HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,238
- 1,577
Mh!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kweli kweli,Mama ameanzisha kitengo cha siasa na mahusiano ya Jamii.Wapi Ofisi Kuu au Kwenye Chama.Kwa nini uteuzi huu umefanyika mara moja baada ya Mahakama ya haki za binadamu na utawala borra kutoa zuio la Wakurugenzi wa Halmashauri za wilaya kutopisha wa CCM bila kupingwa.Hukumu ulitakiwa kuwe na zuio la Wakurugenzi kutokuwa returning officers wa uchaguzi.Tume ya Uchaguzi itoe. Ajira kwa vijana wetu ambao hawana KaziRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-
(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;
(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;
(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na
(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
View attachment 2656461
Hivyo?Lukuvi ni usalama wa Taifa, atatumika popote Rais atakapoona inafaa.
🤣😂😅Upuuzi mwingine tena; hivi kweli lukuvi ambaye anachojua ushirikina tu na huyo bulembo jamani, kweli kabisaaaa, sasa wanahusianisha nini na kwa kipi. Labda kwakuwa ile sherehe yake ya mwanza na waganga wenzie wajadi ilisukuma huo uteuzi. NCHI INA LAANA hiyo.
Makafir most of you mna choko choko sana, uislam unawapa kimuhe muhe sanaSawa kamchomekea Mzee Lukuvi, ila tunajuaaaa kamchomekea Kwa makusudi na Wala hampendi.
Siku akijifunza Kusimama kwenye haki, Akaachana na Uswahili ,na Uislam, atafaa japo ameshachelewa.
Nimshauri tu, aondoe wazi la kugombea.
Hivi kweli BULEMBO naye, ni wa kua mshauri wa Rais?? Huyu BULEMBO huyu jambazi la Mali za CCM?? .
Alafu hapo Rais anajiona salama?.
Mnajua Pengine, Rais Wetu Kawa blackmailed ila sisi hatujui , hivi ni Akili yake kabisa???.