Rais Samia awashangaa wanaosema miradi ya Magufuli haitoendelezwa, adai uwezo wao wa kufikiri ni mdogo

Rais Samia awashangaa wanaosema miradi ya Magufuli haitoendelezwa, adai uwezo wao wa kufikiri ni mdogo

Kila siku kuongea yale yale tu, inamaana hana sera, kuna watu anashindana nao au?

2025 ije haraka tu tupate Rais mwingine huyu hapana kwakweli
Akija rais mwingine mtaanza kumkumbuka huyu wa sasa.

Huwa hamna jema hata kidogo watanzania.

Mnajiona mna haki sana ni kama vile mnachokipata hakilingani na hadhi zenu, mnasahau kuwa huyo Rais alikuwa makamu kwa miaka mitano na anajua anachokifanya pengine kuliko mimi au wewe.
 
Kila siku kuongea yale yale tu, inamaana hana sera, kuna watu anashindana nao au?

2025 ije haraka tu tupate Rais mwingine huyu hapana kwakweli
Rais mwingine nani?

She's here to stay, mpaka 2030.
 
Huyu rais hawezi kufanya kazi bila mipasho kama ya taarab?

Let your work speak for you madam.

Hii mipasho unaingilia kazi za waimba taarab.

It is very unpresidential.
Taarabu waachie wanaopenda wewe jikite kwenye hoja yake.
 
Mama anaongea utafikiri kuna kundi fulani la watu anajibizana nalo,,,,badala ya kujikita kwenye uchapaji kazi..

Hii ni kasumba ya wanawake,, kupenda sana kusikiliza mambo ya nje...
kila siku lazima aseme walisema,,waliongea, walifikiri, waliona.. Kina nani hao?????

Kazi iendelee na mipasho
 
Huyu rais hawezi kufanya kazi bila mipasho kama ya taarab?

Let your work speak for you madam.

Bado sijamsikia akiongea bila kuweka mipasho katikati mwa sentensi zake
 
Kila siku kuongea yale yale tu, inamaana hana sera, kuna watu anashindana nao au?

2025 ije haraka tu tupate Rais mwingine huyu hapana kwakweli
Ikifika 2025 utasema tena 2030.

Hivi vistori unazaliwa, unakua navyo mpaka unazeeka navyo.

KAZI yako inakuwa Ni kama fisi kusubiri mkono wa binadamu unaning'ia uanguke
 
Taarabu waachie wanaopenda wewe jikite kwenye hoja yake.
Mtu ananipa ndoo kashayakojolea maji, ananiambia ninywe.

Mimi nasema haya maji yameshachanganyika na mkojo, hayafai.

Halafu wewe unaniambia ninywe maji tu, niuache mkojo.

Sasa maji yashachanganyika na mkojo, unataka ninyweje maji tu?
 
Mama taratiiibu anazidi kuwafunika midomo haters tu, mambo yanaenda na hawaamini......wamebaki kurudiarudia wanavyoponda tu. Kiufupi anawashika papaya na hawaamini.
 
Huyu rais hawezi kufanya kazi bila mipasho kama ya taarab?

Let your work speak for you madam.

Hii mipasho unaingilia kazi za waimba taarab.

It is very unpresidential.
Mama mtu wa pwani mipasho ni asili yake.
Asili ya watu wa huko akikosa wakumchamba atavaa kanga yenye nahau au atafungulia taarabu kwa sauti kubwaa ili mradi tu....
 
Machadema hayo!

Baada ya Samia kuchukua usukani yakawa yanapiga kelele eti piga chini hiyo miradi haina faida kwa Taifa!

Yani kuna watu vichwa vyao ni kufugia kamasi tu

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Nape ni wa Chadema? Si ndio aliyesema ujenzi wa bwawa la umeme usimamishwe!! Halafu akazawadiwa uwaziri!!
 
Nape ni wa Chadema? Si ndio aliyesema ujenzi wa bwawa la umeme usimamishwe!! Halafu akazawadiwa uwaziri!!
Nape hakusema huo mradi usimame!

Alitaka garama zake ziwekwe wazi!

Machadema ndio yakawa yanasema miradi isimame maana haina faida

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom