Rais Samia: Bado ninaisikia sauti ya Hayati Magufuli akiniambia kuhusu miradi na Dodoma kuwa Makao Makuu

wewe ni Yanga
 
Mipango sio matumizi, marehemu hawezi kufufuka mnapoteza mda,signature na alama itabakia kuwa ya Samia..

Habari za sijui alianzisha sijui nini,mipango na vya kuanzisha viko toka enzi za Mwalimu.
Kama mama mwenyewe anamtaja hayati Magufuli nani tena wa kubisha?! Ndiyo Kuna mipango iko toka enzi za mwalimu na alama zimebaki kwa mwalimu na hazitafutika. Mfano, kuifanya dodoma kuwa makao makuu Nyerere, serikali kuhamia dodoma na kuasisi miradi kabambe ya miundombinu kuendana na hadhi ya makao makuu ni Magufuli. Kuendeleza miradi aliyoinzisha Magufuli tena kwa kusikia sauti ya Magufuli ikitaka hivyo Samia. Bila kusahau Samia naye kuna miradi ataanzisha na alama itabaki kwake.
 
Nani kabisha? Mwendazake ndio ame accelerate issue ya Dom
 
Asante. Hakuwa malaika ila huyu mzee alikuwa jiwe. Sasa waambie wengine tena na tena waache ubishi
 
Theory kama za motivational speakers
 
Mbona hukusema hzi pumba zako kabla ya 2015 au bado ulikuwa kinder? Unafiki umekujaa sana wewe mdanganyika! Miaka 40+ imepita na Dodoma haikuendelezwa kama makao makuu hiyo hela ambayo haikuendeleza Dodoma kuwa makao makuu kwa wakti huo mbona haikusidia kutimiza hzo ndoto zako?
 
Toka mwanzo mama alishasema miradi yote aliyoianzisha magu ataikamilisha.. That's all. Anafanya alichohaidi basi. Na haimaanishi magu hakuzingua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…