Rais Samia awe makini asije akatuletea "Sabaya" mwingine. Je, ni kwanini CCM wanamtumia Makonda hata baada ya kupigwa ban na Marekani?

Rais Samia awe makini asije akatuletea "Sabaya" mwingine. Je, ni kwanini CCM wanamtumia Makonda hata baada ya kupigwa ban na Marekani?

Mpaka sasa wenye uelewa wa kawaida tu wanafahamu ni nini mama Samia anakiandaa kwa siku zijazo hususani 2025. Mama na CCM wanajua fika kuwa bila rafu mambo yatakuwa magumu sana 2025.

Kila wakati historia imeonesha kuwa pamoja na CCM kuwa madarakani na kujinasibu kama chama makini na kujiuza kwa miradi kemkem, CCM haijaweza kukubali kuruhusu uchaguzi huru na wa haki.

Shinikizo la katiba mpya limeonesha wazi kwa watawala kutokuwa tayari kwa mabadiliko, na hata mchakato wa katiba mpya kukamilika itakuwa ni kati ya 2025 kuelekea 2030 baada ya uchaguzi.

Watawala wetu wapo tayari kufanya chochote ile wabaki madarakani, na wanaelewa njia "nzuri" ni kucheza rafu, kwani bila hivyo hawatoboi. Kwanini CCM wamefumba macho hata baada ya rekodi mbaya ya Makonda kuhusu haki za binadamu?

Magufuli alimtumia Sabaya pale nyumbani kwa Mbowe jimbo la Hai, na kanda ya Kaskazini. Sabaya alikuwa hazuiliki na mtu yeyote kwani alikuwa na maagizo kutoka juu. Hata mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro wakati ule mama Anna Magwira alijibiwa kwa kiburi na jeuri na kijana Sabaya kwani Sabaya alikuwa na uhakika kwamba hakuna madhara yoyote.

Kibri na jeuri tunazoona sasa kutoka kwa Paul Makonda hadi kufikia hatua ya kuwaamrisha Waziri Mkuu, mawaziri na watendaji wakubwa wa serikali sio hivihivi, ana ruhusa kutoka juu.

Kwa namna hii navyomjua Makonda, atatenda mengi sana na kuvuka mipaka kama alivyofanya Sabaya. Inajulikana pia kwamba wakati wa Magufuli Makonda aliwekewa red tape na jumuiya ya kimataifa hasa Marekani kama mtu anayekiuka haki za binadamu.

Je, ni kwanini Mama amemchagua hata baada ya rekodi hii mbaya kimataifa? Hakuna watu safi nchi hii? Hakuna namna nyingine ya CCM kufanikiwa bila rafu za akina Sabaya na Makonda?
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala
 
Mpaka sasa wenye uelewa wa kawaida tu wanafahamu ni nini mama Samia anakiandaa kwa siku zijazo hususani 2025. Mama na CCM wanajua fika kuwa bila rafu mambo yatakuwa magumu sana 2025.

Kila wakati historia imeonesha kuwa pamoja na CCM kuwa madarakani na kujinasibu kama chama makini na kujiuza kwa miradi kemkem, CCM haijaweza kukubali kuruhusu uchaguzi huru na wa haki.

Shinikizo la katiba mpya limeonesha wazi kwa watawala kutokuwa tayari kwa mabadiliko, na hata mchakato wa katiba mpya kukamilika itakuwa ni kati ya 2025 kuelekea 2030 baada ya uchaguzi.

Watawala wetu wapo tayari kufanya chochote ile wabaki madarakani, na wanaelewa njia "nzuri" ni kucheza rafu, kwani bila hivyo hawatoboi. Kwanini CCM wamefumba macho hata baada ya rekodi mbaya ya Makonda kuhusu haki za binadamu?

Magufuli alimtumia Sabaya pale nyumbani kwa Mbowe jimbo la Hai, na kanda ya Kaskazini. Sabaya alikuwa hazuiliki na mtu yeyote kwani alikuwa na maagizo kutoka juu. Hata mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro wakati ule mama Anna Magwira alijibiwa kwa kiburi na jeuri na kijana Sabaya kwani Sabaya alikuwa na uhakika kwamba hakuna madhara yoyote.

