Rais Samia, Bado hujaona hili ni tatizo tu?

Chanzo cha Kelele ya Corona ni hawa hawa watu mandumila kuwili...mimi nikimuona yule mama eti ni Waziri wa Afya nashangaa sana...Unafiki umewajaa...nani atawaamini...
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji106][emoji106]
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Uhuru wa kutoa maoni usiutumie kama uhuru wa kusambaza majungu na upotoshaji. Jamii kama ni nyingi mnafanya kundi fulani hapa nchini likipata madhara, watu wanakaa kimya bila kupata sauti.
 
Umezunguka sana yeriko usimuingize mtumishi wa Mungu kwenye ugaidi wenu, li mbowe ni ligaidi, kama unachanja chanja na familia yako wengine tumestuka. Muda ni mwalimu mzuri, tafuteni utetezi wa kumsaidia gaidi sio kumshambulia mpakwa mafuta wa Bwana. Sio bure unatafuta uteuzi
 
inawezekana anawaogopa sukuma gang...laiti angenipa urais kwa masaa sita tu ndipo wangejua kwa nini utingo ni mtu muhimu sana wakati wa safari
Yaani wewe uraisi Mimi angenipa ukuu wa huko alipo huyo mbwabwajaji tu ningemsaidia kumuelewesha kuwa Watanzania tunajitambua na Mama tumemuelewa
 
Hestancy ya wananchi walio wengi kuchanjwa Chanjo ya Corona inaonyesha jinsi wananchi walio wengi walivyokua wanamkubali JPM. Itachukua miaka mingi Sana kwa Fikra na mitazamo ya JPM kufa miongoni mwa raia. So far majority ya wafanyakazi wa sekta ya afya ambao tulitegemea watoe elimu ya Chanjo hawako tayari kuchanjwa. Kimsingi waliopitisha Chanjo imekula kwao, sisi tuko na Bishop Gwajima.
 
Kwan Samia yeye ni nani kwamba hawezi kupewa rushwa? Ukweli pamoja na kwamba kuna changamoto ya corona duniani kote ila pia suala hili ni biashara Kwa watu wengine na wanatengeza hela kubwa sana, usalama wa taifa wa nchi hii pia na wao siku hizi wamekuwa na maslahi yao kwanza ndo maana unaona kuna vitu vinafanyika mpaka unajiuliza kwamba nchii kuna usalama kweli ???
 
Tat
Hilo genge limejaaa serikalini hata Makatibu wakuu wamo...Mama Anatakiwa alitambue hilo Genge alivunje alitoe..Asipofanya hivyo atashangaa..
 
Naona mnaupiga mwingi mpaka mpira unatoka nje na adui ndio anaenda kurusha mpira
 
Gwajima ni katika Kundi kubwa la Wasukuma wanao a mini katika Mfumo dume kama walivo wamasai
Hongera zako kwa kuamini mfumo jike mimi siyo msukuma ila mfumo dume ndiyo mfumo sahihi wa kufuata
 
Kwenye chama subiri uchaguzi wa mwakani ndani ya Ccm ndyo tutajua rangi halisi ya mzenji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…