Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
- Thread starter
- #21
Kuandika nini Chief?Dah....mnaandika lakini?🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuandika nini Chief?Dah....mnaandika lakini?🤣🤣🤣🤣
Kaacha kulelewa na beberu?Is our president in waiting honorable Tundu Antipass Lisu one of the hosts for madam Tozo?
Kwa yeyote anayeitakia Tanzania mema atataka kuona Rais Samia, Freeman Mbowe na Tundu Lissu wakikaa pamoja na kuyamaliza na zaidi kufanya kazi pamoja ya kuijenga Tanzania.At least now I know that, she is in Belgium to attend a European Union - African Union Summit...
And if that's the case, the issue of democracy in African countries including Tanzania will paramountly be risen and I am pretty sure that...
Tatizo mmetake side kwenye mambo ya kisheria, mpo blind, chochote mnachoambiwa kutoka watu wa upande wenu mnakimeza kama kilivyo, kesi inaendelea, kuweni na subira! Ila nachoweza kukuhakikishia ni kwamba jamaa yenu safari hii hachomoi, kaivuruga sana nchi hii, na sasa system imemchoka! Itabidi achague kati ya kuendelea kuvuruga nchi au akimbilie uhamishoni, utakuja kuniambiakwani kuongoza ndio kujulikana? unaweza ukaongoza na usijulikane, we hujamskia inspector swila leo alivyoulizwa na kibatala?
kamuuliza unamjua daktar anayekutibia? akajibu hamjui, akaulizwa tena amekutibia kwa muda gani? akajibu miaka miwili sasa ebu jiulize daktar kamtibia mgonjwa kwa muda wa miaka miwili lakini bado mgonjwa ameshindwa kumjua daktar wake....kwaiyo usishangae watu wakisema hawamjui chief hangaya.
Mbowe hafai, bora Lissu, Mbowe alikuwa anataka kuihangamiza hii nchi, hata haya masoko wanachoma watu wake! Mbowe angekuwa Rwanda leo hii tungekuwa tunaongea mengine, ni hatari kwa usalama wa taifa, aondolewe kwa namna yeyote ileKwa yeyote anayeitakia Tanzania mema atataka kuona Rais Samia, Freeman Mbowe na Tundu Lissu wakikaa pamoja na kuyamaliza na zaidi kufanya kazi pamoja ya kuijenga Tanzania...
Dah...idadi ya safari 😂😂😂Kuandika nini Chief?
Walisema wanamkimbia Magu, now hawana point, wanadandia kila hoja, mara Ngorongoro, mara Ndugai yupo wapi, guys TZ kuna matatizo mengi sana mnaweza kuyasimamia na mkapata credits za kisiasaKaacha kulelewa na beberu?
Kusafiri ni mbaya?Dah...idadi ya safari 😂😂😂
Dah....hata mimi sijui chief 🤣🤣🤣🤣Kusafiri ni mbaya?
Sawa ChiefDah....hata mimi sijui chief 🤣🤣🤣🤣
CHADEMA wamefanya uhaini mkubwa sana since 2005 hadi sasa, ni vile tu Serikali iliamua kuwasitiri, ila sasa mwisho wenu umefika, haiwezekani wahuni wachache muisumbue nchi, endeleeni kuchoma masoko na ujinga mwingine katika ishara ya mfa maji, kutapatapahahahahaha! naikumbuka sana siku hiyo ambapo mwigulu alionekana akiikimbia arusha toka hotelini mara baada ya tukio wakati ule akiitwa savimbi
Najua wewe upo Kintinku mkoa wa Singida. Mvua inanyesha huko kwenu?Chief wewe ndiyo Chawa wa Mbowe, mimi sina haja ya kuwa chawa, kwanza hata sipo huko kwenu
Sipo TZ kwa sasa, ila nashangaa kuona tapeli Mbowe ana wamanipulate watu kama wewe, Stand Up for yourselfNajua wewe upo Kintinku mkoa wa Singida. Mvua inanyesha huko kwenu?
Duh. Kwa hiyo Lissu ndiye aliyekuwa anapeleka siri za nchi Ulaya? Kwenye ujasusi mtu kama huyo anaitwa "asset".Lissu ni mnafiki wa nchi, sema nyie wafuasi wake wa uswekeni huko hamumjui mnamfuata blindly, mnamuona kama Mungu wenu, the guy is a snitch wa nchi, endeleeni kumuabudu
Lunatic?Kaacha kulelewa na beberu?
Inasemekana[emoji848]Inasemekana Tundu Lissu kaomba kuonana na Rais, ngoja tuone kama ombi lake litakubaliwa
Wewe ni kilaza wa mwisho kabisa duniani, mtu anayetoa siri za nchi yake ni asset? Fook youDuh. Kwa hiyo Lissu ndiye aliyekuwa anapeleka siri za nchi Ulaya? Kwenye ujasusi mtu kama huyo anaitwa "asset".
Ukiona kakubaliwa na picha nitapost hapa usikimbieInasemekana[emoji848]
Mbona matusi tena? Anaitwa asset na wale anaowapelekea siri za nchi.Wewe ni kilaza wa mwisho kabisa duniani, mtu anayetoa siri za nchi yake ni asset? Fook you