Rais Samia awateua Lukuvi, Bulembo, Balozi Luhwavi na Omar Kheir kuwa Washauri wa Rais Siasa na Uhusiano wa Jamii

Rais Samia awateua Lukuvi, Bulembo, Balozi Luhwavi na Omar Kheir kuwa Washauri wa Rais Siasa na Uhusiano wa Jamii

Itakuja vita kubwa Sana katika kukikomboa Kisiwa walichopewa waarabu.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-

(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;

(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;

(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na

(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

View attachment 2656461
Huku sasa ndiko kunaonyesha kutapatapa/desperation.
 
Dah!
Huyu huyu bulembo aliyejimilikisha shule za wazazi na ofisi za ccm kuwa miradi yake.
LOooh!
naona unatafuta njia ya kumsaidia atoke kwenye kabali aliyojiweka mwenyewe.

Acha ateue anavyoona mwenyewe inafaa; jambo la muhimu ni hao wateule wawe waTanzania wanaopenda nchi yao na wanaitumikia bila ya ubaguzi kwa yeyote.

N.B. Samahani mkuu 'gwakipanga', nime'quote' kwa makosa andiko lako. Nia yangu ilikuwa ni kumjibu aliyezungumzia mambo ya udini.
 
Hilo ndilo lengo lake kuu. Siyo kweli anauhitaji ushauri wa Lukuvi bali anataka kumdhibiti, asiwe na uhuru wa kukosoa chochote.
Yaani kwamba Lukuvi anadhiki sana, akikosa uteuzi huo maisha yake yanakuwa hohehahe?

hapa ndipo wanasiasa wa Tanzania wanapopotezea hadhi ya kuwa wanasiasa wa kweli. Inakuwa kama hawana lolote wanaloliamini maishani mwao. Hawana 'conviction' yoyote!

Katika hali ya namna hii iliyopo sasa utakuwa mshauri wa aina gani, kama siyo kutafuta kutumia jina lako tu wajisafishe na madudu waliyoyatengeneza wao?

Lukuvi kaondolewa kwenye wizara aliyoimudu vizuri kabisa. Alipewa sababu zipi z kumpumzisha katika kazi iliyokuwa inakwenda vizuri?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-

(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;

(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;

(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na

(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

View attachment 2656461
Tunataka bandari zetu zirudi mikononi mwetu.

Kama Serikali ya CCCM imeshindwa kudhibiti wizi na kuongeza ufanisi, watupishe tuchague chama kingine kuongoza Serikali.
 
Sawa kamchomekea Mzee Lukuvi, ila tunajuaaaa kamchomekea Kwa makusudi na Wala hampendi.



Siku akijifunza Kusimama kwenye haki, Akaachana na Uswahili ,na Uislam, atafaa japo ameshachelewa.




Nimshauri tu, aondoe wazi la kugombea.



Hivi kweli BULEMBO naye, ni wa kua mshauri wa Rais?? Huyu BULEMBO huyu jambazi la Mali za CCM?? .


Alafu hapo Rais anajiona salama?.


Mnajua Pengine, Rais Wetu Kawa blackmailed ila sisi hatujui , hivi ni Akili yake kabisa???.
Dawa zipo,

Bandari yetu ni Kinga kiusalama, kuibinafsisha ni kuhatarisha USALAMA.

HAIKUBALIKI!!!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-

(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;

(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;

(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na

(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

View attachment 2656461
Hapo kwa bulembo naona kama ameruka mkojo akakanyaga mavi .bulembo Anakitu gan cha maana anachiweza kutoka kwa sasa .
 
Sawa kamchomekea Mzee Lukuvi, ila tunajuaaaa kamchomekea Kwa makusudi na Wala hampendi.



Siku akijifunza Kusimama kwenye haki, Akaachana na Uswahili ,na Uislam, atafaa japo ameshachelewa.




Nimshauri tu, aondoe wazi la kugombea.



Hivi kweli BULEMBO naye, ni wa kua mshauri wa Rais?? Huyu BULEMBO huyu jambazi la Mali za CCM?? .


Alafu hapo Rais anajiona salama?.


