Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.

Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.

Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makamba na Kinana.

Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Naunga mikono na miguu hoja
 
Kwa kawaida hivi vyeo vya Rc na Dc vilikuwa wanapewa waalimu wakuu waandamizi,wanajeshi waandamizi na waganga administration wakuu waandamizi yaani kwa ujumla walitoka sehemu mbalimbali kwenye nafasi za uongozi ngazi ya kati ,waandamizi wabobezi na ataa bila kupanga ilikuwa umri haupungui 36 na kuendelea ,na mwendazake tuu ndio alileta huu ukiukwaji wote huu tulioshuhudia ,
Aliteua vihuni vya mitaani mradi vinajua kusifu na kumwabudu.
Chalamila alidiriki kusema CCM sasa iwe Chama Cha Magufuli.

Sijui alivitoa wapi.
 
Tatizo si kuondoka Mbeya, tatizo ni Chalamila mwenye upeo wa kufikiria bajaji as a way of mass transport zkatika jiji lolote nchini.
Hilo ndio tatizo la kuchukua watu wasio na exposure, watu wa vijijini kuendesha miji.
Chalamila ndio kapanga au watu wa jiji?
 
Baseless kivipi wkt zipo documented? Hana maadili ya uongozi. Huko nje watu wanajiuzulu kwa kulike tu picha ya ngono ila huku eti mpka ashindwe kusimamia haki??

Si ndio hili liliropoka eti JPM anampa mshahara mzuri hadi kapata mchepuko!!

Mara cjui kampa DAS mrembo sana hadi anawahi ofisini n.k

Kuna more pressing issues za kuongea kwa Rais kuliko mshahara wako na mchepuko. Hvi hzi kauli zao hamuoni zina shida?
Tofautisha vichekesho vya kuchombeza na hoja za msingi,acha chuki zako za kijinga.Kama ni kukosa maadili hakuna kati yao ambae alimzidi JPM kwa kuropoka hovyo,kutukana watu,kudhalilisha watu,wanawake,walifikwa na maafa na kuongopa hadharani.Hayo yaliendana na mtu aliyekuwa ofisi kuu.

So far hakuna hoja serious ya kimaadili,kuvunja kiapo chake au kushindwa kusimamia maendeleo,kwa hiyo tafuta excuses zingine.Mbeya kuwa na RC dizaini ya Makala fisadi na asiyeweza kuwajibika ilikuwa hasara ila Chalamila kaiweza vizuri,watu jeuri wapelekee mtu jeuri.

Nilichomkubali Chalamila ni kudhibiti ubadhirifu hapo mkoani na hacheki na nyani
 
Madudu yake mengi Sanaa ukiteuliwa kuchaguliwa kuwa kiongozi usijidai mtawala
Madudu gani si myalete hapa? RC wa Geita katuhumiwa live bungeni kwa kuiba pesa za mgodi ,huko Mbeya uliwahi sikia lini Chalamila katuhumiwa kwa ubadhirifu? kigezo kikubwa sana cha maadili na uwajibikaji
 
Kwa kweli watanzania tupunguze ushabiki. Unalielewa vizuri tukio unalilizungumzia?
Vijana wa kijiji cha Ngole waliharibu miundombinu ya maji iliyokuwa inafadhiliwa na Wamarekani katika kijiji cha Mashese.

Ulitaka mkuu wa mkoa akiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa afanye nini ili kudhibiti ujinga na upambavu ule? Je huon Kama kauli na amri Ile vilimaliza mgogoro ule ambao kimsingi ungeweza kuleta maafa makubwa Kama watu wa Mashese wangeamua kujibu Mapigo?
Mkuu, wew huna sifa wala chembe za uongonzi
Naona unajitetea kwa kasi sana. Kwanza nyie ndio mliluwa mnaleta upuuzi kwenye serikali ya hawamu ya tano
Kwa kuleta tamko pasipo kufuata sheria
 
Wewe unatosha sehemu gani? Nyie punda ndio mnaosema mara Rais hatoshi sijui nini ,maneno mengi lakini useless
We Chalamila wewe, mfupi kama kimba la asubuhi.
Na akili ni fupi hivyo hivyo.
Chama chenu cha Magufuli kimeishia wapi?
 
Mkuu, wew huna sifa wala chembe za uongonzi
Naona unajitetea kwa kasi sana. Kwanza nyie ndio mliluwa mnaleta upuuzi kwenye serikali ya hawamu ya tano
Kwa kuleta tamko pasipo kufuata sheria
Mama kawadhibiti vizuri.
Halafu huyu Chalamila ana tuhuma za kuongea kwa simu na mfu.
 
Mmeanza ukabila hii dhambi itawamaliza basi na wanyakyusa wote walioko nje ya mbeya nao warudi kwao Mbeya si ndo mnavyotaka.wanyakyusa mmezoea ukabila wakati nyie mmejazana mikoa ya watu na nyie muondolewe mkakae kwenu mwanjelwa na kwa mama john
Mkuu hue,ewi mada hata kidogo.
Mbeya imdharauliwa sana kuletwa mtu mwenye upeo mdogo sana kama Chalamila.