Kibri na jeuri tunazoona sasa kutoka kwa Paul Makonda hadi kufikia hatua ya kuwaamrisha Waziri Mkuu, mawaziri na watendaji wakubwa wa serikali sio hivihivi, ana ruhusa kutoka juu.

Kwa namna hii navyomjua Makonda, atatenda mengi sana na kuvuka mipaka kama alivyofanya Sabaya. Inajulikana pia kwamba wakati wa Magufuli Makonda aliwekewa red tape na jumuiya ya kimataifa hasa Marekani kama mtu anayekiuka haki za binadamu.

Je, ni kwanini Mama amemchagua hata baada ya rekodi hii mbaya kimataifa? Hakuna watu safi nchi hii? Hakuna namna nyingine ya CCM kufanikiwa bila rafu za akina Sabaya na Makonda?
Uchambuzi Mzuri,big up
 
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Wewe umechanganyikwa, moja haisomi mbili haikai.
Bora wenzako kama FaizaFoxy Lord denning wameamua kukaa kimya katika hili.
 
Mpaka sasa wenye uelewa wa kawaida tu wanafahamu ni nini mama Samia anakiandaa kwa siku zijazo hususani 2025. Mama na CCM wanajua fika kuwa bila rafu mambo yatakuwa magumu sana 2025.

Kila wakati historia imeonesha kuwa pamoja na CCM kuwa madarakani na kujinasibu kama chama makini na kujiuza kwa miradi kemkem, CCM haijaweza kukubali kuruhusu uchaguzi huru na wa haki.

Shinikizo la katiba mpya limeonesha wazi kwa watawala kutokuwa tayari kwa mabadiliko, na hata mchakato wa katiba mpya kukamilika itakuwa ni kati ya 2025 kuelekea 2030 baada ya uchaguzi.

Watawala wetu wapo tayari kufanya chochote ile wabaki madarakani, na wanaelewa njia "nzuri" ni kucheza rafu, kwani bila hivyo hawatoboi. Kwanini CCM wamefumba macho hata baada ya rekodi mbaya ya Makonda kuhusu haki za binadamu?

Magufuli alimtumia Sabaya pale nyumbani kwa Mbowe jimbo la Hai, na kanda ya Kaskazini. Sabaya alikuwa hazuiliki na mtu yeyote kwani alikuwa na maagizo kutoka juu. Hata mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro wakati ule mama Anna Magwira alijibiwa kwa kiburi na jeuri na kijana Sabaya kwani Sabaya alikuwa na uhakika kwamba hakuna madhara yoyote.

Kibri na jeuri tunazoona sasa kutoka kwa Paul Makonda hadi kufikia hatua ya kuwaamrisha Waziri Mkuu, mawaziri na watendaji wakubwa wa serikali sio hivihivi, ana ruhusa kutoka juu.

Kwa namna hii navyomjua Makonda, atatenda mengi sana na kuvuka mipaka kama alivyofanya Sabaya. Inajulikana pia kwamba wakati wa Magufuli Makonda aliwekewa red tape na jumuiya ya kimataifa hasa Marekani kama mtu anayekiuka haki za binadamu.

Je, ni kwanini Mama amemchagua hata baada ya rekodi hii mbaya kimataifa? Hakuna watu safi nchi hii? Hakuna namna nyingine ya CCM kufanikiwa bila rafu za akina Sabaya na Makonda?
Walisahau kilichotokea
 
Anaweza kupewa jukumu na hakunaulazima wakwenda njeya nchi.

Magu alibaki hapahapa home na tuliona nchi anapata maendeleo kwa speed ya jet.

Hao marekani ni wazee wa maslahi, wakikuambia mtu flani ni muovu kunakichwa na mambupu kwanza kabla huja waamini.
Madeni yakapaa mara dufu
 
Jana nilisema Tanganyika wenye akili ni wachache sn. Sasa hapo umemtukuna mleta mada kwa sababu ipi au wewe ndiyo mwana CCM peke yako. Mimi huwa nakereheka mtu kumtukana usie mjua, mmekutana tu hapa jf then unamuodolea heshima yake kwa sababu za hovyohovyo.
Hawana hoja wala majibu.