Mnajua Pengine, Rais Wetu Kawa blackmailed ila sisi hatujui , hivi ni Akili yake kabisa???.

Mungu atusaidie kwakweli, Tanzania hatuna Rais.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-

(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;

(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;

(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na

(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

View attachment 2656461
Itajulikana tu
I smell something fishy in Dubai
 
Sawa kamchomekea Mzee Lukuvi, ila tunajuaaaa kamchomekea Kwa makusudi na Wala hampendi.



Siku akijifunza Kusimama kwenye haki, Akaachana na Uswahili ,na Uislam, atafaa japo ameshachelewa.




Nimshauri tu, aondoe wazi la kugombea.



Hivi kweli BULEMBO naye, ni wa kua mshauri wa Rais?? Huyu BULEMBO huyu jambazi la Mali za CCM?? .


Alafu hapo Rais anajiona salama?.


Mnajua Pengine, Rais Wetu Kawa blackmailed ila sisi hatujui , hivi ni Akili yake kabisa???.
Rais anavituko sana aisee eti bulembo ni mshauri ww raisi this is joking
 
Sawa kamchomekea Mzee Lukuvi, ila tunajuaaaa kamchomekea Kwa makusudi na Wala hampendi.



Siku akijifunza Kusimama kwenye haki, Akaachana na Uswahili ,na Uislam, atafaa japo ameshachelewa.




Nimshauri tu, aondoe wazi la kugombea.



Hivi kweli BULEMBO naye, ni wa kua mshauri wa Rais?? Huyu BULEMBO huyu jambazi la Mali za CCM?? .


Alafu hapo Rais anajiona salama?.


Mnajua Pengine, Rais Wetu Kawa blackmailed ila sisi hatujui , hivi ni Akili yake kabisa???.
TEC wamemshika pabaya
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-

(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;

(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;

(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na

(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

View attachment 2656461
Lukuvi akiwa waziri alikuwa na nafasi nzuri ya kumshauri Rais lakini akan'golewa kwa aibu kwa sababu alikuwa mfuasi mzuri wa JPM. Sasa anapopewa position ya chini ya meza atatoa ushrui gani wa maana huku hana authority.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-

(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;

(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;

(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na

(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

View attachment 2656461

Uteuzi uteuzi uteuzi! Kila teuzi, ukifuatilia 3 wanakuwa wavaa vibandiko, 1 anakuwa mula mfugo duuh
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi Washauri wa Rais wafuatao:-

(i) Amemteua Mhe. William Vangimembe Lukuvi (Mb.) kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Mhe. Lukuvi ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa;

(ii) Amemteua Bw. Abdallah Bulembo kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Bulembo ni Mbunge Mstaafu;

(in) Amemteua Balozi Rajab Omar Luhwavi kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jami). Balozi Luhwavi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji; na

(iv) Amemteua Bw. Haji Omar Kheir kuwa Mshauri wa Rais (Siasa na Uhusiano wa Jamii). Bw. Kheir ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

View attachment 2656461
Kwa UTEUZI HUU WA HAWA MAHAFIDHINA WATANGANYIKA MSITARAJIE KUNA KATIBA MPYA HAWA NI MIONGONI MWA WATU WASIOTAKA KATIBA MPYA
"HAKUNA KATIBA MPYA"
 
Sawa kamchomekea Mzee Lukuvi, ila tunajuaaaa kamchomekea Kwa makusudi na Wala hampendi.



Siku akijifunza Kusimama kwenye haki, Akaachana na Uswahili ,na Uislam, atafaa japo ameshachelewa.




Nimshauri tu, aondoe wazi la kugombea.



Hivi kweli BULEMBO naye, ni wa kua mshauri wa Rais?? Huyu BULEMBO huyu jambazi la Mali za CCM?? .


Alafu hapo Rais anajiona salama?.


Mnajua Pengine, Rais Wetu Kawa blackmailed ila sisi hatujui , hivi ni Akili yake kabisa???.
kwahiyo aache uislamu wake awe mgalatia sio? mpumbafu mkubwa wewe
 
Back
Top Bottom