Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
Huyu mama ni mdini, mdini, mdini haona hata aibu. Teuzi zake zimejaa udini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakuvunda halina ubaniSpinning HADI hoja Bandari ife kibudu!
Mungu bariki Tanzania!
Mwenye ile clip ya Lukuvi akiwabagua Wazanzibar aniwekee hapa
Kwa hilo sikubaliani nawe hata kidogo. Tumuache Mama ateue watu anaoweza kufanya nao kazi. Kumbuka, mambo yamekuwa tight sana sasa hivi.Huyu mama ni mdini, mdini, mdini haona hata aibu. Teuzi zake zimejaa udini
Ukiamua kuwa huru katika kifikiri na kifuatilia teuzi zake utaelewa namna alivyo mdiniKwa hilo sikubaliani nawe hata kidogo. Tumuache Mama ateue watu anaoweza kufanya nao kazi. Kumbuka, mambo yamekuwa tight sana sasa hivi.
Sio rahisi hivyo kama tunavyofikiri
Siku ya leo Maza ameonyesha upepo ni mbaya amesema tu bila kuwaza kwa Kweli.Dah!
Huyu huyu bulembo aliyejimilikisha shule za wazazi na ofisi za ccm kuwa miradi yake.
Hana nguvu yoyote kwa walutheriAnajua nguvu ya LUKUVI kwa WALUTHERAN.
Baada ya kuuza bandari watanganyika wamekuwa mbogo sasa anateua washauri wa kisiasa.Hawa washauri tunawalipa kiasi gani ? Au wanajitolea ?
Kwani akiwauliza bila kuwa washauri officially hawatampa jibu ?
Hakuna mshahara maalum hapo kuna bahasha bahasha tu hapo.Shi ngap Kwa mwez hivyo vyeo
Lukuvi hataki kusikia issue ya bandari kuuzwa.Hakuna mshahara maalum hapo kuna bahasha bahasha tu hapo.
Ameanza kushtuka kumekucha.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-
(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;
(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;
(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na
(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
View attachment 2656461
Akikataa itakuwa safi mno. Lkn mama naona anataka kumuweka karibu ili amkotrol movement zake. /Put your enemy closer principle.Lukuvi hataki kusikia issue ya bandari kuuzwa.
So kuna dalili akakataa uteuzi huo
Hao viongozi wenyewe matendo yao ni kama hawana diniHuyu mama ni mdini, mdini, mdini haona hata aibu. Teuzi zake zimejaa udini
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Anajua nguvu ya LUKUVI kwa WALUTHERAN.
Huyu Mama jamani.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-
(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;
(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;
(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na
(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
View attachment 2656461