Kuna mtu jana aliandika kuwa mtu anayetukana ni mtu mwenye uwezo wa kufikiri
 
Kwani Samia mnadhani hajui kuwa Makonda siyo msafi? Anajuwa kabisa kuwa Makonda ni muuaji, dhulmati na mtekaji ila amewapa wanachotaka.
Hiyo sasa ndiyo siasa. Unamkabili adui kwa kasi ileile anayokuja nayo. Akija kwa staha unakwenda naye kwa staha. Akija kwa matusi na dharau unammuonyesha dharau mara 10 zaidi.

Hawa pimbi wenu akina Lissu na Mdude wamekuwa wakitukana kila siku mnawachekea. Sasa wame beep na mama kawapigia.

Hapa hapigwi mtu risasi kama Magufuli alivyokuwa anapiga akina Lissu, wala mtu hatekwi na kufunguliwa mashtaka ya kutakatisha fedha.

Samia atashindana kwa performance, sera nzuri uongozi bora.
Sera nzuri na uongozi bora kutoka kwa Makonda?? Naona kama unajichanganya
 
Hee kumbe? Kusema ukweli Sabaya namuogopa sana.

Yule jamaa bora nikutane na shetani nitaomba kwa Jina La Yesu. Ila huyu Bwana namwogopa mno.
Sabaya anataka hela makonda ukitoa hela anataka tena na akijua atapata jina anakuua
 
Mimi nimefurahi tu DPW imepita, na sasa uwekezaji bandari unaanza rasmi...
Zile kelele zote kwisha habari yake...
 
Mimi nimefurahi tu DPW imepita, na sasa uwekezaji bandari unaanza rasmi...
Zile kelele zote kwisha habari yake...
Kwa Tanzania hata wawekeze Kwenye Sayari umaskini wako na wanyonge wengine utabaki palepale
 
Kwa Tanzania hata wawekeze Kwenye Sayari umaskini wako na wanyonge wengine utabaki palepale
Mimi ninavyojua akichukua mwarabu mizigo yangu itatoka kwa haraka bila zengwe la wapigaji wa kuchelesha mizigo ili wale cha juu na mafaini kibao...
 
Wew ni mjinga majungu mtaacha lini? Kwanini mnamuogopa Makonda? Mpk inaonesha kbs Makonda ndyo yenu wahunihuni
Kwani alikuwa wapi makonda na kwa nini? Unataka kumdanganya nani asiyemjua?
 
Mpaka sasa wenye uelewa wa kawaida tu wanafahamu ni nini mama Samia anakiandaa kwa siku zijazo hususani 2025. Mama na CCM wanajua fika kuwa bila rafu mambo yatakuwa magumu sana 2025.

Kila wakati historia imeonesha kuwa pamoja na CCM kuwa madarakani na kujinasibu kama chama makini na kujiuza kwa miradi kemkem, CCM haijaweza kukubali kuruhusu uchaguzi huru na wa haki.

Shinikizo la katiba mpya limeonesha wazi kwa watawala kutokuwa tayari kwa mabadiliko, na hata mchakato wa katiba mpya kukamilika itakuwa ni kati ya 2025 kuelekea 2030 baada ya uchaguzi.

Watawala wetu wapo tayari kufanya chochote ile wabaki madarakani, na wanaelewa njia "nzuri" ni kucheza rafu, kwani bila hivyo hawatoboi. Kwanini CCM wamefumba macho hata baada ya rekodi mbaya ya Makonda kuhusu haki za binadamu?

Magufuli alimtumia Sabaya pale nyumbani kwa Mbowe jimbo la Hai, na kanda ya Kaskazini. Sabaya alikuwa hazuiliki na mtu yeyote kwani alikuwa na maagizo kutoka juu. Hata mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro wakati ule mama Anna Magwira alijibiwa kwa kiburi na jeuri na kijana Sabaya kwani Sabaya alikuwa na uhakika kwamba hakuna madhara yoyote.

