Rais Samia awatembelea Mzee Makamba, Mama Maria Nyerere pamoja na Familia ya Marehemu Membe leo 14 Julai 2023

sijawahi kukutana na Rais lakini ninapo muona kila mahali anapo kwenda ni mtu mwenye kuheshimu sana binadaamu wenzake awe mdogo au mkubwa, kwake yeye Urais haujamvaa bali kauvaa Urais.......
kwa mkataba huu wa DPW amewapa heshima kubwa sana wadogo na wakubwa wa Dubai.


Umenena vyema ana utu sana mama yetu
 
Yote hayo kayafanya kwa siku moja? Nakuapisha akina Mwigulu na Kitila.
 
Hata akiwatembelea haisaidii, sisi tunataka afute mkataba wa kuuza mali asili zetu za Tanganyika.
 
Mmmmmm๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„
 
Nilichokiona kwa maneno yako ni kuwa kupitia picha na video zake ndizo hukupa kuona anao utu na heshima.

Wote tukipiga picha/video kila tukio la kuwajali wagonjwa au wafiwa yatima na wenye uhitaji n.k na baada ya hapo tukakuonyesha, najiuliza utatupa daraja gani?
 
Asiwasahau wazee pia kama Butiku, WARIOBA, Prof Shivji nk nk watamsaidia sana kumwambia Kweli.
 
Na utasikia pumbafu stupid wakati watu wamefunga! hivi wale pumbafu stupid wa ndege yetu issue imefikia wapi kwa maana si kwa hasira zile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