Rais Samia azindua ugawaji wa vitendea kazi kwa maafisa ugani kilimo. Asema Serikali imeongeza bajeti ya utafiti kutoka Tsh 7.35bn hadi 11bn

Hii imekaa poa! Ngoja tuone!!!!
 
Sometimes kumbe ukiamkaga vizuri unashusha nondo za hatariii na madini yaliyojitosheleza.
 
Mwakyembe alitudanganya kwamba amepata soko la Mchele wa Kyela Marekani , Magazeti yakampamba sana , lakini hadi leo hakuna mkulima aliyewahi kuuza hata debe moja la mchele Marekani.

Unatakiwa uwe kichaa kuwaamini wanaccm
 
Bashe amejitahidi kutoka kwenye ,"Ubunge" na kuuishi uwaziri.

Kuhusu fedha za Kilimo kupitia benki za kibiashara bado nina doubts kama zitawafikia wakulima unless kuwepo na muongozo kamili na dhibiti.
Tungebainisha wakulima strategically na kuwapa mikopo ambayo itarejeshwa yaani tuwe na bodi ya mikopo ya Kilimo.
 
Mwakyembe alitudanganya kwamba amepata soko la Mchele wa Kyela Marekani , Magazeti yakampamba sana , lakini hadi leo hakuna mkulima aliyewahi kuuza hata debe moja la mchele Marekani.

Unatakiwa uwe kichaa kuwaamini wanaccm
Huyo Mzee alikuwa anajijua mwenyewe...Mungu amsamehe.
 
Lengo siyo pesa kuwafikia wakulima moja kwa moja . Fedha ni ruzuku ya mbolea.Mkulima atanunua mbolea kwa bei ya chini.
 
Kile kiwanda cha Dangote vipi? nilifikiri kitatoa nafuu ya bei ya mbolea kwa wakulima wetu
 
Maafisa ugani ni watu muhimu katika kupeleka na kutafsiri matokeo ya tafiti mbalimbali kwa wakulima, wanasayansi tunapofanya tafiti mara nyingi zinabaki kwenye machapisho ambayo yanaishia kusomwa na watafiti wengine, badala ya mapendekezo kupelekwa kwa maafisa ugani wakawaelimishe wakulima. Wizara ya TAMISEMI inatakiwa kuwa na dawati la kupokea mapendekezo mbalimbali ya watafiti yaliyotokana na tafiti zao ili wazisambaze kwa wagani waliopo halmashauri na kuweza kuwaelimisha wakulima.
 
Hawaamini Hawa Wekeni Akiba Ya Maneno Baada Ya Mwaka Mje Hapa
 
Ni kamarada H.Bashe tena....

Bashe anaweza....

Bashe is a visionary leader....
Bashe is a charismatic leader.....

TUNATEGEMEA mengi kutoka kwake ,amin🙏

#Siempre JMT🙏
 
😍
 
Hizo 150 billions haina maana watawapa wakulima, zitatumika kama security ili wakulima waweze kukopa kwenye hizo commercial bank, maana kwa sasa Bank nyingi hazitoi mikopo kwa wakulima maana ni high risk business na wamepoteza pesa nyingi sana
 
Hizo 150 billions haina maana watawapa wakulima, zitatumika kama security ili wakulima waweze kukopa kwenye hizo commercial bank, maana kwa sasa Bank nyingi hazitoi mikopo kwa wakulima maana ni high risk business na wamepoteza pesa nyingi sana
😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…