johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni ziara ya siku moja bwashee!Kama hakuambatana huko na mumewe basi mwambieni asilale huko awahi kurudi leo asilale huko. Mu7 sio mtu mzuri
Shaka ondoa!Tunacho taka ni masilahi ya watanzania yapewe kipau mbele.
Mkataba utao sainiwa uzingatie HAKI.
Chadema wote wanafuatilia kwa makini bwashee!Ni tukio lisilo na mvuto japo unalipa promo. Sio kwamba tunamkubali huyo mama maana naye ni jizi la kura, ila tunamstahi kwa sasa wakati tunamsoma mwelekeo wake. Tunasubiri tumuone Zito akichambua ripoti ya CAG ITV na AZAM hiyo saa 6.
Wewe na nani?Ni tukio lisilo na mvuto japo unalipa promo. Sio kwamba tunamkubali huyo mama maana naye ni jizi la kura, ila tunamstahi kwa sasa wakati tunamsoma mwelekeo wake. Tunasubiri tumuone Zito akichambua ripoti ya CAG ITV na AZAM hiyo saa 6.
Huu ndiyo uhuru wa habari!Kama hakuambatana huko na mumewe basi mwambieni asilale huko awahi kurudi leo. Mu7 sio mtu mzuri. Bora aende kulala Kenya
Waambie hao cdm waende Uganda kabisa, ili wafuatilie vizuri.Chadema wote wanafuatilia kwa makini bwashee!
Wewe na nani?
Ccm wamebaki chato wanalinda kaburi,Watanzania wapo na MamaChadema wote wanafuatilia kwa makini bwashee!
Anaogopa asiambukizwe huko inejaaRais Samia Sukuhu Hassan amewasili Kampala nchini Uganda na kupoke!ewa na Rais Yoweri Museveni.
Watu wote akiwemo Rais Samia wamevalia barakoa
Tukio liko mubashara TBC!
Alishawahi kukupiga miti huyo Museveni?Kama hakuambatana huko na mumewe basi mwambieni asilale huko awahi kurudi leo. Mu7 sio mtu mzuri. Bora aende kulala Kenya
never with her until she proves me wrong. huyu bado namuona ni wakala wa mabeberu. hizo barakoa avae yeye asije kutulazimisha sisi.Ccm wamebaki chato wanalinda kaburi,Watanzania wapo na Mama