Kibri na jeuri tunazoona sasa kutoka kwa Paul Makonda hadi kufikia hatua ya kuwaamrisha Waziri Mkuu, mawaziri na watendaji wakubwa wa serikali sio hivihivi, ana ruhusa kutoka juu.

Kwa namna hii navyomjua Makonda, atatenda mengi sana na kuvuka mipaka kama alivyofanya Sabaya. Inajulikana pia kwamba wakati wa Magufuli Makonda aliwekewa red tape na jumuiya ya kimataifa hasa Marekani kama mtu anayekiuka haki za binadamu.

Je, ni kwanini Mama amemchagua hata baada ya rekodi hii mbaya kimataifa? Hakuna watu safi nchi hii? Hakuna namna nyingine ya CCM kufanikiwa bila rafu za akina Sabaya na Makonda?
Makonda ni papara tu hana la zaidi ya uporaji, mwizi, na mtaka sifa. Anatoa wapi huo ujasiri wa kutaka kuwa juu ya mwenyekiti wake? Na hizo pesa anazotanguliza kwenye ziara yake eti aandaliwe panda sijui farasi huu ni usanii. Na kiukweli wana CCM tusipokuwa makini atatuulia hii Chama. Walipita wengi kwa taratibu za kueleweka Sio hui ya Bashite !!

Mwenyekiti wetu kwa hiki umepotea mwelekeo haswa.!
 
Mpaka sasa wenye uelewa wa kawaida tu wanafahamu ni nini mama Samia anakiandaa kwa siku zijazo hususani 2025. Mama na CCM wanajua fika kuwa bila rafu mambo yatakuwa magumu sana 2025.

Kila wakati historia imeonesha kuwa pamoja na CCM kuwa madarakani na kujinasibu kama chama makini na kujiuza kwa miradi kemkem, CCM haijaweza kukubali kuruhusu uchaguzi huru na wa haki.

Shinikizo la katiba mpya limeonesha wazi kwa watawala kutokuwa tayari kwa mabadiliko, na hata mchakato wa katiba mpya kukamilika itakuwa ni kati ya 2025 kuelekea 2030 baada ya uchaguzi.

Watawala wetu wapo tayari kufanya chochote ile wabaki madarakani, na wanaelewa njia "nzuri" ni kucheza rafu, kwani bila hivyo hawatoboi. Kwanini CCM wamefumba macho hata baada ya rekodi mbaya ya Makonda kuhusu haki za binadamu?

Magufuli alimtumia Sabaya pale nyumbani kwa Mbowe jimbo la Hai, na kanda ya Kaskazini. Sabaya alikuwa hazuiliki na mtu yeyote kwani alikuwa na maagizo kutoka juu. Hata mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro wakati ule mama Anna Magwira alijibiwa kwa kiburi na jeuri na kijana Sabaya kwani Sabaya alikuwa na uhakika kwamba hakuna madhara yoyote.

Kibri na jeuri tunazoona sasa kutoka kwa Paul Makonda hadi kufikia hatua ya kuwaamrisha Waziri Mkuu, mawaziri na watendaji wakubwa wa serikali sio hivihivi, ana ruhusa kutoka juu.

Kwa namna hii navyomjua Makonda, atatenda mengi sana na kuvuka mipaka kama alivyofanya Sabaya. Inajulikana pia kwamba wakati wa Magufuli Makonda aliwekewa red tape na jumuiya ya kimataifa hasa Marekani kama mtu anayekiuka haki za binadamu.

Je, ni kwanini Mama amemchagua hata baada ya rekodi hii mbaya kimataifa? Hakuna watu safi nchi hii? Hakuna namna nyingine ya CCM kufanikiwa bila rafu za akina Sabaya na Makonda?
Kupigwa ban na Marekani kunaathiri vipi utendaji wake hapa Tanzania?. Hao Marekani ndio majasusi waliokuwa wakiwaua viongozi wa mwanzo kabisa wa Afrika. Walimuua pia Ghadhafi wa Libya, ni washenzi tu.
 
Back
Top Bottom