Wakufukuzwa walikuwa madiwani na baraza lao.
Barabara za Morogoro wanakojirundika ni finyu SANA. Nyembamba na kuna vurugu za bajaj na bodaboda... Kwa hili mama Rais kakurupuka angechunguza zaiidi kwanini manispaa iwe na msimamo huo.!
Roundabout ya mjini kati wakirudi, iko siku watagongwa watu, kisha tuwatumbue wengine.
MASOKO mengine yanayokusanya mapato na halmashauri yatakosa wateja sasa hivi!
La sivyo wakubaliane na TARURA ile iliyokuwa stendi ya hiace ya zamani, liwe soko..
Huu utitiri wa vijisoko kila baada ya mita 200 Morogoro ni mpango wa kipuuzi.
Everyday is Saturday............................... 😎