Mkuu hii nchi ni rahisi sana kutabiri kinachofuata.Glenn ndugu yangu kwani iliyozimwa ni VERDICT ya kesi ?!!
Mbona tukio la 8/8 liko ndani ya ALMANAC....
Unachanganya mambo....Kwa hoyo tubakie kuendekeza umwinyi wa viongozi wetu sio?
[emoji1787][emoji1787]Mkuu hii nchi ni rahisi sana kutabiri kinachofuata.
Tujipe muda na tuombe uzime tuone alhamisi labdq malaika wataingilia kati. Vinginevyo kesi hii kishinda mbingu ziingilie kati
Nakumbuka 2015 alizomewa vibaya sana ndo maana alimuondoa Kandoro soon baada ya Urais!Kuna wakati watoto wabaki shule tu.
JPM hadi anafariki hakuipenda Mbeya hata kidogo kwani kuanzia kampeni zake za urais alikuwa akikutana na zomea zomea
Bora unisaidie kueleza, kuna wanazi hawataki kusikia hiliNakumbuka 2015 alizomewa vibaya sana ndo maana alimuondoa Kandoro soon baada ya Urais!
Rais wa nchi hii aliyepata heshimika Mbeya ni Nyerere peke yake waliofuata wote walikumbana na Zomeazomea hasa Mkapa... JK yeye msafara wake ulipopolewa kwa mawe!
Uwanja wa ndege "wa Songwe" uko mkoani Mbeya?baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Songwe Mkoani Mbeya tarehe 07 Agosti, 2023.
Chawa wa mama wapigwa marufuku je umekaidi?punguzeni uwongo nyie vijana, JPM alizomewa mwaka gani ktk mkutano wa nini, JPM NI MTU WA KUZOMEWA? UWONGO UNAWASAIDIA NINI? Hakuna wa kumzomea rais wetu, watanzania wanampenda mno, kwani ni mara ya kwanza kwenda Mbeya? Msitake kufanya Mbeya a special case, tena ktk jambo la hovyo.
NdioKwani hao waitwao CHAWA wameanza utawala wa mh.Rais SSH ?!! [emoji15][emoji1787]
Kuzomeana si ustaarabu...
Polisi wakitumwa kulinda USTAARABU itakuwa ni uonevu ?!!! [emoji15][emoji1787]
Huoni aibu kuweka mbele ukabila?Kwasasa Wanyaki wako upande wa ndg yao Mwambukusi na sio mwingine
Unataka kusema hatuna makabila?Huoni aibu kuweka mbele ukabila?
Kufanya ujinga Kisha kujiona ni ukosefu wa akili.Nakumbuka 2015 alizomewa vibaya sana ndo maana alimuondoa Kandoro soon baada ya Urais!
Rais wa nchi hii aliyepata heshimika Mbeya ni Nyerere peke yake waliofuata wote walikumbana na Zomeazomea hasa Mkapa... JK yeye msafara wake ulipopolewa kwa mawe!
Kuna tofauti kati ya kuwa na makabila na kuwa na ukabila.Unataka kusema hatuna makabila?
Halafu wakapata faida gani ???Wanyakyusa watamwacha salama bila zomea zomea kweli?
Mbeya ilimzomea JPM mchana kweupe.
Wanyaki hawanaga woga wakiamua
Tutawauliza keshoHalafu wakapata faida gani ???
Mbeya hawaku mzomea, ila walimsimam8sha na kumpigisha 'Peoplez Power'Wanyakyusa watamwacha salama bila zomea zomea kweli?
Mbeya ilimzomea JPM mchana kweupe.
Wanyaki hawanaga woga wakiamua
Like proverb says "if you want to kill a dog ,give her a bad name " [emoji1787]
Mkono wa dola upo huwa hauna simile na wehu.Tutawauliza kesho
Ukiona baba mwenye nyumba kila kitu anatumia fimbo ujue haheshimiki nyumbani kwake...ni uselessMkono wa dola upo huwa hauna simile na wehu.
Ndio kuzomewa huko mkuu.Mbeya hawaku mzomea, ila walimsimam8sha na kumpigisha 'Peoplez Power'