Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndilo lengo lake kuu. Siyo kweli anauhitaji ushauri wa Lukuvi bali anataka kumdhibiti, asiwe na uhuru wa kukosoa chochote.Akikataa itakuwa safi mno. Lkn mama naona anataka kumuweka karibu ili amkotrol movement zake. /Put your enemy closer principle.
Na pia kuna baraza la mawaziri ambalo ni chombo cha kumshauri Rais.kuna teuzi nyingine ni vichekesho na kupeana ulaji tu.makamu wake wa rais na waziri mkuu wameshindwa kumshauri?
Jiulize, kwamba BULEMBO ni mshauri wa Rais 🤣🤣Samia kila mtu anataka kuumpa asali mpka mpuuuu BULEMBO MJINGA SANA
Bashiru hawez kununua Kwa sababu Moja ana akili Kubwa, pili msomi, tatu mzalendo.Bashiru atanuna sana akiona jina Bulembo
wanagawana sana keki ya taifa mpaka masikni tunashtukaNa pia kuna baraza la mawaziri ambalo ni chombo cha kumshauri Rais.
Yani kila kitu lazima kihusishwe na dini ,Hapa walutherani wameingia vipi ?Anajua nguvu ya LUKUVI kwa WALUTHERAN.
Hivi spinning za makinikia zilienda vipi? Nakumbuka bwana TL alikuwa mtetezi wa Accasia hadi akamiminiwa malisa si jamaa yake Deo yeye akaingia chamaniSpinning HADI hoja Bandari ife kibudu!
Mungu bariki Tanzania!
Kipimo cha Uzalendo ni kipi?Bashiru hawez kununua Kwa sababu Moja ana akili Kubwa, pili msomi, tatu mzalendo.
Sanasana anaweza sikitika Kwa namna mambo yanavyoenda ,nayeye ni mzalendo.