Rais Samia awasili Saudi Arabia kushiriki mkutano unaozikutanisha nchi za Afrika na Saudi Arabia kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano

Kwa hiyo Africa inakutana na Saudi Arabia? Tumerogwa sio bure
 
Atasaini Jambo Lolote Huko Ilimradi Tanzania
Iishiwe
 
Awamu hii ya saudia.....khaawa
Mbona wameenda maraisi wengi tu wa africa including kagame, kuna mkutano mkubwa wa mataifa ya africa na saudi arabia
 

Attachments

  • Screenshot_20231110-080708_Instagram.jpg
    72.3 KB · Views: 1
Kwani tunashindwa nini sisi kuwezesha wazawa kwa kuwakopesha? mchina anachukua tenda ya barabara 97% ya wafanyakazi ni watanzania yeye kuvuta shisha chini ya mti, mbona serikali inaweza kuwajengea uwezo na wakafanya kazi nzuri
 
We ni mjinga, lini umeuza mahindi, mtama, mbaazi Saudi Arabia? East Africa inazaidi ya watu milioni 200 ambapo ni soko tosha
 
Kwani tunashindwa nini sisi kuwezesha wazawa kwa kuwakopesha? mchina anachukua tenda ya barabara 97% ya wafanyakazi ni watanzania yeye kuvuta shisha chini ya mti, mbona serikali inaweza kuwajengea uwezo na wakafanya kazi nzuri
Kwani mtanzania yupi amezuiwa kuwekeza katika sekta yoyote ile hapa nchini? Kwani akina Dewji hawajawekeza? Kwa hiyo unafikiri tukiwa na wawekezaji wachache watasaidia kuzalisha fursa za ajira za kutoshaa? Ni lazima tupate wawekezaji wengi na kuwa na wigo mpana wa kukusanya hata kodi. Lakini pia hata wewe mwenyewe hapo ulipo kama una nafasi na uwezo wa kuwekeza unayo fursa hiyo bila shida tena utapewa kipaombele.
 
We ni mjinga, lini umeuza mahindi, mtama, mbaazi Saudi Arabia? East Africa inazaidi ya watu milioni 200 ambapo ni soko tosha
Hatuuzi nje mahindi bali tunauza unga ili kuchochea viwanda nchini mwetu. Mbaazi tunauza India na ndio maana yakufanya mashirikiano na mataifa mbalimbali nasiyo kujifungia ndani kama panya.
 
Serikali ina wajibu wa kutengeneza mabilionea wazawa na siyo mafisadi ya kuiba mali za umma, serikali inawaweza kuwadhamini/kuwakopesha mitaji wajasiriamali wa kati wakainuka.
 
Hatuuzi nje mahindi bali tunauza unga ili kuchochea viwanda nchini mwetu. Mbaazi tunauza India na ndio maana yakufanya mashirikiano na mataifa mbalimbali nasiyo kujifungia ndani kama panya.
Hapa ndani tu kwenye soko lipo la kutosha, ni aibu leo Tanzania kuagiza ngano na mafuta ya kula Ukraine kwenye nchi ndogo kuliko hata Mkoa wa Singida, sukari tunaagiza nje ni upumbavu mtupu. Soko lipo hapa ndani tena la kutosha
 
Sisi tunatakiwa kuuza nje na siyo kutafuta wawekezaji uchwara, tutatafuta mpaka lini hao wawekezaji? Hapa ndani kuna soko kubwa sn la ngano, sukari, mafuta ya kula sijui matairi ya magari n.k.
Huko nje unakwenda kuuza kwa nani kama huna ushirikiano? Unampelekea nani? Au Unakwenda kichwa kichwa tu kama hayawani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…