sina picha mkuu lakini nitajitahidi kukuelekeza kwa ufahamu wangu ulivyo juu ya hii barabara,
hii barabara itachepuka pale mtumba(mji wa kiselikali)
inaelekea kaskazini na kusini
kisha inaelekea magharibi had nara
inaungana na barabara kuu inayoelekea singida,
kwa ufupi ring road
inaizunguka dodoma
dodoma mjini inakuwa katikati imezungukwa na ring road,
mtu anaetoka morogoro
kama anaenda mikoa ya singida, tabora au mwanza,
atakuwa hana ulazima wa kupita katikati ya mji
ili kuepusha msongamano wa magari hasa magari makubwa,
akifika mji wa kiselikali kabla hajaingia dodoma mjini
atachepuka kwenye ring road
atatokezea nara
kisha ataendelea na safari yake pasipo kupitia dom town,