Rais Samia awateua Lukuvi, Bulembo, Balozi Luhwavi na Omar Kheir kuwa Washauri wa Rais Siasa na Uhusiano wa Jamii

Kazi kweli kweli,Mama ameanzisha kitengo cha siasa na mahusiano ya Jamii.Wapi Ofisi Kuu au Kwenye Chama.Kwa nini uteuzi huu umefanyika mara moja baada ya Mahakama ya haki za binadamu na utawala borra kutoa zuio la Wakurugenzi wa Halmashauri za wilaya kutopisha wa CCM bila kupingwa.Hukumu ulitakiwa kuwe na zuio la Wakurugenzi kutokuwa returning officers wa uchaguzi.Tume ya Uchaguzi itoe. Ajira kwa vijana wetu ambao hawana Kazi
kuwa returning officers na wasaidizi wao.Hizo ndiyo gharama za demokrasia
 
Lukuvi ni usalama wa Taifa, atatumika popote Rais atakapoona inafaa.
Hivyo?

Ina maana hawa watu wa usalama wao akili kichwani hawana, ni kama ma-robot tu ya kutumikishwa basi?

Mbona ingekuwa ni kweli hayo unayoyasema, ndiyo ingekuwa nafasi nzuri kabisa ya kulinda usalama wa taifa? Au hlli siku hizi lina tafsiri tofauti?
 
Ni wazo zuri kuwa na washauri wa karibu ukiwa kiongozi.

Swala Hawa washauri wanajuwa maisha yetu huku kwa kajamba nani au watahusika na wale wenye maisha ya kati na juu?

Kwa kajamba nani ndipo Wadanganyika tulipojazana, tuna imani watatufikia na kuwasilisha maoni na shida zetu.
 
Upuuzi mwingine tena; hivi kweli lukuvi ambaye anachojua ushirikina tu na huyo bulembo jamani, kweli kabisaaaa, sasa wanahusianisha nini na kwa kipi. Labda kwakuwa ile sherehe yake ya mwanza na waganga wenzie wajadi ilisukuma huo uteuzi. NCHI INA LAANA hiyo.
 
🤣😂😅
 
Makafir most of
Makafir most of you mna choko choko sana, uislam unawapa kimuhe muhe sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…