Rais Samia aweka historia nyingine katika uchumi

Rais Samia aweka historia nyingine katika uchumi

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Mapitio na maboresho ya sera za biashara pamoja na misingi bora ilioimarishwa kati ya serikali na taasisi binafsi nchini imechochea kuwekwa kwa rekodi ya faida ilitengenezwa na taasisi za kibenki nchini.

Kwa mara ya kwanza katika historia, benki za Tanzania zilipata faida ya jumla ya Sh. trilioni 1.16 mwaka 2022, huku zikisema faida hiyo inatokana na sera nzuri za biashara na uwekezaji zilizowekwa na Rais Samia Suluhu

Kuongezeka kwa faida za mabenki ni ishara njema kwa upatikanaji wa mikopo kwa wajasiriamali.

Fn8Za5kWYAAyJlP (3).jpg
 
Mapitio na maboresho ya sera za biashara pamoja na misingi bora ilioimarishwa kati ya serikali na taasisi binafsi nchini imechochea kuwekwa kwa rekodi ya faida ilitengenezwa na taasisi za kibenki nchin...
Sijui mnapata faida gani kusifia hata mambo msiyoyajua. Mnalipwa?
 
Back
Top Bottom