Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tuvunje huu muungano fakeInauma sana hata mikopo ya chuo wazanzibari wao ni 100% sijui tunafail wapi watanganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuvunje huu muungano fakeInauma sana hata mikopo ya chuo wazanzibari wao ni 100% sijui tunafail wapi watanganyika
Mbona bara hatuna nafasi huko Zanzibar?Hata Mimi nawashangaa Watanganyika wenzangu.
Hii asilimia 21 iliwekwa na awamu ya 4. Awamu ya 5 wakagoma kuitekeleza.
Huyu hangaya wanamuonea bure tu.
Huyu bibi ushungi ni mbaguzi snHaya mambo ya ajabuajabu sana.
Sasa hivi Ajira zenji itakuwa historia wakati huku Tanganyika zitakuwa za kutafuta kwa tochi
Watu milioni 1.5 utawapaje share yote hiyo?
Ni Jambo jema, ila tusisahau tukiwa na hiyo Serikali, hizo ajira za MUUNGANO zitatoka 21% kwenda 50%.(Nchi mbili huru zenye hadhi sawa itapata nguvu)Asilimia 21 ni kubwa sana, ilitakiwa wapewe asilimia moja au 0.95 , huu ni wakati wa watanganyika kuamka na kudai serikali ya Tanganyika kama ilivyo serikali ya zanzibar, ratio ilitakiwa igawiwe kutokana na idadi ya watu,
View attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begibs at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kugombea nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli
Huyu bibi ushungi ni mbaguzi sn
Mmeanza tulitulia kbsView attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begibs at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kugombea nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli
Haina noma, maana tutachangia gharama za kuendesha mambo ya muungano sawa, Halafu zile ajira za serokali ya Tanganyika zisizo za muungano zitabaki kwa Watanganyika tu!Ni Jambo jema, ila tusisahau tukiwa na hiyo Serikali, hizo ajira za MUUNGANO zitatoka 21% kwenda 50%.(Nchi mbili huru zenye hadhi sawa itapata nguvu)
Tusijekuwa wagumu tu Wapemba watakapo shadidia utekelezaji wa ACCOUNT YA PAMOJA.
Basi muungano uvunjwe na kuwe na nchi moja ya Tanzania, rais mmoja , Zanzibar kusiwe na rais ila ubaki kama mkoa ,Ni Jambo jema, ila tusisahau tukiwa na hiyo Serikali, hizo ajira za MUUNGANO zitatoka 21% kwenda 50%.(Nchi mbili huru zenye hadhi sawa itapata nguvu)
Tusijekuwa wagumu tu Wapemba watakapo shadidia utekelezaji wa ACCOUNT YA PAMOJA.
Hatari snBila hivi wajinga wajinga hatuwezi kujitambua. Akaze zaidi.
Hata hiyo ni nzuri kama Wazanzibari wenyewe wataafikiBasi muungano uvunjwe na kuwe na nchi moja ya Tanzania, rais mmoja , Zanzibar kusiwe na rais ila ubaki kama mkoa ,
Gharama za MUUNGANO zitagharamiwa na mapato yatokanayo na vyanzo vya Muungano. Kama kutakuwa na deficit ndio pande mbili sasa zitatakiwa zijalizie palipopungua kwa usawa.Haina noma, maana tutachangia gharama za kuendesha mambo ya muungano sawa, Halafu zile ajira za serokali ya Tanganyika zisizo za muungano zitabaki kwa Watanganyika tu!
huu muungano una shidaBasi muungano uvunjwe na kuwe na nchi moja ya Tanzania, rais mmoja , Zanzibar kusiwe na rais ila ubaki kama mkoa ,
Kidogo kidogo nikinyataa....kwaya ya Tabata mnaikumbuka?View attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begibs at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kugombea nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli
Wewe umelikosa bomba la magufuli kukusukumia hata kama hayupo wewe unamuwaza tu,Magufuli alichukua Wasukuma wenzake na kuwajaza kila sehemu, sasa ni zamu ya Wazenji kujazwa kila mahali
Katiba mpya haiepukikiView attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begibs at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kugombea nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli
Akili zimewarudi sasa 😁Asilimia 21 ni kubwa sana, ilitakiwa wapewe asilimia moja au 0.95 , huu ni wakati wa watanganyika kuamka na kudai serikali ya Tanganyika kama ilivyo serikali ya zanzibar, ratio ilitakiwa igawiwe kutokana na idadi ya watu,