Halafu wakipewa kazi wanafika kazini saa tano mchana na ijumaa wanafunga ofisiHalafu cha ajabu, ikitangazwa kazi inayohusu mambo yasiyo ya muungano, bado wazenji wanaapply na hawawekwi pembeni sababu ya uzanzibar wao, Wanakuwa treated sawa na vijana wa Tanganyika.
Wapo watendaji wa serikali za Mitaa huku bara ni Wazanzibar, japo TAMISEMI siyo jambo la muungano!
Hapa namuunga mkono Samia kwa kufanya HAKI bin HAKI huu Muungano tuliingia kwa lengo la kuwameza Wazanzibari sasa Mungu katugeuzia Kibao😂😆
Ulitaka wasipewe
79 kwa 21
Hizi roho mbaya Jamani tuzitafutie dawa yaani hii ni Zaidi ya Uchawi
Katika 79 kuna 21 Ngapi?
Huu muungano unakasoro nyingi sana ila walioshika mpini wameweka pamba masikioni.
Hii inaonyesha ni jinsi gani kwenye mikataba tunavyoliwa. Kama Zanzibar tu inatushinda kunegociate nao kenye kugawana ajira eti kesho kuna mtu ataamini tumeweza kwenye Bandari ya Bagamoyo ....!!Kwa hii ratio, wanzanzibari hawatakuwa na tatizo la ajira kamwe. Nadhani viongozi wetu hawajui hesabu. Ili haki itendeke walitakiwa waangalie population ya Wazanzibari against Watanganyika. Hiyo population ndio ingekuwa determinat factor ya kujua asilimia kiasi gani ya ajira iende visiwani na asilimia ngapi ibaki bara. Hii ya kusema tu 21% iende Zanzibar ni baseless, useless and groundless. It is purely thumbsuck.
Hiyo idadi ya Wasukuma iliongezeka ghafla tualipo ingia madarakani mwendazake?Mtu mzima kuwa mropokaji haipendezi! Wasukuma kwa idadi tu ni zaidi ya Wazanzbar wote sasa compare kwenye suala la ajira alilo semea Misile
It is their time babeee....View attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begibs at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kugombea nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli
Yani mi nabariki kabisa...Hapa namuunga mkono Samia kwa kufanya HAKI bin HAKI huu Muungano tuliingia kwa lengo la kuwameza Wazanzibari sasa Mungu katugeuzia Kibao😂😆
Eidha Muungano uwe wa HAKI au uvunjwe,usiwe Muungano wa KINAFIKI.Kwa hakika akandamize hapo hapo na ajiongeza itapendeza zaidi 😁😁
Hapo ndio hawatokubali kabisa yani wajitoe hadhi yao ya kitaifa wabakie kuwa mkoa, hilo hawatotakaBasi muungano uvunjwe na kuwe na nchi moja ya Tanzania, rais mmoja , Zanzibar kusiwe na rais ila ubaki kama mkoa ,
Hata Mimi nawashangaa Watanganyika wenzangu. Hii asilimia 21 iliwekwa na awamu ya 4. Awamu ya 5 wakagoma kuitekeleza. Huyu hangaya wanamuonea bure tu.
Wapinzani hawachoki kuibua mambo wakishindwa hili wanaibua lile. Wao walitaka serkali tatu ambayo kila mtu angebaki kwao, ikakataliwa.View attachment 2015004
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira
Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira
Hongera mama, Charity begins at home.
Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?
Hebu tazama
1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni
2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI
3. Mzanzibar anaweza kushika nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa shehia kule Zanzibar
4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar
5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ
Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli?