Nataka kujikita kwenye kazi anayoifanya, ila yeye mwenyewe ana distract watu wasijikite kwenye kazi anayoifanya.
Tatizo ni lake, si langu.
Angefanya kazi na ku stick on the message, ningejikita kwenye kazi.
Huu ndiyo utamaduni wa siasa za Tanzania au siasa period?
Mtu kashapewa urais, sasa anajibizana na nani?
Rais kazi yake ni kuunganisha wananchi. Atuambie wananchi "serikali inapenda watu muwe na makazi bora, tumejenga nyumba".
Hizi habari za "walisema hatuwezi, tumeweza" kwanza zinagawanya watu. Hili jambo baya.
Pili, zinaonesha inferiority complex.
Ni kama vile rais hajiamini.
Anajiona kama mtoto mdogo aliyeweza kusimama, sasa anapiga kelele kila mtu wa karibu yake amuone kasimama.
"Mama, Baba, achimama, achimama"
Halafu watu wamuimbie wimbo.
"Kasimama peeke yake, kaonesha ubingwa wakeee".
This is basically what President Hassan is doing.
Just do the work please. Taifa lishagawanyika sana miaka ya Magufuli, wewe unatakiwa kuliunganisha, si kuligawa zaidi.