Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

Atukatai bajaji tunataka ziwe katika utalatibu
Kwa hio anaeweka utaratibu wa bajaji ni wamiliki wa daladala? Kama daladala yako hailipi uza, nunua bajaji, sio kuitisha serikali na migomo ya kipumbafu
 
Kwa hio anaeweka utaratibu wa bajaji ni wamiliki wa daladala? Kama daladala yako hailipi uza, nunua bajaji, sio kuitisha serikali na migomo ya kipumbafu
Nyie watu washamba mliotolewa vijini, madaraka mengine mkubali tu yamewashinda.
Mtu wa uwezo wa kufikiri Jiji na usafiri wa Mass Transport ni bajaji, uwezo wake huyo ni wa kijijini.
 
Nyie watu washamba mliotolewa vijini, madaraka mengine mkubali tu yamewashinda.
Mtu wa uwezo wa kufikiri Jiji na usafiri wa Mass Transport ni bajaji, uwezo wake huyo ni wa kijijini.
Kwa hiyo unashauri biashara treni za abiria ikiwa mbaya wagome, mabasi yasibebe abiria ili wao wapate abiria?

Mbeya Barabara yenyewe moja, unataka bajaji zipite wapi?
 
Sasa Chalamila ana tatizo gani? Mbona anachapa kazi Kwa weledi kabisa? Weka hapa tuhuma ulizonazo dhidi ya Chalamila.
Hata mimi nawashangaa ,hebu watueleze Chalamila kawafanya nini?

Rais sio mjinga hawezi kumtoa Chalamila maana hafanyii Kazi majungu ya kijinga
 
Uyu chalamila Kwanza mshamba Sanaa anatutesea ndugu zetu mbeya tulikua Nagari ndogo za abilia tunaleta kubwa yeye anatuletea bajaji?

Au nayeye kawekeza kwenye bajaji alafu anajitapa ataleta magari ya jeshi kipindi chanyuma alitutolea nduguzetu pale kabwe alipo ongea nawafanyabiashara mama, dada waliteseka Sanaa uyu arud kwao iringa akalime nyanya avune machungwa.
Ndio hoja ya kumtoa RC hiyo? Acha ujinga
 
Domonkaya yule. Kwanza aliongea na Magufuli kwa simu, wakati huo Magufuli hajitambui na anakaribia kukata roho.
Hakuna hoja kama hizo ndio hoja zenyewe basi mwambie Rais na PM watoke madarakani maana wote waliongea na Rais

Domo kaya haijazuia maendeleo,tena asimtoe Mbeya walijifanya miaungu watu Sana sasa kawanyoosha
 
Chalamila ndiye aliyeleta bajaji Mbeya mjini? Hizi ni chuki za kijinga na wivu tu. Mbeya mjini bajaji zimefurika kabla ya ujio wa Chalamila. Pia hata hizo bajaji zipo Kwa ajili ya watanzania hasa tabaka la chini. Hizo gari kubwa unazosema mbona hamzipeleki Isanga?
Mkuu ni kweli Chalamila haja peleka bajaji Mbeya lkn kilichopo bajaji wanaingilia route za daladala na yeye amesema kama daladala wanaona bajaji zinafaa basi wauze magari wanunue bajaji.
Hakuna mahala ambapo watu wanaishi bila utaratibu kiasi kwamba kila mtu afanye anacho kitaka
 
Chalamila ndiye aliyeleta bajaji Mbeya mjini? Hizi ni chuki za kijinga na wivu tu. Mbeya mjini bajaji zimefurika kabla ya ujio wa Chalamila. Pia hata hizo bajaji zipo Kwa ajili ya watanzania hasa tabaka la chini. Hizo gari kubwa unazosema mbona hamzipeleki Isanga?
Achana na wajinga hao,nasema hivi Chalamila haondoki Mbeya na atabakishwa hapo hapo maana huko kuna watu wanajifanya miungu watu na majizi hao ndio kawanyoosha wanapayuka hovyo hapa
 
Chalamila maneno mengi tu Tantalila za kutosha lakini sidhani kama ana shida kihivyo.Sema alikuwa na Imani kubwa na mwenda zake bado anaamini yupo na mwendazake huenda asimheshimu sana Mama hapo labda ndo inaweza ikawa Sababu ya kumpumzisha
Asimheshimu kwa ajili gani? Wewe una hiyo jeuri?
 
RC Hapi na Chalamila hawana maadili ya uongozi, wababe, jeuri na taarifa zilizopo wanakesha kwa waganga kuloga maana walijiamini kupitiliza wakati wa JPM
Ujeuri huo ulipelekea RC HApi na Chalamila kumdharau pm na Makamu Rais na zaidi wakawa wasemaji wa serikali
RC Hapi aliwapiga mkwara Rais mstaafu na wastaafu wote kukaa kimya huyo Chalamila akajipa usemaji eti Rais mzima nimeongea naye na hata alipofariki akasema haamin
Acha porojo wewe tuhuma hapo ni.kwa Hapi ila sio Chalamila
 
Mkuu ukiwa mfupi usiwe na akili fupi.
Hiyo ndo tabiia ya Chalamila, badala ya kutatua tatizo la wananchi ,anatafuta ligi ya maneno.Chalamila hatoshi.
Wewe unatosha sehemu gani? Nyie punda ndio mnaosema mara Rais hatoshi sijui nini ,maneno mengi lakini useless
 
Kuna kale ka mkuu ka wilaya ka Arusha mini na Arumeru
 
Sasa Chalamila ana tatizo gani? Mbona anachapa kazi Kwa weledi kabisa? Weka hapa tuhuma ulizonazo dhidi ya Chalamila.

Huyu ni kiongozi asiyetumia akili na mdhalilishaji wa wakina mama!! Huyu ndiye aliyetaka kuivunja Hotel ya Sugu hapo Mbeya mpaka pale alipopewa amri na boss wake kuwa yangekuwa ni makosa kufanya hivyo!! Asingesimamamishwa na Jiwe alikuwa mbioni kuivunja ile hotel kwa sababu za kisiasa na bila kufuata utaratibu!!
 
Unamtetea sana ila jamaa hana busara ya kiuongozi.
1. Alihamasisha Raia kuchukua hatua mkononi badala ya kutumia vyombo ya usalama. Hku akijitapa kuua kwa bunduki.

2. Alitaka kubomoa hoteli kabla ya kupigwa stop kwa madai imejengwa kwenye source ya maji ilihali mtu alikua na vibali halali.

3. Chalamila anaingilia hadi majukumu ya Afisa Elimu. Kuforce kutimua wanafunzi kwa kosa ambalo walionekana hawana hatia na kuruhusiwa kurejea.

4. Vituko vyake wakati wa uchaguzi vipo wazi kabisa mpaka anatishia kuua watakaopinga matokeo.

5. Ni huyu alipotosha JPM yupo hai na ameongea naye ilihali serikali nzima ilikua kimya maana wanajua JPM haponi. Huoni ni insubordination hiyo?

Yes vinaweza kuwa vituko vya hapa na pale ila sio majungu bali ni vitu vya wazi kabisa alikosea. Hana tofauti na DC wa Iringa ila usiseme eti majungu wkt visa vyake kila mtu anaona.
Hoja za kitoto,angeahindwa jukumu kuu la kulinda usalama na kusimamia haki na maendeleo sawa lakini hapa unaleta tantalila nyingi baseless
 
Back
Top Bottom