Kuna mitoto mingine lazima uitie fimbo ndio isikie rejea Magufuli aliposema speech yake ukibembeleza mwanangu kunywa maziwa eeh hasikiii linadeka liwekee kiboko mbona litakunywa na kusema ahsante baba au mama kuna wakati lazima ukali uwepo kulisaidia toto hili kwa faida yake.Ukiona baba mwenye nyumba kila kitu anatumia fimbo ujue haheshimiki nyumbani kwake...ni useless