Rais Samia awateua Lukuvi, Bulembo, Balozi Luhwavi na Omar Kheir kuwa Washauri wa Rais Siasa na Uhusiano wa Jamii

Rais Samia awateua Lukuvi, Bulembo, Balozi Luhwavi na Omar Kheir kuwa Washauri wa Rais Siasa na Uhusiano wa Jamii

Dah!
Huyu huyu bulembo aliyejimilikisha shule za wazazi na ofisi za ccm kuwa miradi yake.
Siku ya leo Maza ameonyesha upepo ni mbaya amesema tu bila kuwaza kwa Kweli.
 

Attachments

  • BB056059-2FD0-4E8E-98C8-15B9306B2E77.jpeg
    BB056059-2FD0-4E8E-98C8-15B9306B2E77.jpeg
    44.7 KB · Views: 2
  • 00EA2511-EE6F-41A4-BBD3-EE18881AE2F3.jpeg
    00EA2511-EE6F-41A4-BBD3-EE18881AE2F3.jpeg
    47.8 KB · Views: 2
  • 9E369FBA-4EA2-4FD6-A8AD-3EE879B5CEC5.jpeg
    9E369FBA-4EA2-4FD6-A8AD-3EE879B5CEC5.jpeg
    58.3 KB · Views: 2
Hawa washauri tunawalipa kiasi gani ? Au wanajitolea ?

Kwani akiwauliza bila kuwa washauri officially hawatampa jibu ?
 
Hivi tz hakuna watu wapya wanye sifa za kuteuliwa, kila siku tunasikia teuzi mpya, ukijaribu kuchungungulia unaona ni watu wale wale. Kinachofanyika ni kuwaamisha kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Hii kitu inanikela sana. Tunataka ktk kila teuzi kuwe na sura mpya chache chache
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-

(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;

(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;

(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na

(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

View attachment 2656461
Ameanza kushtuka kumekucha.

Aliowadharau ndo watakaombeba.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-

(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;

(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;

(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na

(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

View attachment 2656461
Huyu Mama jamani.
 
Back
Top Bottom