Rais Samia awashangaa wanaosema miradi ya Magufuli haitoendelezwa, adai uwezo wao wa kufikiri ni mdogo

Rais Samia awashangaa wanaosema miradi ya Magufuli haitoendelezwa, adai uwezo wao wa kufikiri ni mdogo

Maneno kuntu haswaaa👏👏👏
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Huyu rais hawezi kufanya kazi bila mipasho kama ya taarab?

Let your work speak for you madam.

Hii mipasho unaingilia kazi za waimba taarab.

It is very unpresidential.
 
Kwenye Mazuri utamsikia Rais akisema "Nae alikuwa sehemu ya Awamu ya Tano"

Kwenye Magumu utasikia akisema "Tunafungia nchi" Atuambia kwanza kwa nini aliifunga.
Nimekuelewa sana mkuu, ni desturi ya binadamu mazuri ni yetu sote na mabaya ni yake mwenyewe.

TIME HEALS ALL WOUNDS
 
Huyu rais hawezi kufanya kazi bila mipasho kama ya taarab?

Let your work speak for you madam.

Hii mipasho unaingilia kazi za waimba taarab.

It is very unpresidential.
Kwanini kila Rais afanane na ulichokizoea ama kukifikiria kichwani kwako?!!

Kwani mh.Rais SSH ameivunja katiba kwa hiyo "mipasho usemayo"?!!!
 
Wewe jikite kwenye kazi anayoifanya,hizo taarabu waachie wengine wanao penda taarabu.
Nataka kujikita kwenye kazi anayoifanya, ila yeye mwenyewe ana distract watu wasijikite kwenye kazi anayoifanya.

Tatizo ni lake, si langu.

Angefanya kazi na ku stick on the message, ningejikita kwenye kazi.

Huu ndiyo utamaduni wa siasa za Tanzania au siasa period?

Mtu kashapewa urais, sasa anajibizana na nani?

Rais kazi yake ni kuunganisha wananchi. Atuambie wananchi "serikali inapenda watu muwe na makazi bora, tumejenga nyumba".

Hizi habari za "walisema hatuwezi, tumeweza" kwanza zinagawanya watu. Hili jambo baya.

Pili, zinaonesha inferiority complex.

Ni kama vile rais hajiamini.

Anajiona kama mtoto mdogo aliyeweza kusimama, sasa anapiga kelele kila mtu wa karibu yake amuone kasimama.

"Mama, Baba, achimama, achimama"

Halafu watu wamuimbie wimbo.

"Kasimama peeke yake, kaonesha ubingwa wakeee".

This is basically what President Hassan is doing.

Just do the work please. Taifa lishagawanyika sana miaka ya Magufuli, wewe unatakiwa kuliunganisha, si kuligawa zaidi.
 
Kwanini kila Rais afanane na ulichokizoea ama kukifikiria kichwani kwako?!!

Kwani mh.Rais SSH ameivunja katiba kwa hiyo "mipasho usemayo"?!!!
No wonder nchi ina watu masikini sana.

Kwa sababu wengi wenu mnapenda mipasho kuliko kufikiri kwa kina na kazi.

Haya basi, furahieni hiyo mipasho yenu.

Na hawa viongozi wenu washawajulia, wanawapa mnachokitaka.

Hata siwezi kuwalaumu sana.
 
Mjomba wewe endelea tu kuwa na viongozi wazungu....

Afrika si Ulaya mkuu....

Maisha ya huko uliko hayawezi yakawa ndio mizani ya maisha ya kila mwanadamu duniani......
 
2025 inamtesa huyu bibi, bora asingombee 2025 atakuja kufa na pressure kabisa kama tume itakuwa fair
 
Tanzania imepita marais 5 ila yenyewe ipo na itaendelea kuwepo baada ya mh.Rais Samia na watakaomfuatia.....

Twende na mh.Rais SSH kwa ujenzi wa Tanzania bora!!!!

#Siempre JMT🙏

Chawa kama chawa
 
Back
Top Bottom