Sawa we endelea kufatilia maisha ya mondi na zaryyyhivi unaweza kupoteza muda wako kabisa unasoma kitabu cha huyu mzee??unapata faida gani humo ndani?kwa background ip?kwa legacy ipi?
kuna mwingine alikuwa anaitwa mkapa naye alitoa kitabu nasikia,mtanzania yupi??
Kujua mambo aliyoyafanya mzee mwinyi inatakiwa uwe na umri pengine miaka 45 na kuendelea, binafsi nina 39 lakini enzi za mwinyi nilikuwa mdogo kiasi ambacho uelewa wa mambo ni mdogoMwinyi alifanya makubwa mengi wakati wa awamu yake. Aliipokea Tanzania ya Nyerere ikiwa hoi kiuchumi. Baada ya vita ya Kagera tuliishi maisha fulani ya hovyo sana mpaka 1985.
Mwinyi akawa mtekelezaji wa ERP (Economic Recovert Programs) za Umoja wa Mataifa. Ndipo tukaanza taratibu kuinuka kiuchumi.
Anayeponda huyu mzee kwamba hakufanya lolote inawezekana alikuwa bado anacheza gololi na watoto wenzake miaka ile.
Hahahahah dili azikwepeki ukiwa jikoniNiliwahi kusikia Mama Sitii alikamatwa Airport Dar akitokea Zenj na dhahabu kibao akiwa safarini kwenda Uarabuni kuziuza. Ikapigwa juu juu na Mrema wa mambo ya ndani. Mzee RUKHSA kwa stories nilizosikia hakuwa msafi hata kidogo.
Hahhahah...tumuache Mzee atembee na BenzAya sasa, mlisema oooh late Pombe anatumia fedha hovyo kwa kuwajengea majengo wastaafu, hii nayo je..?
Hahahahah dili azikwepeki ukiwa jikoni
[emoji23][emoji23]Huu ujinga ndio umesababisha tuikose mechi ya leo. [emoji15][emoji15]
Tuache hizi mambo! Hiyo zawadi katoa Samia au Raisi?
Ule mgao wa magari toka serikalini si ungetosha tu kupewa hiyo Benz, watoto wake hawaoni shida anayopata mzee wao?
Uzoefu unaonyesha kwa hapa kwetu viongozi au watu maarufu wakizindua vitabu vya historia ya maisha yao huwa hawadumu hata miaka 2,tumuombee mzee wetu mwinyi aepushwe na balaa hili.Rais wa awamu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi leo anazindua kitabu kinachohusu maisha yake.
Mgeni rasmi ni Rais wa JMT mh Samia
Tukio litakuwa mubashara kupitia runinga ya Channel ten.
Nitawajuza yanayojiri.
Wahenga karibuni tujikumbushe maisha wakati wa mzee Rukhsa.
Updates;
Mzee Mwimyi ameshaingia ukumbimi na tayari ukumbi umeshasheheni wageni waalikwa mbalimbali.
Sasa anasubiriwa mgeni rasmi Rais Samia.
Rais Samia ameingia ukumbini na sasa wanaimba wiimbo wa taifa.
Ukumbi mzima ni full barakoa.
AJABUTunatakiwa kuamini kwamba Mwinyi hawezi kumudu Benz?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yajayo yanafurahisha ...wastaafu wote wanapewa magari haya ngoja tusubr Bday ya JK sijui na yeye anapewa nini [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]