Igurumuki Masanja
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 993
- 2,021
Mkuu ni kosa kunukuu kauli ambazo zimesemwa hadharani ?Umekosa kazi na kukalia ujinga jinga tu.
Mkuu wa nchi anaendeleaje huko aliko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni kosa kunukuu kauli ambazo zimesemwa hadharani ?Umekosa kazi na kukalia ujinga jinga tu.
Kila mmoja avune alichopanda, kusiwe na muujiza.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amewatakia heri wanafunzi wote kidato cha nne Nchini kwote wanaoanza mitihani yao hii leo.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
View attachment 3149130View attachment 3149131
Weewe umesikia wapi?Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amewatakia heri wanafunzi wote kidato cha nne Nchini kwote wanaoanza mitihani yao hii leo.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
View attachment 3149130View attachment 3149131
Umenena vema.Watu wanaoongoza kujipendekeza na uchawa ni wale waliozaliwa kwenye familia masikini km mwandishi wa post hii..
Huu sio mwandiko wao SamiaNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amewatakia heri wanafunzi wote kidato cha nne Nchini kwote wanaoanza mitihani yao hii leo.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
View attachment 3149130View attachment 3149131
hapo anawatakia kheri wapiga kura wake,hao watoto waliandikishwa kwa wingi na wahuni wa ccm kushiriki uchaguzi serikali za mitaaNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amewatakia heri wanafunzi wote kidato cha nne Nchini kwote wanaoanza mitihani yao hii leo.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
View attachment 3149130View attachment 3149131
Umekosa kazi na kukalia ujinga jinga tuUkistaajabu ya kuendelea kuchapa kazi utayaona ya kuwatakia kheri kidato cha nne
EndeleaKwani unafikiri huyo mbubujikwa machozi hajui kuwa anayeendesha hiyo akaunti ya Rais ni mtu mwingine!?
Ni muhuni tu. Watuambie Rais yupo wapi?
Ujinga na Ramli za kiganga zinakusumbua sana.kwa hiyo hapo umeandika wewe?Huu sio mwandiko wao Samia
Hakuna wenye roho za Kishetani kama wauaji wa KIBAO .Mnahangaika sana enyi wenye roho za kishetani
Amiin.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amewatakia heri wanafunzi wote kidato cha nne Nchini kwote wanaoanza mitihani yao hii leo.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
View attachment 3149130View attachment 3149131
Sema Amiin.Haya Mh. Amewatakia kila la kheri Form four, Kwa hiyo tufanyeje?
Nabubujika tu hapaNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amewatakia heri wanafunzi wote kidato cha nne Nchini kwote wanaoanza mitihani yao hii leo.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
View attachment 3149130View attachment 3149131
AMIINSema Amiin.
Wewe ndiye mwenye kushika simu zake, au siyo?Hivi yeye ndio anashika simu na ku post?Tumia fuvu lako vizuri