Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MAMBO YA MBEREKO KWA KWENDA MBELE! NALO HILI LITAPITA TUView attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begibs at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kugombea nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli
Ukidai katiba mpya wanafukua mafaili yako ya mwaka 47 huko,unapewa kesi ya ugaidi tu kukukomoa.Asilimia 21 ni kubwa sana, ilitakiwa wapewe asilimia moja au 0.95 , huu ni wakati wa watanganyika kuamka na kudai serikali ya Tanganyika kama ilivyo serikali ya zanzibar, ratio ilitakiwa igawiwe kutokana na idadi ya watu,
Zanzibar ni kama funza ndani ya Tanzania, inatunyonya vibaya tuujadili muungano upya.View attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begibs at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kugombea nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli
Hapa namuunga mkono Samia kwa kufanya HAKI bin HAKI huu Muungano tuliingia kwa lengo la kuwameza Wazanzibari sasa Mungu katugeuzia Kibao[emoji23][emoji38]
Tena mimi ningependa afanye 50 Bara 50 Visiwani huu Muungano ni wa Nchi HURU mbili ambazo ni Equal Patners.Hahaaaa
Mkoa gani kwa mfano?? Ni kawilaya.....Zenji mnayo isemea kama kamkoa tu emu tulieni bsi
Huyu mama anaanza kutumia kinywaji gani tena? Kwahiyo Zanzibar ni asilimia 21 ya waTz?View attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begibs at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kugombea nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli
Mbona nafasi nyingi tu zipo huko tunazishikilia Watanganyika.Mbona bara hatuna nafasi huko Zanzibar?
Unakuta hao ndio wapinga Muungano wakubwa wanajua ukivunjika ndio weshafika Watakuja Tanganyika kama watalii ! Zanzibar ka ulaya bana ,msiilinganishe na hayo mabonde na milima mbu watupu.Mbona nafasi nyingi tu zipo huko tunazishikilia Watanganyika.
JWTZ, POLISI, UHAMIAJI ,TRA, TISS, DSM MARINE SCIENCE ,MWL.NYERERE COLLEGE.
Listi ni kubwa.
Huu Muungano jiwe angeendelea kuwa madarakani, nahisi angeweza kuuvunja.nilikua namuona kama haupendi kabisa ila hakua na namna tu.
Hili halikubaliki, lazima tuungane kumpinga huyu bi kizee Mzanzibari mbaguzi. Bora wazanzibari wachukue kazi za huko kwao tuHuu muungano unakasoro nyingi sana ila walioshika mpini wameweka pamba masikioni.
Hizo zote asili yake ni bara, raja Waziri toka bara.Mbona nafasi nyingi tu zipo huko tunazishikilia Watanganyika.
JWTZ, POLISI, UHAMIAJI ,TRA, TISS, UDSM MARINE SCIENCE ,MWL.NYERERE COLLEGE.
Listi ni kubwa.