Rais Samia awasili Kampala Uganda vyombo vya habari duniani ikiwemo TBC viko mubashara.

Rais Samia awasili Kampala Uganda vyombo vya habari duniani ikiwemo TBC viko mubashara.

Huwezi kusoma Sasa unachangia nn matope.soma taarifa ujue ni nn kinachoelezewa.kusoma huna muda si uondoke tu humu ndani sababu walioko humu wanasugua vichwa ili wajue ya kuchangia

Muda wa kusoma page by page sina na sio kwamba siwezi. Vyanzo vya kupata summary ya hiyo ripoti viko kibao. Sina muda wa kupitia mpaka spelling error, wakati kuna watu wakufanya hivyo. Wakimaliza wenye huo muda natoa hitimisho kwa akili yangu. Kama ww unasoma kila kitu, kuna mkataba wowote umewahi kuuona kwa macho zaidi ya kusomewa kilichomo na ww kuafiki?
 
never with her until she proves me wrong. huyu bado namuona ni wakala wa mabeberu. hizo barakoa avae yeye asije kutulazimisha sisi.
Hakuna atakayekulazimisha, tuliza kalio.
 
Rais Samia Sukuhu Hassan amewasili Kampala nchini Uganda na kupoke!ewa na Rais Yoweri Museveni.

Watu wote akiwemo Rais Samia wamevalia barakoa

Tukio liko mubashara TBC!
So kuna wajinga Jana walisema hatasaini mkataba sababu Kenya wametuma ujumbe, watu wanadhani nchi inaendeshwa kama unavyoishi mwananyamala na majirani zako kiumbeaumbea tu. Pathetic
 
Back
Top Bottom