ni kujitajirisha Kwa kiasi Cha kutisha Kwa kutumia dhamana ya ofisi hizo za Umma

Akaendelea kuwapigia "mkwara" wateule wake hao kuwa hivyo vyeo, alivyowapa ni sawasawa na koti la kuyazima, wakati wowote anaweza kuwanyang'anya

Ukitafakari Kwa makini, maisha wanayoishi hao mawaziri ni ya fahari kubwa, ambayo hayalingani na kipato Chao Cha mishahara!

Wanachofanya hao mawaziri ni kama wako Kwenye mashindano ya "kuzipiga" pesa za Umma, utadhani wapo katika mashindano ya olimpiki!😀
 
Ni bora amewakumbusha mapema ili wale kulingana na urefu wa kamba zao. January Makamba alipiga hela mno tangu pesa za malaria za Sugu hadi deal za meter za TANESCO. Jamaa ni kama mchwa. Hashibi hata kidogo. Sijawahi kuona mtu mwizi kama January Makamba hapa ulimwenguni.
 
Ni bora amewakumbusha
Ni kweli.

Kwa kuwa walijisahau na kuamini kuwa hizo ofisi ni za kujitajirisha, wakati Umma wa watanzania, ukiishi Kwenye maisha ya ufukara mno, ambapo hata kupata Milo 2 Kwa siku, imekuwa ni mtihani mkubwa, Kwa walio wengi ya wananchi
 
Rais Samia amewaonya vikali wateule wake, aliowateua majuzi, kuwa wasitumie madaraka yao kupiga "dili" za pesa, badala yake akawaambia ya kuwa wanatakiwa kufanya kazi Kwa weledi mkubwa na kuwatumikia wananchi Kwa uaminifu mkubwa.

Aliyatamka hayo maneno wakati akiwaapisha jana jijini Dar.

Rais Samia ametoa onyo Hilo muhimu sana Kwa wateule wake, Kwa kuwa hivi sasa, wateule wengi wa Rais, wanapopewa fursa kama hizo, wanachofikiria wao ni kujitajirisha Kwa kiasi Cha kutisha Kwa kutumia dhamana ya ofisi hizo za Umma

Ukitafakari Kwa makini, maisha wanayoishi hao mawaziri ni ya fahari kubwa, ambayo hayalingani na kipato Chao Cha mishahara!

Wanachofanya hao mawaziri ni kama wako Kwenye mashindano ya "kuzipiga" pesa za Umma, utadhani wapo katika mashindano ya olimpiki!
AAliwaruhusu mwenyewe wale kwa urefu wa kamba yao
 
Rais Samia amewaonya vikali wateule wake, aliowateua majuzi, kuwa wasitumie madaraka yao kupiga "dili" za pesa, badala yake akawaambia ya kuwa wanatakiwa kufanya kazi Kwa weledi mkubwa na kuwatumikia wananchi Kwa uaminifu mkubwa.

Aliyatamka hayo maneno wakati akiwaapisha jana jijini Dar.

Rais Samia ametoa onyo Hilo muhimu sana Kwa wateule wake, Kwa kuwa hivi sasa, wateule wengi wa Rais, wanapopewa fursa kama hizo, wanachofikiria wao ni kujitajirisha Kwa kiasi Cha kutisha Kwa kutumia dhamana ya ofisi hizo za Umma

Ukitafakari Kwa makini, maisha wanayoishi hao mawaziri ni ya fahari kubwa, ambayo hayalingani na kipato Chao Cha mishahara!

Wanachofanya hao mawaziri ni kama wako Kwenye mashindano ya "kuzipiga" pesa za Umma, utadhani wapo katika mashindano ya olimpiki!
Hivi unaweza zuia upigaji kwa kuongea kwa mdomo? Tena kiongozi mkuu wa serikali,
 
AAliwaruhusu mwenyewe wale kwa urefu wa kamba yao
Aliwaruhusu mwenyewe............

Lakini sasa anaona hatari kubwa inayokuja mbele, anahofia wananchi watafanya uamuzi Kwa kutokipigia chama chake Cha CCM, Kwenye sanduku la kura
 
Rais Samia amewaonya vikali wateule wake, aliowateua majuzi, kuwa wasitumie madaraka yao kupiga "dili" za pesa, badala yake akawaambia ya kuwa wanatakiwa kufanya kazi Kwa weledi mkubwa na kuwatumikia wananchi Kwa uaminifu mkubwa.

Aliyatamka hayo maneno wakati akiwaapisha jana jijini Dar.

Rais Samia ametoa onyo Hilo muhimu sana Kwa wateule wake, Kwa kuwa hivi sasa, wateule wengi wa Rais, wanapopewa fursa kama hizo, wanachofikiria wao ni kujitajirisha Kwa kiasi Cha kutisha Kwa kutumia dhamana ya ofisi hizo za Umma

Ukitafakari Kwa makini, maisha wanayoishi hao mawaziri ni ya fahari kubwa, ambayo hayalingani na kipato Chao Cha mishahara!

Wanachofanya hao mawaziri ni kama wako Kwenye mashindano ya "kuzipiga" pesa za Umma, utadhani wapo katika mashindano ya olimpiki!
Ccm watu wa ajabu sana, wakati sisi wananchi tuna mshauri katiba mpya itakayoziba manya ya upigaji
Akakataa akasema ni kijitabu tu

Leo analalamika na kulialia
 
Ccm watu wa ajabu sana, wakati sisi wananchi tuna mshauri katiba mpya itakayoziba manya ya upigaji
Akakataa akasema ni kijitabu tu

Leo analalamika na kulialia
Mfa maji, haishi kutapatapa😀
 
Back
Top Bottom