Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bakari msulwaumechemsha huyu mama alishastaafu. Morogoro aliteuliwa mzee mmoja kutoka TBC
Mama angewapa nafasi ya kujieleza na kupewa fursa nyingine! Its very painfull. Ukute mgambo na njaa zao wameamua kusumbua wamachinga ili kuganga njaa zao tu!!! Jamani kutumbuliwa kusikie kwa mwingine tu !!!!Duh mama anatumbua polepole kama anacheza hivi ila ndio unakwenda
Karma haina mwenyewe acha avume....Kama Pasco hakikosa kuteuliwa kwenye hizi nafasi mbili zilizo wazi hapa natembea uchi siku tatu mfululizo halafu najiua kutakuwa hamna haja ya kuendelea kuishi ile dhana ya bad luck itajidhihirisha waziwazi
Hahhahaa huyo wa kwanza aliyeandika barua ya kilio nimekosa nimekosa mimi😂😂😂😂Morogoro kuna Laana Viongozi wengi wanaishia kutumbuliwa hasa DCs na RCs.
Dr Rutengwe na Dr. Kebbwe ni mashahidi
Mama angewapa nafasi ya kujieleza na kupewa fursa nyingine! Its very painfull. Ukute mgambo na njaa zao wameamua kusumbua wamachinga ili kuganga njaa zao tu!!! Jamani kutumbuliwa kusikie kwa mwingine tu !!!!MiakaDuh mama anatumbua polepole kama anacheza hivi ila ndio unakwenda
Miaka +50 ni kijana! Unakumbuka Kikwete wakati anagombea urais kwa mara ya kwanza alikuwa na miaka 55!!. Tuliambiwa huyu ni kijana mwenzenu na vijana walimkubali kama kijana mwenzao!.Mama kasema nafasi hizo ni za vijana! Pascal siyo kijana kwani ana miaka 50+.
Hata hivyo faili lake lilichafuliwa na mwenda zake na nduguyai!
Hivi na yeye ni kijana?Kama Pasco hakikosa kuteuliwa kwenye hizi nafasi mbili zilizo wazi hapa natembea uchi siku tatu mfululizo halafu najiua kutakuwa hamna haja ya kuendelea kuishi ile dhana ya bad luck itajidhihirisha waziwazi
Alistaafishwa pamoja na mama Mghwira juzi juzi kwenye reshuffle ya maRCHivi yule Bonge Mmmasai Loota Sanare amepotelea wapi?
Kuna hayawani nasikia wamepiga marufuku kutumia neno mwendazake
Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
Hebu tuwekee habari kamili wengine hatujasikiaNimesikia kwa mbali nikiwa barabarani hapa Shelui Iramba!
Jifiche kwenye keyboard ila ghafla unaijiwa uthibitishe ninao uhakika macho hayatakuwa tofauti na ya chura alokanywagwa tumbo.Tofauti wanayo kubwa sana mwendakuzimu alikuwa liuaji na jizi
Yah ni sawa na kufukuzwa kazi huku una bills kibao za kulipa kama kodi, umeme, maji, chakula na matibabu pia ndugu wanakutegemea it's so painfulMama angewapa nafasi ya kujieleza na kupewa fursa nyingine! Its very painfull. Ukute mgambo na njaa zao wameamua kusumbua wamachinga ili kuganga njaa zao tu!!! Jamani kutumbuliwa kusikie kwa mwingine tu !!!!
Acha kumtisha hakuna lolote!Ukweli lazima usemwe .Jifiche kwenye keyboard ila ghafla unaijiwa uthibitishe ninao uhakika macho hayatakuwa tofauti na ya chura alokanywagwa tumbo.
Kwani Pascal ni kijana?Kama Pasco hakikosa kuteuliwa kwenye hizi nafasi mbili zilizo wazi hapa natembea uchi siku tatu mfululizo halafu najiua kutakuwa hamna haja ya kuendelea kuishi ile dhana ya bad luck itajidhihirisha waziwazi