jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Vijana wa UVCCM Wanakula kwa urefu wa kambaWamekula kutokana na urefu wa kamba zao mna watengua kwa nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wa UVCCM Wanakula kwa urefu wa kambaWamekula kutokana na urefu wa kamba zao mna watengua kwa nn?
Ni ng'wanidakoRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa njiani kutoka Mwanza kwenda mkoani Mara, leo Ijumaa ametangaza kutengua uteuzi wa wakurugenzi wanne wa Halmashauri ya Buchosha, Iringa, Mbeya na Singida Mjini baada ya kubainika kutumia vibaya fedha za UVIKO-19.
---
Kama siyo kuzidisha basi walikata kamba zao wakala na sehemu zisizo zaoWalizidisha kamba
Kampa bia za kumwaga na mikuku ya kukaanga kwa pesa za ujenzi wa madarasa. Kamla dada wawatu kavu, limbe huna maana... huyu Limbe si ndiye kulikuwa na uzi humu unamhusu kwamba alimuita baa mdada mmoja aliyekuwa na shida ya kiofisi akamlewesha na hatimaye kwenda kumbaka gesti? Jinga sana hili wamelichelewesha sana!
Kuiba na kukosea ni vitu viwili tofauti.. Naendelea kusisitiza kula kwa urefu wa kamba yako ukizidisha utaliwa kichwa..si tulikubaliana mpaka zifike Mara 4 ndio tuwatumbue wale wanaokosea ?
Mimi kibanda changu nishakimaliza kabla wao hawajamaliza mabangalow yao. Nimeridhika. Siwezi kula rushwa au kuhujumu Taifa.Naona mnaoneana wivu pale wahuni wanapomalizia nyumba zao chap chap Kwa pesa za uvico huku wew ukikomaa na mkopo wa NMB