Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kwahiyo malalamiko yao ni ya uongo! Mbona maparachichi yao waliyoshindwa kuyauza huko yanaharibikia kwenye masoko yetu.Pamoja na kwamba unaropoka tuu ila jitakujibu hivyo hivyo Kwa uropokaji wako.
Una hakika hawajapata soko Ulaya? Pili ziara ya Rais ni pamoja na kuwatafutia masoko.
Sawa ndio hivyo mapunguani wanaenda G20 ila nyie wenye akili Mko kijiweni kirumba mnajadili maswala ya kipunguani 😁😁Huu ni upunguani
Una uhakika? Nikikuwekea ushahidi hautakimbia?Mikopo,mikopo ,mikopo.
Kuuza,kuuza,kuuza
Kuomba ,kuomba,kuomba
Wewe unaujua? TuambieUkiona hivyo wanajua udhaifu wake.
Ndungulile ni Director wa wapi?Sema kupasiana Channel na Connection za ulaji kwa walio juu huko wewe kapuku ukawe Director WHO toka lini?
Ndio kwani kualikwa kwenye jalamu ya wakubwa wewe unaona sio sifa ni matusi au dharau? Hapo ujinga uko wapi?Nchi inawajinga wa kutosha hii! Ata kualikwa kwa watu mtu anaona sifa!
Kwanini tunakopa? Kwanini sisi tusiwakopeshe?Una uhakika? Nikikuwekea ushahidi hautakimbia?
Mwisho hata mikopo ni Kwa maslahi ya Nchi,sio Kila Nchi Ina vigezo vya kupata Mkopo
SSH amekuwa akizungumza kwenye midahalo ya Kimataifa kuanzia COP Hadi USA ,halinganishwi Kwa chochote na wewe mjingaSawasawa,,,, asiende kupayuka kama Rango sasa,,,,akaseme naona kuna vijimaneno maneno kwamba marekani imemkataaa Kamala Harris kuwa raisi sababu ni mwanamke, naomba niwaambie wamerekani wanione mimi mwanamke na ninaongoza nchi yangu vizuri sana, mauaji ya wapinzani yako juuu, uchafuzi wa uchaguzi, rushwa na ufisaidi,, nimeuza bandari na mbuga za wanyama, pia ninapambana kufukuza wamasai….😇….
Kwa hiyo wamarekani wasiogope kwanza hakuna raisi mwanamke ni raisi mwenye jinsia ya kike….
G20 Hoyeeeee
Wewe mwenyewe unakopa songesha kila sikuKwanini tunakopa? Kwanini sisi tusiwakopeshe?
Ni nini tusicho nacho??? Hadi tunakwenda kukopa?
Tunakopa Ili tujenga Uchumi.Umkopeshe Nchi yenye uhuru Kwa miaka 200 vs 60? Uko sawasawa kichwani?Kwanini tunakopa? Kwanini sisi tusiwakopeshe?
Ni nini tusicho nacho??? Hadi tunakwenda kukopa?
Unatakiwa ukope ukijua unalipa mkopo kwa njia Gani?Tunakopa Ili tujenga Uchumi.Umkopeshe Nchi yenye uhuru Kwa miaka 200 vs 60? Uko sawasawa kichwani?
Kwani kukopa Kuna ubaya?
Sifa za kijinga. Walikuja hapa nchini Bush na Obama wakiwa madarakani, ahadi zikawa tembo, utekelezaji ukawa sungura!Tanzania imealikwa Kuhudhuria Mikutano wa G20 huko Brazil ambapo Rais Samia ataiwakilisha Nchi kuanzia baadae mwezi huu.
Hii inakuwa ni mara ya kwanza Kwa Tanzania kualikwa kwenye G20 na mara ya pili kualikwa kwenye ngazi kubwa ndani ya kipindi chake kwani Aliwahi alikuwa kushiriki mikutano wa BRICS huko South Africa.
Miaka ya nyumba JK na Marehemu Mkapa wamewahi alikuwa Kuhudhuria Mikutano ya G8.
My Take: Tanzania inazidi kuonesha Nguvu yake kidiplomasia Duniani.
==============
View attachment 3151819
For the first time in history, Tanzania will participate in the G20 Leaders’ Summit, with President Samia Suluhu Hassan set to represent the nation in Rio de Janeiro, Brazil, on 18th and 19th November 2024. This year’s summit, themed “Building a Just World and a Sustainable Planet,” follows an invitation from Brazilian President Luiz Inácio Lula da Silva.
President Samia’s attendance marks a significant milestone, as she becomes the first Tanzanian and the first female Executive President of Tanzania to attend a G20 Leaders' Summit since the group expanded from G8 in 2009. Previously, Tanzania was represented at G8 summits by former leaders Benjamin Mkapa and Jakaya Kikwete in 2005 and 2008, respectively.
Tanzania’s participation underscores its growing influence and commitment to addressing critical global challenges, including climate change, poverty, and food security. The country hopes to use this platform to attract partnerships and funding for initiatives such as clean cooking, renewable energy, climate-smart agriculture, and sustainable economic development.
This summit is expected to strengthen Tanzania’s global profile and support its development goals through strategic international cooperation.
The Citizen
Sijui ameishia la ngapi la 7 C ni boda boda kituo gani hapo town?Ndungulile ni Director wa wapi?
Wakapata faida ganiWanajua wa kumualika.Hawawezi kuthubutu kwa Ibrahim Traore.Wala wasingethubutu kwa JPM au Gaddafi wote hawa walikubali kufa wakiwa wamesimama badala ya kuishi wakiwa wamepiga magoti kwa mabeberu.
Kuuza bandariWewe unaujua? Tuambie
Chuo kile cha pale Jalalani aliposema yule Profesa fulani kua bora umenitoa Jalalani kumwambia Bwana yuleNdungulile ni Director wa wapi?
muwe na roho ya kushukuru na kutambua juhudi za mtuWanajua wa kumualika.Hawawezi kuthubutu kwa Ibrahim Traore.Wala wasingethubutu kwa JPM au Gaddafi wote hawa walikubali kufa wakiwa wamesimama badala ya kuishi wakiwa wamepiga magoti kwa mabeberu.