Rais Samia awatumbua Mkuu wa Wilaya Morogoro Bakari Msulwa na Mkurugenzi Morogoro Sheilla Lukuba Kwa Mgambo Kuwapiga Wamachinga

Rais Samia awatumbua Mkuu wa Wilaya Morogoro Bakari Msulwa na Mkurugenzi Morogoro Sheilla Lukuba Kwa Mgambo Kuwapiga Wamachinga

Walipoambiwa

Samia = Magufuli
hawakuelewa? Unyumbu wao umewaponza
Usilazimishe wafanane

1. Samia hateki watu
2. Samia hafokei watu
3. Samia anatambua Corona ipo
4. Samia anajipendekeza kwenye uhusiano wa kimataifa
5. Samia hapendi sifa za kupakwa mafuta kwa mgongo wa chuma (Ref: SABAYA)
6. Samia sio mshamba wa kujiona yeye ana akili kuliko watu wote eti kwa sababu tu ni Rais
7. Samia hana strategies za kuua upinzani


Usimfananishe kabisa na yule "MWANAKWENDAZAKE NA AENDE"
 
Usilazimishe wafanane

1. Samia hateki watu
2. Samia hafokei watu
3. Samia anatambua Corona ipo
4. Samia anajipendekeza kwenye uhusiano wa kimataifa
5. Samia hapendi sifa za kupakwa mafuta kwa mgongo wa chuma (Ref: SABAYA)
6. Samia sio mshamba wa kujiona yeye ana akili kuliko watu wote eti kwa sababu tu ni Rais
7. Samia hana strategies za kuua upinzani


Usimfananishe kabisa na yule "MWANAKWENDAZAKE NA AENDE"
Shaban Kissu kaja na jina jingne eti.
 
Mkuu mbona tofauti ni kubwa sana ingekuwa ni Magufuli hao wawili wangepandishwa vyeo kuwa RC na mwingine pengine kuwa RAS. Magufuli alikuwa anapenda wateule wake wawe harsh kwa wananchi rejea Chalamila kuwatandika viboko wanafunzi na yule Mkuu wa wilaya ya Arusha Khenan kuwatandika viboko watu wazima hadharani wakati kuna vyombo vya kisheria.

Rais Samia hataki haya ndo maana kawaondoa fasta.Uonevu zama zake zimekwisha.
 
Tofauti wanayo kubwa sana mwendakuzimu alikuwa liuaji na jizi
Wewe vipi? Tatizo unadhani utapata nafuu bila kujitahidi. Utaishia kutukana bila hata faida kwa yanayotokea. Usikalie kulia lia mwaka mzima, wenzako tumeshakata kona na tunamwangalia mama kwa analytical mind.
Binafsi naona uelekeo wa serikali na niko huko huko!
 
Majipu yanaendelea kutumbuliwa,mwendo ni uleule,kazi iendelee..
 
Mkuu mbona tofauti ni kubwa sana ingekuwa ni Magufuli hao wawili wangepandishwa vyeo kuwa RC na mwingine pengine kuwa RAS. Magufuli alikuwa anapenda wateule wake wawe harsh kwa wananchi rejea Chalamila kuwatandika viboko wanafunzi na yule Mkuu wa wilaya ya Arusha Khenan kuwatandika viboko watu wazima hadharani wakati kuna vyombo vya kisheria.

Rais Samia hataki haya ndo maana kawaondoa fasta.Uonevu zama zake zimekwisha.
Lini JPM alionea wamachinga wewe kima?
 
Kama Pasco hakikosa kuteuliwa kwenye hizi nafasi mbili zilizo wazi hapa natembea uchi siku tatu mfululizo halafu najiua kutakuwa hamna haja ya kuendelea kuishi ile dhana ya bad luck itajidhihirisha waziwazi
Paskali mayala a.K.A njaa ni kijana au babu...
 
Mkuu mbona tofauti ni kubwa sana ingekuwa ni Magufuli hao wawili wangepandishwa vyeo kuwa RC na mwingine pengine kuwa RAS. Magufuli alikuwa anapenda wateule wake wawe harsh kwa wananchi rejea Chalamila kuwatandika viboko wanafunzi na yule Mkuu wa wilaya ya Arusha Khenan kuwatandika viboko watu wazima hadharani wakati kuna vyombo vya kisheria.

Rais Samia hataki haya ndo maana kawaondoa fasta.Uonevu zama zake zimekwisha.
Wenye vichwa vyenye kumbukumbu ndogo changieni kule kwenye jukwaa la mapenzi. Munachafua siasa zetu bhana! Kabwe alitumbuliwa kwa sababu gani pale Dar? Mkuu wa wilaya ya Kahama, Fadhili Nkurlu alitumbuliwa kwa sababu gani?
 
Mmoja mmoja karma inawafuata , tujikumbushe :

29 Oct 2020

MATOKEO YA MGOMBEA UBUNGE MOROGORO MJINI​


Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Morogoro mjini Sheila Lukuba akitangaza matokeo ya Ubunge wa jimbo hilo kwa wananchi wa manispaa ya Morogoro,
zoezi lililofanyika katika ukumbi wa halmashauri hiyo Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Morogoro mjini, Sheila Lukuba amemtangaza mgombea ubunge wa CCM jimbo la Morogoro mjini Abdulla Aziz Abood ameshinda baada ya kupata kura 171,349. Devotha Minja wa Chadema amepata kura 14,139 Waliojiandikisha walikuwa 286,840 Waliopiga kura 188,030 Kura Hali 186,770 Kura zilizokataliwa ni 1259
 
Back
Top Bottom