Pengine hukumbuki au hujui maana hukuwepo.
Enzi ya Mwalimu aliwahi kuwepo Mkuu wa Mkoa Mzee Mohammed Kissoky, mtu mstaarabu sana na anakumbukwa vizuri.
Aliwahi vile vile kuletwa msomi mstaarabu Mkuu wa Mkoa Abbas Kandoro.
Naye mtu wa hekima na mipango.
Wote hao walikuwa watu toka Iringa.
Kwa hiyo ukabila unaousema unatokana na uelewa wako mfupi.
 
Sasa Chalamila ana tatizo gani? Mbona anachapa kazi Kwa weledi kabisa? Weka hapa tuhuma ulizonazo dhidi ya Chalamila.
Huna tatizo mkuu, ila hutoshi!
Watu wanafikiri ni majungu.

Hapo majuzi habari zilizotufikia bongo, kuna kiongozi mwandamizi kaja mkoani kwako, weye hayupo.
Ilikuwa hivi, viongozi wengi walienda Dodoma kumsikiliza hotuba ya Mama Samia Bungeni.
Waziri Mwandamizi akadamka mapema sana kwenda Mbeya kwa shughuli za kikazi.

Waziri yupo, Mkuu wa Mkoa hayupo!
Bad image!
Hapo Mkuu wa Mkoa angeweza kueleza kero za Mkoa kwa ufanisi, lakini hayupo.
Mkoa wa Mbeya Awamu ya Tano haikutembelewa na viongozi wengi.
 
Nchi hii chuki haitatufikisha popote.... Watu wana chuki...
 
Ukiona serikali iko bize kufatilia ushabiki wa mitandaoni.... Pole..... wakati huku ndipo kumejaa wezi na wazandiki wenye tamaa ya mafanikio ya haraka

Mitandaoni kumejaa chuki na unafiki,mtu analia umaskini wakati anatumia SM-J8 kucomment mitandaoni.

Umaskini upo mitaani, ukijiona wewe unatumia mitandao ya social media just upo daraja la Kati kimaisha, tuache unafiki kulia lia humu.

Serikali ifatilie manunguniko ya wananchi wa chini ambao hata kumiliki simu ya rununu kwake ni ndoto

Tusiwe washabiki watu kwa kuwanafiki wengine kwa manufaa ya mwengine

Kama mtu katenda kosa Sheria zipo wazi, tafuta ushahidi fungua shauri la kesi mahakamani, katiba na Sheria ipo wazi kwa hilo
Huu mwaka si wenu. Hao wanaofuatilia habari za kina Diamond na Zari, sijui Kajala na Harmonize huko Instagram na Twitter ni matajiri. Tulieni mkitambuwa kuwa kila zama na kitabu chake. Nukta.
 
Tofautisha vichekesho vya kuchombeza na hoja za msingi,acha chuki zako za kijinga.Kama ni kukosa maadili hakuna kati yao ambae alimzidi JPM kwa kuropoka hovyo,kutukana watu,kudhalilisha watu,wanawake,walifikwa na maafa na kuongopa hadharani.Hayo yaliendana na mtu aliyekuwa ofisi kuu.

So far hakuna hoja serious ya kimaadili,kuvunja kiapo chake au kushindwa kusimamia maendeleo,kwa hiyo tafuta excuses zingine.Mbeya kuwa na RC dizaini ya Makala fisadi na asiyeweza kuwajibika ilikuwa hasara ila Chalamila kaiweza vizuri,watu jeuri wapelekee mtu jeuri.

Nilichomkubali Chalamila ni kudhibiti ubadhirifu hapo mkoani na hacheki na nyani
We naye hueleweki kwani issue niliongelea ni uchapa kazi au ethics na good governance?

Makonda alikua hachapi kazi? Mbona watu walimchukia sababu ya vitu vidogo sana hasa kauli zake mfano juu ya wachagga, ombaomba, wamiliki wa vitz, wabunge kupimwa mkojo, list feki ya wauza madawa n.k shida ni ethics tu ila sio utendaji.

Hata JPM kwani alikua ''hapigi kazi'' ila kilichomfanya aanza kutengeneza chuki ni zile kauli zake ambazo sio necessary. Anafika pemba anamshangaa Shein kuweka wapinzani serikalini, mara kumlipia matibabu seif etc.

Kama ni uchapa kazi hta Sabaya ni halali kabisa aendelee kuwepo Hai, ila linapokuja suala la ethics unapisha tu from the slightest mishap!!
 
Mijitu mishamba ya madaraka haifai popote.
Mtu hana lolote ajualo kiuongozi, badala ya kutatua kero za maendeleo, yeye ni malumbano tu na wananchi.

Ukimpenda Chalamila mchukue mkanywe naye ulanzi!
Lakini kaumiliki ule mkoa vizuri tu, hakuna mkoa una mambo ya ajabu kama ule.
Labda Musoma au Mara
 
Back
Top Bottom