Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Amekuangusha kivipi? Kakunyima mgao?Classmate wangu Lubuva umeniangusha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekuangusha kivipi? Kakunyima mgao?Classmate wangu Lubuva umeniangusha sana.
Wanarudi kwenye kazi zao kabla ya kuteuliwa, na wanarudi na mishahara yao ya ukurugenzi, watakachokosa mi V8 na marupurupu manono.Usiombe kujikuta uraiani ghafla bin vuuuh!!
Pole sana kwao waliokuwa wakurugenzi , Hongera sana kwa Rais Samia kusimamia maslahi ya Taifa!
Liwe fundisho kwa wengine wenye tabia hizo
Mnafahamiana?Ooooooh Limbe B.Limbe maisha yanaenda Kasi sanaaa
Yule wa bunda aliyejenga msingi kwa 60ml anasubiri niniRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa njiani kutoka Mwanza kwenda mkoani Mara, leo Ijumaa ametangaza kutengua uteuzi wa wakurugenzi wanne wa Halmashauri ya Buchosha, Iringa, Mbeya na Singida Mjini baada ya kubainika kutumia vibaya fedha za UVIKO-19.
---
Rais Samia Suluhu Hassan amewatengua Wakurugenzi wa Halmashauri nne kutokana na tuhuma za matumizi mabaya ya fedha na amesema Mkurugenzi wa Geita kama akikutwa na ubadhirifu pia tataenguliwa
Wakurugenzi waliotenguliwa ni Mkurugenzi wa Buchosa, Iringa, Mbeya Mjini na Singida Mjini. Utenguzi umefanyika baada ya Waziri wa OR-TAMISEMI Innocent Bashungwa kusema wanafanya uchunguzi wa haraka kwa wakurugenzi walioripotiwa kufanya ubadhirifu
Halmashauri ya Buchosa ilikuwa chini ya Mkurugenzi Paulo Malala, Mkurugenzi wa Iringa ni Limbe B. Limbe, Mkurugenzi wa Singida Mjini ni Zefrin Kimolo Lubuva, na Mbeya Mjini ni Amede E.A Ngwanidako
Yaani anajiona sana ila utendaji wake ni sifuri. Ameshindwa kabisa.Jeuri yule!
Upo sawa, huyu alikuja kuteuliwa mwishoni maana mwanzo mwanga alikua mgonzoLubuva alikuwa Mwanga kitambo sn na walikuwa wanagombana na DC wake, ni jiwe
si alisema hatatumbua bali atawapa onyo kwanza imekuwaje hawa amewatengua?Mama Samia amewatengua wakurugenzi wanne wa halmashauri za Buchosa, singida mjini, Itinga na Mbeya kwa matumizi mabaya ya pesa za Uviko.
Mama Samia nakuunga mkono kwa 100%, kwa kuwa hizi pesa watakaokuja kuzilipa ni wananchi hivyo zinapaswa kutumiwa vizuri ili kuleta maendeleo.
Mfuko wa cement unauzwa 21000 lakini mkurugenzi anaenda kununua kwa 24000. Haya ni matumizi mabaya ya pesa za wananchi na n Bora umeliona hili, japo hapo mwanzo walikuwepo washabiki wakawa wanatetea humu sijui Leo watasemaje.
Mama Samia endelea kuhakikisha kila pesa ya serikali kwenye miradi haipotei.
Lakini pia usiishie kuwatengua tu unaweza kwenda mbali kwa kuwawajibisha zaidi ili kuzuia wengine kujipimia kwa urefu wa kamba zao.
View attachment 2107544
Ha ha haaa! Wale wa kusema 'hakuna' maamuzi ya hadharani na papo kwa papo, kwani kufanya hivyo ilikuwa kiki, waje hapa tuwaone!Halmashauri ya Buchosa ilikuwa chini ya Mkurugenzi Paulo Malala, Mkurugenzi wa Iringa ni Limbe B. Limbe, Mkurugenzi wa Singida Mjini ni Zefrin Kimolo Lubuva, na Mbeya Mjini ni Amede E.A Ngwanidako
Duh! Mnachosha ninyi!Daganya toto hii,hapo wanatafutwa wasukuma,kati ya hao wanne,watatu ni wasukuma
Ukila na kunawa Mahakamani utasikia kwa MboweHivi hao wanaoitwa wabadhirifu, mbona huwa hawafikishwi mahakamani?
Kalamu itaongea zaidi, bwana!si alisema hatatumbua bali atawapa onyo kwanza imekuwaje hawa amewatengua?
Hivi zaidi ya kufutwa kazi kuna hatua nyingine kama kushtakiwa na kupelekwa mahakamani wanayochukuliwa?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa njiani kutoka Mwanza kwenda mkoani Mara, leo Ijumaa ametangaza kutengua uteuzi wa wakurugenzi wanne wa Halmashauri ya Buchosha, Iringa, Mbeya na Singida Mjini baada ya kubainika kutumia vibaya fedha za UVIKO-19.
---
Rais Samia Suluhu Hassan amewatengua Wakurugenzi wa Halmashauri nne kutokana na tuhuma za matumizi mabaya ya fedha na amesema Mkurugenzi wa Geita kama akikutwa na ubadhirifu pia tataenguliwa
Wakurugenzi waliotenguliwa ni Mkurugenzi wa Buchosa, Iringa, Mbeya Mjini na Singida Mjini. Utenguzi umefanyika baada ya Waziri wa OR-TAMISEMI Innocent Bashungwa kusema wanafanya uchunguzi wa haraka kwa wakurugenzi walioripotiwa kufanya ubadhirifu
Halmashauri ya Buchosa ilikuwa chini ya Mkurugenzi Paulo Malala, Mkurugenzi wa Iringa ni Limbe B. Limbe, Mkurugenzi wa Singida Mjini ni Zefrin Kimolo Lubuva, na Mbeya Mjini ni Amede E.A Ngwanidako
Na siyo onyo!si alisema hatatumbua bali atawapa onyo kwanza imekuwaje hawa amewatengua?
Huyu Lubuva sio yule alikuwa DSO kule Masumbwe -Geita?Classmate wangu Lubuva umeniangusha sana.
Hao hawaji uraiani ni watumishi wa Umma watapangiwa kazi nyingineUsiombe kujikuta uraiani ghafla bin vuuuh!!
Pole sana kwao waliokuwa wakurugenzi , Hongera sana kwa Rais Samia kusimamia maslahi ya Taifa!
Liwe fundisho kwa wengine wenye tabia hizo