kajiuee basiHuyu mama ni mdini, mdini, mdini haona hata aibu. Teuzi zake zimejaa udini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kajiuee basiHuyu mama ni mdini, mdini, mdini haona hata aibu. Teuzi zake zimejaa udini
angekuwa mzalendo angechukua rushwa wakati akiwa katibu mkuu wa chama? waulize wabunge watakwambia vizuri walikuwa wanampa ngapi yeye na polepole ili majina yao ya rudi.Bashiru hawez kununua Kwa sababu Moja ana akili Kubwa, pili msomi, tatu mzalendo.
Sanasana anaweza sikitika Kwa namna mambo yanavyoenda ,nayeye ni mzalendo.
kama nyerere na mkapa naagufuli. angalia teuzi za magufuli zilijaa wakristu au yeye hakuwa mdini au hukuliona hilo nduguWazanzibar wana udini sana!
Acha udini wa kishamba.Anajua nguvu ya LUKUVI kwa WALUTHERAN.
Kwa kauli ile, hafai kuwa mshauri wa masuala ya kijamiiMwenye ile clip ya Lukuvi akiwabagua Wazanzibar aniwekee hapa
Rais huyu bibi anaharibu inchi sanaJiulize, kwamba BULEMBO ni mshauri wa Rais [emoji1787][emoji1787]
Kumdhibiti Lukuvi tena?! hakuna kitu kama hicho, anajua kwenye hili la bandari ameharibu sana, anachofanya sasa ni kuunganisha yale makundi aliyoanza kuyatenga mwanzo ili apunguze lawama dhidi yake.Hilo ndilo lengo lake kuu. Siyo kweli anauhitaji ushauri wa Lukuvi bali anataka kumdhibiti, asiwe na uhuru wa kukosoa chochote.
umeandika maviAnajua nguvu ya LUKUVI kwa WALUTHERAN.
Bulembo ndio alikuwa campaign manager wa Mtakatifu Magufuli.Sawa kamchomekea Mzee Lukuvi, ila tunajuaaaa kamchomekea Kwa makusudi na Wala hampendi.
Siku akijifunza Kusimama kwenye haki, Akaachana na Uswahili ,na Uislam, atafaa japo ameshachelewa.
Nimshauri tu, aondoe wazi la kugombea.
Hivi kweli BULEMBO naye, ni wa kua mshauri wa Rais?? Huyu BULEMBO huyu jambazi la Mali za CCM?? .
Alafu hapo Rais anajiona salama?.
Mnajua Pengine, Rais Wetu Kawa blackmailed ila sisi hatujui , hivi ni Akili yake kabisa???.
Lukuvi ni usalama wa Taifa, atatumika popote Rais atakapoona inafaa.Yaani kwamba Lukuvi anadhiki sana, akikosa uteuzi huo maisha yake yanakuwa hohehahe?
hapa ndipo wanasiasa wa Tanzania wanapopotezea hadhi ya kuwa wanasiasa wa kweli. Inakuwa kama hawana lolote wanaloliamini maishani mwao. Hawana 'conviction' yoyote!
Katika hali ya namna hii iliyopo sasa utakuwa mshauri wa aina gani, kama siyo kutafuta kutumia jina lako tu wajisafishe na madudu waliyoyatengeneza wao?
Lukuvi kaondolewa kwenye wizara aliyoimudu vizuri kabisa. Alipewa sababu zipi z kumpumzisha katika kazi iliyokuwa inakwenda vizuri?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]ila watu Kuna mdini km hayati magufuli jamaniiiHuyu mama ni mdini, mdini, mdini haona hata aibu. Teuzi zake zimejaa udini
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Washauri wa Rais hulipwa mishahara au kazi ya kujitolea tu?
Bulembo atashauri nini cha maana ilhali yeye mwenyewe anahitaji washauri binafsi!
Yule na Mzee Makamba ni kasoro tarehe tu.
Maji yanazidi kuongezeka kina, yatafika mabegani soonRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-
(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;
(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;
(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na
(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Yaan sanaaa mnooo angalia teuzi utajua kuwa kuna udini unaendeleaDah!
Huyu huyu bulembo aliyejimilikisha shule za wazazi na ofisi za ccm kuwa miradi yake.
Tatizo wewe ni KIRUSI mkuuJamni mhe. Hivi kila siku tunakutetea hadi tunatukwanwa uoni hata kutupa ukatibu tarafa..
Jamani hii sio fear kabisa..
Hata Lukuvi anamchukia Samia kupindukia Shilingi ina pande mbili.Samia tunajua anamchukia sana lukuvi
Yaani chuki ya Samia kwa lukuvi ni hatari