Rais Samia awatakia heri wanafunzi wa Kidato cha Nne wanaoanza mitihani yao leo Novemba 11, 2024

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amewatakia heri wanafunzi wote kidato cha nne Nchini kwote wanaoanza mitihani yao hii leo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

 
Mwenye watoto anapata wapi kupost ujinga ujinga kama wako tena asbh kama hii?
Inawezekana unalala kama mgonjwa ndio maana unaona kwa sasa ni mapema .wakati watu wanakesha wakifanya kazi.mvivu mkubwa wewe.
 
Kama kawaida ya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…